Wanawake wenye makalio makubwa hawana heshima

Si wote
 
We jamaa jau sana, wenzako hawafanyagi hivyo.

Nakumbuka nilihamia nyumba Fulani, siku ya kwanza natoka nje namkuta sister fulan ametulia. Nikampa hi, ananijibu kimaringo, namuuliza kwa mjumbe wapi, ananijibu kwa kijisikia.

Nilivyoona vile nikampotezea Mazima, hata salamu mara nyingi nilikuwa namwonyeshea dole gumba imetoka hiyo, yeye ndo mara nyingi alikua anajaribu kuniongelesha lakini nilikuwa simkubali.

Kuna siku nawasikia wananiteta na rafiki yake, wanasema huyu mkaka simuelewi
 
Huyu mdada yote hayo anayoyafanya ni wewe umle, ukishindwa kumla atakudharau sana..

Hii ni nafasi kabisa ya kumla kakutengenezea, jiongeze chapu. Mnyime attention potea potea siku kadhaa siku akijileta unganishia hapo hapo

Nb. KUMLA MWANAMKE MWENYE MAKALIO MAKUBWA NA NYODO KIBAO, NI RAHISI SANA KULIKO KUMLA MWANAMKE FLAT SCREEAN .
 
Sisi mashabiki tunapenda mnavyogombana.....
Hii amani mliyonayo hatujaipenda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jamani!!! Kwahiyo tugombane ili tuwafurahishe mashabiki zetu?!!

Babe Countrywide njoo fans wetu hawapendi tuwe na amani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…