Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ikipita stage hii inakuja ile ya "hamu hamu"?Sio mara ya kwanza... lakini hayazoeleki😓
Ungeyesahau hata hayo maumizi unayopitia ningekua jirani...Yani ungekua jirani ungekua unalia saizi
Have a trial and come again to tell the mass!Zinatibu kabisa ??
Ila kuikalia si unaweza?Habari ya asubuhi,
Wenzangu huwa mnazoeaje haya maumivu jamani?[emoji29][emoji29]
Yaani iko hivi, tumbo linauma kama mtu yupo tumboni anavutavuta utumbo, yaani kama yuko na kijiko anakwangua ukoko kwenye sufuria vile. Sasa ushuke chini kiuno jamani, ni kinakamaaa kama sijui nini, ukijinyoosha tu maumivu yake ni shida khaa![emoji2955][emoji2955]
Kuja sehemu nyingine huku chini ni kama sindano zinachomwa chomwa huko ndani, ni full shida yaani haaaa.[emoji24][emoji24][emoji24] Hapo bado uje kwenye matiti ni yanauma jamani,[emoji26][emoji26] yamesimaa halafu ni mekundu, yaana moto kama sijui kitu gani yaani, bra yenyewe nimepata shida kuvaa maana nikivuta tu mkanda nasikia maumivu sio ya nchi hii.
Yaani nimekunywa dawa zote unazozijua za kutuliza maumivu lakini wapi.[emoji29][emoji29] Wakasema ninywe maji ya moto ila nakaribia kumaliza chupa hapa lakini sioni dalili ya maumivu kupungua, mkojo tu unabana nikienda chooni kuchuchumaa nako tabu haaaa![emoji37][emoji37]
Yaani hapa niko ofisini siwezi kukaa, natembea tembea tu muda wote, nasubiri kila mtu aingie ofisini kwake nibebe PC yangu nikajilaze kwenye kochi la wageni pale reception. Maana nina tabu jamani kusimama muda wote, nikisema nikae yaani kama nakalia sindano haaa![emoji24][emoji24]
Wenzangu mnawezaje kuzoea, maana mimi nashindwa jamani? Sijui Mungu aliwaza nini kuniumba wa kike, naumia mwenzenu, [emoji26][emoji26][emoji26]nifanyeje eti?
Sawa,ufanye kazi sasaNiacheee🤣🤣🤣, naumia mwezio jamani usinichekeshe😓
ukimaliza nunua kisoga mahi dia and thank me leter ila uwe na babe maana mbali na kurekebisha hayo maumivu inalete genyeSijui labla nitafute za kienyeji my dear maana za hospital hazijawahi kunisaidia eti... labda sindano sijui nijaribu 😖
😬😬😬😬 bora we umeongeaUjue Umenidindisha kikumaa asee!!
Astaghifilullah!🤔ukimaliza nunua kisoga mahi dia and thank me leter ila uwe na babe maana mbali na kurekebisha hayo maumivu inalete genye