Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mikoa ipi mkuu , kila kabila Tz lime mshape mwanamke kulingana na mahitaji yao , shida ilianza tulipo oana kabila moja kwa jingne ,tukaanza kuona hizo tofauti , mfano kwa wachaga hakuna hisia bila kuwa na pesa , apo ukijichanganya lazima uumie .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mfundisheni mwenzenu.Kuna mahali hujamgusa vizuri mkuu mbona wanalegeaga tu Hao chaap.....tumia uanaume wako vizuri mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufaaaa mimiiii mwenzenu, kwa kuchekaaaaa, khaaaaaahKuna dada mjeda ana sura nzito km tope alafu ngozi imeshuka km kamwagiwa uji uliopoa uwe unashuka sasa slowly…… namuwazaga sijui ndani inakuwaje na mumewe?!!
Muda wote mkali km pilipili, wanaume nawapongeza kwa kutuoa na mapungufu yetu aiseee na ile rangi ilivyo nyeusi tiii km usiku wa balaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani mna nini lakini nyie watu, nacheka km mwendawazimu.Katika pita pita zangu mademu wenye sura za baba zao ni wagumu Hadi kukojowaaa
Vingine havifundishwagi ajiongeze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mfundisheni mwenzenu.
wewe uko sahihi sana.... ukiona mwanamke anatabia za kiume ujue kuna mahali umeyumba🙄🙄🙄Tabia (unaweza ifanya ikawa weak au strong ).. kama una mwanamke ana tabia za kiumez tafuta weakness yake, mfunike na kifuniko cha mapenzi na atakuwa na tabia za kike.
Mwanamke yoyote anataka kupendwaa.. ukiona wako ana tabai za kidudubaya.. ujue kuna mahala ujacheza napo.. sio mbinu ya hakika 💯