Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Wanawake wenye sura nzito/ngumu tukutane hapa

Mwanamke ukiwa na sura ya babako,bas atleast ujitahidi kwenye kunyuka pamba,kufanya mazoezi,kunukia vizuri,na kutabasamu vyote hivyo vinasaidia,unaongeza maksi,sio unakuwa na minyama uzembe,kuvaa hujui,pafyumu yako ya buku 5 inanuka kama ubani maiti,confidence huna,tabia nazo mbovu unakuwa hubebeki sasa.
 
Back
Top Bottom