Huwa situkani bibie kwangu matusi ni dhambi.Acha matusi ya reja reja, kama umeshindwa kuingia kwenye mjadala au hujui uingiaje..funga bakuli lako.
Tusilamishane mwenyewe unekubali,,,, nyingine mbwembwe tuHujalazimishwa lakin ukweli utabaki jua linatoka mashariki kwenda magharibi and not vice versa
Mfano mim Niko single lakin Sina thinking kama zako
HAHAAAA eti huna matusi,na humo humo unatukana....wanafiki kama wewe mfe tu, mtupunguzie mzigo katika jamii.Huwa situkani bibie kwangu matusi ni dhambi.
Nimeandika ukweli na huna uwezo wa kujadiliana na mimi. Bora nijadiliane na werevu elfu moja watanielewa kuliko kujadiliana na mjinga mmoja kama wewe lazima utanishinda tu.
Wewe mimi nakwambia ukweli tu kisha nashika njia, ukubali ukatae hilo utajua wewe.
Ndiyo maana nikasema hivi huna uwezo wa kujadiliana na mimi sababu hata maana za maneno huzijui. Hakuna tusi hapo nililo tukana, sisi Waswahili tunajua matusi ni nini, sasa unapoambiwa mjinga na kweli umjinga hujatukanwa bali umepewa stahiki yako.HAHAAAA eti huna matusi,na humo humo unatukana....wanafiki kama wewe mfe tu, mtupunguzie mzigo katika jamii.
Ndiyo maana nikasema nikasema hivi huna uwezo wa kujadiliana na mimi sababu hata maana za maneno huziju. Hakuna tusi hapo nililo tukana, sisi Waswahili tunajua matusi ni nini, sasa unapoambiwa mjinga na kweli umjinga hujatukanwa bali umepewa stahiki yako.
Umetumia tena tamko "Mnafiki" mahala pake sababu tukichambua neno hilo mimi sina za unafiki. Nakuita tena wewe ni mjinga na ni mjinga kweli, hii ni sifa yako.
Sasa usilazimishe ukweli ukauita matusi hili haliwezekani hata ubinuke.
UongoI'm 34 single ,na enjoy life no tress ,,and life is so beautiful..........hakuna mashaka....sijawa bibi,ndo kwanza as beautiful as creopatra...
Shukrani.POTEA HUKO, eti sina uwezo wa kujadiliana na wewe, usiniquote basi??? mpuuzi tu wewe...eti huna unafiki...kafie mbele...wewe ni mnafiki tena mnafiki per se! tapika basi?!
BYE SUCKER!Shukrani.
Daaah my lecturer taught me,, how people hide their pain in sentences leo ndo nimeaminipole lakini
Mkuu kwenye huu uzi nimekukubali! Umepigilia misumari ya moto kweli kweli!! Hawa wanawake wanaleta ubishi tu ila wangetuliza akili wangetoka na madini mengi sana kutoka kwenye comments zako! Kudos SamcezarMojawapo ya miiko ya teuzi na uongozi ukienda mataifa yote ni hiyo lazima public servant awe ni mume au mke wa ndoa na mtu mwingine.
Nje ya hapo huko maofisini ni kuleta uzinifu, kutengeneza safari na wake za watu au waume za watu na kuharibu ustawi wa jamii.
Hii inalegezwa sasa inaleta picha mbaya. Tazama watu kama akina Jokate wanabeba ujauzito wakiwa katika ofisi ya uma, na hajawahi kuolewa wala hatujui anatoka na nani.
Huyo ni public figure kuna mabinti kibao wanamtazamia kuwa ni mfano wa kuigwa. Watoto wa kike wanatabia ya kuiga mabaya zaiid kuliko mazuri maana mazuri ni kazi sana kuyasimamia tofauti na mabaya ambayo yana nguvu kali ya ushawishi.
Na ukienda bungeni pale eneo la viti maalumu tazama kumejawa na wadada ambao ni wamezaa na wanaume za watu na wengine kama wakina mdee hawajulikani wapo na nani hii ni mbaya ya sana kwa taswira ya taifa na sura ya uongozi wa kike na wa kiume.
Mbona kila mbunge wa kiume pale ukitafuta picha yake na mke wake utaiona sijaona kiongozi wa kiume ambaye hana familia yake ya ndoa ya mke na watoto. Wote wapo vema. Ila wanawake wamejaa pale kundi kubwa ni singles, single mothers.... Hili ni janga kubwa sana linahitaji vita kubwa kulitokomeza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni asexual? Hao Ace ni wangapi in a million katika jamii? Halafu kuna comment moja ya Samcezar ameelezea kuhusu lesbos Kwamba hamna jambo la hivyo bali ni ugonjwa wa akili tu! Akija mwenyewe atakutag!! Ukipigwa pu*mbu vizuri hakuna cha ulesbo wala nini!! Oleweni acheni vizisingizio!! Itasaidia katika ujenzi wa taifa!! Maendeleo ya taifa lolote basic yake ni kuanzia kwenye family level!! EboAu mtu asexual anatakaje kuolewa kwa mfano
Watu wanafikiri binadamu wote duniani wameumbwa sawa
Yani kuna vitu wanaandika unaona kabisa ni nadharia na siyo uhalisia
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kuijua Dunia maana ina mambo mengi. Kuna maswali nikikuuliza hapa hautaweza nijibu maana utatambua kuwa hakuna unachojua kuhusu topic nitayokuuliza.Zamani nilikuwa kama wewe baada ya kujua Dunia nikaona ni mambo ya kishamba tu. Acha watu waishi maisha yao.
Umesema vizuri sana. Kuna Misukule hapa inajifanya ni gentlemen inatoa faraja za unafiki kwa hawa wadada bila kuelewa madhara ya kufariji mtu anaekwenda siko.Hakuwa na miaka 40 masimulizi sahihi yanasema alikuwa na miaka 28. Yaani alimzidi miaka 3 tu.
Waambieni ukweli wanawake, sababu hili ni jambo la kiasili, na asili haiepukiki kama haitakuathiri kimaana basi itakuathiri kimaada.
Kingine humu wanawake si wakweli yaani hawataki kukiri na kukubali ukweli, lakini wanashindwa kujua kuukataa kwao ukweli hakufanyi ukweli uwe uongo. Wanajiumiza wenyewe.
Huyu anaonekana sio mzima kiakili. Mbaya zaidi imagine ni mwalimu. Hawa watu tunawapeleka kufundisha watoto wetu hatujui wanafundisha na kuongea nini huko madarasani.Kupanga ni kuchagua,
Wapo wengi sana wenye kila aina ya sifa ya kua mke ila aina ya mitazamo yao inapingana na mitazamo ya wanaokutana nao kwenye mahusiano.Ninayo pc moja kali sana ina bachelor of education from UDSM kichwan ni mwalimu shule fulani ya upili mkoa Kilimanjaro.
Aisee acha kabisa lilipokuja suala la kutaka kumuoa ha ha ha ha ha alinipa masharti ambayo hakuna mwanaume anaweza kubali.
Hivyo sio kila ambae hajaolewa kwamba hakuna waoaji hapana, wengi wao wana vipaumbele vyao.
Mfano yeye alisema kwanza
1;anapenda sana adventure (yani kila mwezi lazima atoke out nje ya mkoa)
2;sio lazima akuage kila anapotoka kwenda kwenye mambo yake(kumbuka tayari umeshaoa)
3;usimuulize kuhusu mshahara wake.
4;anaweza akachukua lodge akaspend hata siku tatu au wiki nzima bila wewe, anasema ndivyo alivyo huwa anafanya sana eti anajifungia peke yake ndani anaangalia tu movies za holiwood.
5;anataka kujua mshahara wako umeshaingia au laa(hii nimeiona mapema sana ndio muuni nikakacha maana ilikua kila zikifika tareh za mshahara anajifanya nataka unipeleke sehemu kumbe unaenda kupigwa mtonyo)
Una umri gani tuanzie hapo, kuwa honest na umri nikwambie kitu !Aisee, hii ya watoto ndio kabisaa... nikisema sitaki watoto in this lifetime na sina tatizo lolote ( watanzania hua wanapanick ajabu lol)
Kweli ni stage ya ushamba, kuna siku haya mambo yatakua accepted kwenye hii jamii.
Unajua maana ya misogyny wewe?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Misogyny ni mtu anaechukia uanamke au kuchukia wanawakeExactly, thread nzima imejaa comment za wanaume wakiforce kuelezea experience ya women 35+...
Hawa ni transgender? Maana hakuna a day in their life wamewahi kua wanawake (XY chromosome) mscheew
Men need women, for women sio lazima ( watasema tunajifariji, ngoja niishie hapa)
Thumbs up to you for holding your own agaisn’t misogyny!!
Make it make sense kuwa nakuattack. I don't engage in a war unless i have something to gain from it.....PUMBA, unadhania ukiniattack utapata credit? mpuuzi tu wewe
Hoja gani na zote nimekujibu?HUnijui na itabaki kuwa hivyo,umeshindwa kupinga hizo hoja umebaki kusema na decorate...acha viroja!
Sasa nikudanganye ili iwaje wadhani nipo hapa kutafuta followers wa Instagram? [emoji23]Hahaahh unajichoresha tu kuongea uongo.
Make it make sense kuwa nakuattack. I don't engage in a war unless i have something to gain from it.....
Am not waring you stop making this personal.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa nikudanganye ili iwaje wadhani nipo hapa kutafuta followers wa Instagram? [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app