Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
WEWE ongea, kama every weapon inamlenga yeye ,unamuonea huruma wa nini?lolAm speechless maana dah kuna point inakuwa ngumu kumwambia mtu lolote na anakuwa kwenye stage ambayo every weapon imemlenga yeye.
Sent using Jamii Forums mobile app
I know. But we both now know how u feel in other words, a police officer and a criminal now how and why crime happens.MNhhhh........ NOT everybody see things how you see...so how you see things can be irrelevant..your subjective shit experience and how you see it is NOT what kutokuolewa means for Anita.
Naisubir hiyo unitag kabisa🤣🤣🤣🤸🤸🤸 Nataka nije na mada inayowauliza wanaume pia
Thats a grown age for a woman. There are no more cards to play on the table. U can't bargain.I'm 39!
Bado anajikaza.
Mimi Kuna mmoja alikuwa anasema hivi hivi nafocus kwenye carrier yangu, maendeleo binafsi, sitishwi na Mwanaume, Tupo sawa sibabaishwi.
Sasa hivi anajuta na kusaga meno ndio kwanza ana 36 yrs.
Kanasema bora ungenioa tu, nikamwambia ukifika 40 nitafikiria.
Ndio ninavyomuona Anita.
Acha tu yaani, kuna muda mtu unaona usiseme jambo lolote sababu utaumiza hisia za wengine.Aisee
Unadhani hata nimeelewa basi! Ni vile unashusha kimalkia ndio kumenifurahisha, sina neno hata!Ongea mkuu...
Amina, tumkumbuke kwenye maombi.Ok! But utampata wa kukuoa, Mwenyezi Mungu ndiye mpangaji.
Hakuna mtu wa hivyo. Labda kwenye movie. Trust me ndio is the number one purpose why wanawake wapo Duniani. Kama unabisha peleleza.Kama umekubali huwezi kujua mawazo ya watu, case closed, huwezi kuwa certain watu wanaathirika kisaikolojia kama hawaolewi....sababu wapo ambao hawajaathirika. bye
Lakini wewe...au basi🤣🤣🤸🤸🤸 Nataka nije na mada inayowauliza wanaume pia
No u don't need to show us we can see it ourselves. U just choose to make an argument off of an empty opinion.Mnhhhhh.....kama ni fact sijaona facts mpaka sasa kwenye topic hii....mnachowaza hakipo hivyo...tunawaeleza ilivyo hamtaki.....lol
Thats a grown age for a woman. There are no more cards to play on the table. U can't bargain.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakusaka ewe bintiNaisubir hiyo unitag kabisa🤣
No u don't need to show us we can see it ourselves. U just choose to make an argument off of an empty opinion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawapo pekee yao. Wapo wengi sana. Na hii huwakuta mabinti ambao wamekataa sana wanaume serious at a very young age kipindi wakiwa hot cake. Mfano, Wema sepetu.Bado anajikaza.
Mimi Kuna mmoja alikuwa anasema hivi hivi nafocus kwenye carrier yangu, maendeleo binafsi, sitishwi na Mwanaume, Tupo sawa sibabaishwi.
Sasa hivi anajuta na kusaga meno ndio kwanza ana 36 yrs.
Kanasema bora ungenioa tu, nikamwambia ukifika 40 nitafikiria.
Ndio ninavyomuona Anita.
No dear. I think i should keep quiet at this point. Save u some trouble and misery.WEWE ongea, kama every weapon inamlenga yeye ,unamuonea huruma wa nini?lol
Nipo hapa Sina usingiz napitia madini ya watu hapaNakusaka ewe binti
Mmmmmmhmn aiseee. Pole sana lakini.Unavyomuona Anita muone hivyo hivyo...ila hii haimaanishi ndivyo anavyojiona,
Si kweli wote wasioolewa wanajuta, au watajuta....
Na si kweli wote walioolewa hawajutii uamuzi huo...