Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Umeongea hakuna mwanamke hatongozwi Ila kuchagua kumewacost wanawake wengi wengi wao wanaangukia kwa waume za watuSizan Kama Kuna mwanamke mzma kiafya na kiakili akawa hataki kuolewa!!! Ila sema weng wao wanataftaga mwanaume mweny class furan na wa daraja la chin hatak
Sio kweli Wanaume wanaomtaka mwanamke wote ni WA hovyo sio kweli ni Hali ya kuchagua sana ndo inayowacost wanawake wengiHizi threads zinaleta tensio ukubwa wa tatizo ni kujua zaidi tatizo.. Naona ni fair sana hususani katika Maisha watu hwafanani kuwa wanawake wameolewa miaka ya mapema sana 19 tayar ana mtoto wengine mpaka 35 bado wako 40 wakina lady jay Dee na salama jabir yote swa tu coz fainal dunia tunapita...Tabia hilo tatizo lipo kwa jamii za sasa kwa kiasi kikubwa kwa nn mtu alazimishe na kupewa uoga wakati jambo liko nje wa uwezo wake? Kama hakujaaliwa usiforce ubaya ya tensions kama izi kutoka kwa watu ndo zinapelekea watu kujinyonga.
Wapo wadada wamekosa watu kabisa kuwa nao kutokana na kila anayekutana nae ni ovyo iyo ni nafsi yake kikubwa anaishi tu...makazini lipo sana kamtu kameolewa au kameoa basi kanaanza kujifanya kanajua kila kitu kisa kina mtoto kuforce wengine wawe kama yeye ni swala baya sana...miaka 35 kwa demu ambaye hajachezewa sana bado yupo poa sana labda kama aliaanza kuchezewa kitambo
Mwongo weweWanawake weng kweny umri huo Kama Yuko sawa kiafya lazma atakuwa aliwah kuolewa Mara kadhaa na ikashndkana ,weng wao huwa tayar washazaa pia huwa wamekata tamaa na ndoa.
In short wanawake katka Rika hili huwa hawana stress maana Mambo meng washayapitia.
ili kuondoa wimbi hili wanaume tujitahid tuoe wake Zaid ya mmoja
Tena kinakua mnato balaaHivi kufikia muda umri huo kinakuwa kimekauka eti?
Mhmbona sawa tuu....
shida ni pale wengine wanapokuona mkosaji, its your fault and you should feel guilty about it,
lets face it, hata km Mungu angeumba wanawake population sawa na wanaume, still sio wanawake wote wangeolewa due to other factors as well,
yes im 39 single, dont feel sorry for me, there's nothing to feel sorry about and dont bother make me feel guilty, you wont suscseed..lol
yakheee mbona umeguna?
Yaani hyo paragraph ya kwanza tunadanganywa sana.kwa mila za Kiafrka wanawake huolewa, na sio kuoa
sasa kama wanaume wa kuwao hawapo/hawajajitokeza; Sina sababu yoyote ya kuwalaumu wale ambao hawajaolewa ukichukulia pia kuwa; wanawake ni wengi kuliko wanaume.
Kuhusu kushare experience; Kimsingi watu hujifunza kuishi kutokana na hali yao hata hivyo hakuna njia moja ambayo ni sahihi kwani hutegemea mambo mengi; ikiwepo uwezo wa kifedha, support anayopata kwenye familia, mji au eneo anapoishi, marafiki nk
Mwanamke huingia menopause kwenye 45yrs hivi , hivyo 35 bado ni umri mzuri tu wa kuolewa!
Kwa sababu kisaikolojia najua unaumia.yakheee mbona umeguna?
Yaani wewe ndio unafit perfectly nilivyodescribe hapo juu...Kwa sababu kisaikolojia najua unaumia.
Najua haupo sawa ila hautakubali.
Watu wa jamii hupenda kujionesha wako very stable na strong ila wakiwa chumbani peke yao machozi ya damu hulindima kwenye mashavu yao.
Karma is a bitch and its real ma single mother wakae Kwa kutuliaYaani wewe ndio unafit perfectly nilivyodescribe hapo juu...
Mnataka tuwe watu waku feel sorry for ourselves, sad, tulie...
Mkikuta hali ni tofauti,napo hamuamini,,,
Mnakuja na story za kujifanyisha, kwamba tunajifanyisha tuko strong...
Yote ni sababu mnaamini kutokuolewa ni kitu cha kinyonge, mtu lazima afeel sad,
Bro huwezi kujua perfectly kutokuolewa kuna feel aje,....
Zote ulizonazo ni imaginations/assumptations tu...
Again, there's no guilty about it, and there's no kujifanyisha strong either...
Karma is a bitch and its real ma single mother wakae Kwa kutulia
Mimi sisemi na sitaki ujihisi mnyonge kwa Kukosa kwako mume.Yaani wewe ndio unafit perfectly nilivyodescribe hapo juu...
Mnataka tuwe watu waku feel sorry for ourselves, sad, tulie...
Mkikuta hali ni tofauti,napo hamuamini,,,
Mnakuja na story za kujifanyisha, kwamba tunajifanyisha tuko strong...
Yote ni sababu mnaamini kutokuolewa ni kitu cha kinyonge, mtu lazima afeel sad,
Bro huwezi kujua perfectly kutokuolewa kuna feel aje,....
Zote ulizonazo ni imaginations/assumptations tu...
Again, there's no guilty about it, and there's no kujifanyisha strong either...
Ndio kinakuwa hakina ladha tena.Hivi kufikia muda umri huo kinakuwa kimekauka eti?