Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Tunafahamu mnaumia na nyie ndio mnafeel the way inauma hiyo,
Poleni na tunawaombea mpate njia salama ya kupunguza/kujikinga isiyo na changamoto mbeleni
Bibi yako wa miaka hiyo/ex alikuwa anapata homa kabisa na alikuwa anapenda nimfanyie massage/kumkanda kanda so nilikuwa naghairisha mambo mengi ikiwa ni siku ya u busy kwangu .
alikuwa analegea sana na kuchoka so hiyo ilikuwa inampa hali nzuri kidogo na kumpunguzia maumivu,ilikuwa inamtoa usongo wa mawazo juu ya maumivu yale
Poleni na tunawaombea mpate njia salama ya kupunguza/kujikinga isiyo na changamoto mbeleni
Bibi yako wa miaka hiyo/ex alikuwa anapata homa kabisa na alikuwa anapenda nimfanyie massage/kumkanda kanda so nilikuwa naghairisha mambo mengi ikiwa ni siku ya u busy kwangu .
alikuwa analegea sana na kuchoka so hiyo ilikuwa inampa hali nzuri kidogo na kumpunguzia maumivu,ilikuwa inamtoa usongo wa mawazo juu ya maumivu yale
Maumivu yanakuwa si kawaida,