Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
ulikosea mkuuNilitupa ufunguo nikala nyama na juice baada ya kuona hakuna ujirani Kati yetu nilipougua akagoma kunikorigea uji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ulikosea mkuuNilitupa ufunguo nikala nyama na juice baada ya kuona hakuna ujirani Kati yetu nilipougua akagoma kunikorigea uji
🙏🏿🧢Hukutakiwa kuandika mengi hivi maana ukweli ni kwamba wenye makalio makubwa hawana akili kabisa wengi wao
Kweli mkuu.Mkuu, usiwe serious sana😄
Jamaa ni mshamba mnoHuna haja ya kulipiza baya kwa baya. Just be nice to everyone, huyo dada mtakuja kuwa marafiki wenda yeye moyoni hana kinyongo kama chako. Ndo maana alikuuliza ulikuwa wapi wiki mzima? In short alikumiss.
Hao wengi ni washamba tu kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23]Anawachukia huku anawataka, sasa asichokijua ni kuwa hawa wanatakwa na wengi kwa hiyo anapaswa kuwa mvumilivu
Haaaa wapi, Kila Demu Huwa Nampa Jina lake .Una jina la kindezi kumbe unaitwa Gerald
Kila Demu Huwa Nampa Jina lakeUnajianika. Hapo watu washajua jina lako
Sasa kwa huyo imebidi utoe OG au docs za hospital ulisaini jina feki?Haaaa wapi, Kila Demu Huwa Nampa Jina lake .
Acha niitwe mshamba, lakini najua na wewe unaushamba flani tu, lazima.Hao wengi ni washamba tu kama wewe[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli mkuuAcha niitwe mshamba, lakini najua na wewe unaushamba flani tu, lazima.
Sina hakika kama atazingatia majina yangu kwenye Docs, ila nilipokutana naye Mara yakwanza nikimtania Hilo ndo lilikuja kichwan.Sasa kwa huyo imebidi utoe OG au docs za hospital ulisaini jina feki?
Hata huku meneja wao wanamuogopa balaa,kwanza wakikuona unaenda kwenye chumba cha meneja wanataman kuliaViwanawake vya tanesco ni vipuuz sana kudadeki... Me ilikufa meter ya umeme nikaenda vikawa kama vinataka kunitengenezea kipindi, niliviwashia moto kudadeki mpaka noma yan haviji kunisahau, nilimpigia simu na bosi wao mafundi wakaja kubadilisha siku hiyo hiyo na bosi wao aliviwakia ile mbaya... Wakiniona wanaona wameona chafu tatu...
Unajua bwana kila mtu afanye majukumu yake, me sipend mtu unaenda sehemu ya public service alafu unakuta kijitu kinajifanya kimungu mtu nakasirikaga sana... Safi kabisa mkuu, hata kuwawajibisha wao ni kuwajibika wewe mkuu, tuijenge nchi pamoja..Hata huku meneja wao wanamuogopa balaa,kwanza wakikuona unaenda kwenye chumba cha meneja wanataman kulia
Hivyo hivyo vinazi vya buku mashaallahKimanunu nina vifuu sina makalio makubwa 😀😀
Me naviitaga vijipu uchunguHivyo hivyo vinazi vya buku mashaallah