Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa mbaya sana hizi ukizitumia ovyo.Predinisolone tabs.
Sawa...We haya..
Sikushauri uvute bangi japo naipenda sanaSijawahi tatizo..na sijui zinapatikana wapi
Za kienyeji zinatibu ila shemeji akiteleza mimba tayari 😀Sijui labla nitafute za kienyeji my dear maana za hospital hazijawahi kunisaidia eti... labda sindano sijui nijaribu 😖
Atumie kadiri ya maelezo.Dawa mbaya sana hizi ukizitumia ovyo.
ficha upumbavu wako.Ujue Umenidindisha kikumaa asee!!
Kuna dawa hapa ipo kwenye kopo ilibaki kuna mdada alikuwa anazimia kabisa kwa hayo maumivu, mpaka akachomwe sindano na drip kadhaa ndo anaamka, kama hutojali uje PM tuelekezane namna nitakutumia.Sio mimba😥😥... ndo inakuwaga hivi miezi yote 😓
Hongera aiseeMi sijawahi umwa kiukweli ila nilichobahatika ni tarehe kugonga mulemule....ivo huwa najua kuwa kesho naingia period na haikosei....lasivyo bila tarehe kutokuyumbayumba ningekuwa naaibika kwa kuingia period bila kujua.
Pole sana cute...
Ndio uwanawake huo
Nipo na mganga wangu wa jadi ameniambia una kipapi.It's a mere joke.Usichukulie maanani.Kisoga ndo kinini??
Sa si Ndio!!kwani kudindisha ni dhambi asee Haswa Kwa Mtoto wa kiume??###NyokoMbiliwewe###ficha upumbavu wako.
akili za baadhi ya watu weusi ni kila wakati kuwaza ngono tu.
kwa kuendekeza nyege namba hiyo, wewe unaweza hata kumbaka mama yako mzazi.
Astaghifilullah!🤔ficha upumbavu wako.
akili za baadhi ya watu weusi ni kila wakati kuwaza ngono tu.
kwa kuendekeza nyege namna hiyo, wewe unaweza hata kumbaka mama yako mzazi.
Asante kwa ushauri mzuri kiongozi...nitaufanyia kaziKwa maelezo yako hizo zinaweza kuwa dalili za tatizo linaloitwa secondary Dysmenorrhea. Haya ni maumivu makali na muda mwingine huweza kudumu kwa kipindi kirefu zaidi ya kipindi cha hedhi na yanatokea wakati wa hedhi. Baadhi ya wanawake hufikia hatua ya kulazwa hospitali hadi muda wa hedhi utakapoisha.
Wanawake wengi wenye maumbo yanayowavutia wanaume mara nyingi huwa na tatizo hili (utafiti wangu) na isitoshe nawe una umbo la namna hii😂
Sababu kuu ya tatizo hili inakisiwa kuwa ni ulemavu wa kiungo katika mfumo wa uzazi (disorder in the reproductive organs). Ninaweza kukubaliana na makisio haya kwa sababu wanawake wengi, kama siyo wote, waathirika wa hali hii, huwa wanayo shida ya kupata watoto.
Hivyo, ninakushauri. Tafadhali, kutana na daktari bingwa wa magonjwa ya kinanama kwa ushauri zaidi wa kitabibu. Achana na bush doctors la, sivyo, utakuja kujuta baadaye.
POLE SANA.
Naunga mkono hoja namba 1.🤣1. Beba mimba hiyo hali itaisha hasa ukishajifungua.