Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Tena kiazi chenyewe chelema hakiivi hata kikipikwa kwenye makaa ya maweMmoja wapo ni Konda wa bodaboda, kiazi chenye mzizi
Nimekutembelea nikakuta komeo mlangoni na kufuli inaning'inia kwa nje kujulisha umefunga mlango kwa nje, jee nikusubirie au unipangie nije tena lini.Pasco, huyu huwa haji huku mmu,yeye ni kule siasani tu,kiukweli navutiwa na post zake
Eeeh kuna tatizo gani tena? Hawa mods jamaniUnaweza kuaccess pm yangu, yako siwezi kuiaccess
Wewe nots hupati mimi sioni pa kutuma pm, doh hizi hujuma kwa kweliEeeh kuna tatizo gani tena? Hawa mods jamani
Teh mods wana nini na sisi jamaniWewe nots hupati mimi sioni pa kutuma pm, doh hizi hujuma kwa kweli
Hebu fanya maarifa sweet mankaTeh mods wana nini na sisi jamani
Nyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeniTena hapo kwenye mtoko ndo mtihani.... Mi siku nyingine hua naahirisha church kisa nywele.... Au mjini kama zimefumuka napata uvivu kutoka kwakweli. Ngoja tu nitaja nyoa tu
Mimi pia.
Ila jaribu kufikiria hizi nywele hatukuwa nazo...zitaota tu nyingine.
Nimechokaaaaa!
Nikitaka kutoka sina amani nywele natokaje [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Bora nibaki na afro tu.
Nikipata mtoko hata mafuta ya nazi twende na zinashine mbayaa [emoji108]
hivi si tumeambiwa sisi ndo tutaje, nakuzimikia pia [emoji8][emoji8]mzee wa churashunie namzimia kinoma noma
Waambie wanyoe na Ile misitu ya chini mkuuNyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeni
Kashawahiwa [emoji1] [emoji1]mkuu mimi pasco nakupenda sana na kwa vile sijamtaja mtu basi ni wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em rudia tena??Kipi kikuchekeshekacho
Nitanyoa nifuge dread asee...Nyoeni wapenzi hamtajuta yaan mm nilinyoa nywele zangu ndefu tu za dawa nikaanza upya tudogo sasa hivi na nywele natural nikijiskia natengeneza rafu mpk raha nikijiskia kusuka nasuka nyoeni
i love u, ivi emoji unazipata wap?hivi si tumeambiwa sisi ndo tutaje, nakuzimikia pia [emoji8][emoji8]mzee wa chura