Wanawake wenye tabia za kiume wanakera sana

Ndio vivyo hivyo hata Mtoto wa kiume,,,akiwa na tabia za kike unakera pia!!
 
Mikoa ipi mkuu , kila kabila Tz lime mshape mwanamke kulingana na mahitaji yao , shida ilianza tulipo oana kabila moja kwa jingne ,tukaanza kuona hizo tofauti , mfano kwa wachaga hakuna hisia bila kuwa na pesa , apo ukijichanganya lazima uumie .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mahali hujamgusa vizuri mkuu mbona wanalegeaga tu Hao chaap.....tumia uanaume wako vizuri mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mfundisheni mwenzenu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufaaaa mimiiii mwenzenu, kwa kuchekaaaaa, khaaaaaah
 
Katika pita pita zangu mademu wenye sura za baba zao ni wagumu Hadi kukojowaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mna nini lakini nyie watu, nacheka km mwendawazimu.
 
wewe uko sahihi sana.... ukiona mwanamke anatabia za kiume ujue kuna mahali umeyumba🙄🙄🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…