Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Pole sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyi dawa wanatumia wenye maumivu yale sugu na makubwa mno.Prednisolone hazihusiani na unachopitia
Hiyo buku nitumie mie niunge bando
Akiimeza atapona ndani ya robo saa wallahMimi nataka apone.Usugu hautakiwi.
Kuna muhishimiwa mmoja anaikataa kabisa wakati ni tiba nzuri tu.Akiimeza atapona ndani ya robo saa wallah
Lakini anajenga usugu mwilini
Kind of ni too heavy painkiller..
Hata hizo MR ume over do 😂😂Nimetumia ibrufen, nimetumia diclopar MR, erythromycin pia
We muuaji 😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️Kuna muhishimiwa mmoja anaikataa kabisa wakati ni tiba nzuri tu.
Bora madokta mpo wenye akili. LolDawa mbaya sana hizi ukizitumia ovyo.
Napenda kipenzi@Leejay apone.We muuaji 😂😂😂😂🏃♂️🏃♂️
Hizi za kienyeji km unaufahamu zaidi hebu tia nyama hpa dadaZa kienyeji zinatibu ila shemeji akiteleza mimba tayari 😀
Unapatikana wapi nikupe dawa au nikutumishie ,ukishapona ndio utalipia kiasi chochote utakachoona ni sawa.Jamani ,, sasa nifanye nini[emoji26][emoji26]
Kuna mtu alitak kunipa mm siijui ngoja nimuulizieHizi za kienyeji km unaufahamu zaidi hebu tia nyama hpa dada
sawa kipenziAsante kipenzi
Okay nasubiri mrejesho dadaKuna mtu alitak kunipa mm siijui ngoja nimuulizie
Si uweke hapa ili iwe msaada Kwa watu wengi?Kuna dawa hapa ipo kwenye kopo ilibaki kuna mdada alikuwa anazimia kabisa kwa hayo maumivu, mpaka akachomwe sindano na drip kadhaa ndo anaamka, kama hutojali uje PM tuelekezane namna nitakutumia.
Babe poleee sana tafuta pain killer mwaya unywe itasaidia kupunguza maumivu saaana
Usichukulie poa maumivu inaweza kia endometriosisHua nawaonea wivu ambao hamuumwi jamani