Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utatajiwa magonjwa leo mwisho upate pressure uzimie ,uamkie hospitalNaomba unifafanulie bibi, chango ndo kitu gani 🤔🤔
Tangawizi sawa,hiyo bangi[emoji16][emoji16]You can't be serious [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
pole sanaa mama utakuw sawa cha msingi uchukue ushauri positive wa wadau humuBora nije tu kazini my friend...kila mwezi naomba ruhusa hadi najiskia aibu 🤦♀️🤦♀️
🤔😋😋😋 Dawa mbona ipoHapo bado uje kwenye matiti ni yanauma jamani,😥😥 yamesimaa halafu ni mekundu, yaana moto kama sijui kitu gan
Asante kipenzi,, nitaufanyia kazi ushauri wakoAccording to dk Berg maumivu makali sana wakati wa period huwa yanasababishwa na upungufu wa madini ya iodine mwilini. Jitahidi kula iodine rich foods ,tafuta supplements au tumia sea moss(mwani),sea kelp nk. Pole sana .
Umechukua uamuzi gani mgonjwa?Yani we acha 😂😂😓🤦♀️
Nasubiri mda wa kutoka niende hospitali my friend...Umechukua uamuzi gani mgonjwa?
Nikupeleke hospital?
Nikupeleke kwa dronedrake
Au kwa mawardat akupatie mitishamba
🙏🫂Asante kipenzi 🙏
Bangi ni dawa nzuri ukipiga na tizi alafu unywe na tangawizi itakusaidia kuweka mfumo wako wa damu vizuri na mishipa itakua poah. Sema hapo utakusababishia nyeg* mda mwingi sasa hapo ili kumaliza tatizo inabidi uje tupate katoto kamoja, hapo utakua umemaliza.You can't be serious