Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

[emoji39][emoji23] mpwa acha habari zako bwana...
Nimeshajiandaa kuona mambo adimu ujuwe..
Mambo adimu yapi bhana wakati kila ukikatiza kona 2, unakutana na mizigo ya kila kilogram mpwa.
Au wataka na hili pia ushuhudie?
 
Mambo adimu yapi bhana wakati kila ukikatiza kona 2, unakutana na mizigo ya kila kilogram mpwa.
Au wataka na hili pia ushuhudie?
Naam mpwa, nataka kushuhudia hilo zigo, nipate kulivutia kasi..[emoji39]
 
Mtaani kunae wadada wawili...mmoja anae Sura nzito kama futari ya magimbi...na mwingine anae sura ngumu kama sahani ya mfupa.....WANATUMIKA BALAAA [emoji119]

#SITAKI_MASUALI [emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…