Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Huna haja ya kulipiza baya kwa baya. Just be nice to everyone, huyo dada mtakuja kuwa marafiki wenda yeye moyoni hana kinyongo kama chako. Ndo maana alikuuliza ulikuwa wapi wiki mzima? In short alikumiss.
Jamaa ni mshamba mno
 
Kuna mmoja yuko huku ofisini kwetu naye yuko vizuri, siku moja nikamuomba gemu akanijibu eti mwache kwanza mkeo. [emoji3062]
 
Sasa kwa huyo imebidi utoe OG au docs za hospital ulisaini jina feki?
Sina hakika kama atazingatia majina yangu kwenye Docs, ila nilipokutana naye Mara yakwanza nikimtania Hilo ndo lilikuja kichwan.

Yeye mwenyewe alipofikaz aliulizia weed Hilo Jina, wakawa wanamwambia hatuna Daktari anayeitwa Ivo, ikabidi aelezee nilivyo mwonekano, ndo wakamleta kwangu 😂😂.


Nilimzuga, huku najulikana Kwa Surname.
 
Viwanawake vya tanesco ni vipuuz sana kudadeki... Me ilikufa meter ya umeme nikaenda vikawa kama vinataka kunitengenezea kipindi, niliviwashia moto kudadeki mpaka noma yan haviji kunisahau, nilimpigia simu na bosi wao mafundi wakaja kubadilisha siku hiyo hiyo na bosi wao aliviwakia ile mbaya... Wakiniona wanaona wameona chafu tatu...
Hata huku meneja wao wanamuogopa balaa,kwanza wakikuona unaenda kwenye chumba cha meneja wanataman kulia
 
Hata huku meneja wao wanamuogopa balaa,kwanza wakikuona unaenda kwenye chumba cha meneja wanataman kulia
Unajua bwana kila mtu afanye majukumu yake, me sipend mtu unaenda sehemu ya public service alafu unakuta kijitu kinajifanya kimungu mtu nakasirikaga sana... Safi kabisa mkuu, hata kuwawajibisha wao ni kuwajibika wewe mkuu, tuijenge nchi pamoja..
 
Back
Top Bottom