Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Wanawake wenzangu, mwanaume yupi mwenye mvuto kwako humu JF?

Im Offended To Be Honest Bro. How Can You?
Man, How?
Umeniharibia Siku Mapema Sana Aiseee!!
Aarrgghhh.
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
..I said it was a MISTAKE,which Part of that word is Hard to fathom?!Ona hata Jibu lenyewe kama linafit ulichokiongea
 
Wanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?

Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.

Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
Asante dadaaa monicccca
 
Wanawake wenzangu tuambiane kweli ya moyoni mwanaume yupi mwenye mvuto kwako wa humu jf?

Unavutiwa na nini kwake, tuwe wakweli na wa wazi.

Binfsi navutiwa sana na mapanga3, kinachonivutia ni namna anavyopost nilifanya juhudi binafsi mpaka nikabahati kumuona kiukweli ni mtu anayejielewa na mwenye msimamo sana nilijaribu kumchomekea mambo fulani kabla sijaolewa lkn akanijibu kwa upole im sorry nafasi imejaaa. Nawewe mwenzangu emu funguka.
Hivi huyu BAGAH alifia wapi?
Nilikuwa nampenda ila katoweka kama moto nyikani, akatambaa zake.
Tutaonana tena
 
Hahahahaaa... wenye MAJINA humu JF kumbe wanazimiwa eeenh!
Au tatizo nyotaa, tuminye #
Kumbe miss chagga angekuwepo angemzimia mangi mwenziee...
[HASHTAG]#sweetmangi[/HASHTAG]
 
Pasco, huyu huwa haji huku mmu,yeye ni kule siasani tu,kiukweli navutiwa na post zake
Mkuu Mtende, asante kuvutiwa na post zangu ila huwezi jua sometimes usikute sio posti tuu ila kwa sababu posti ndio unaoziona.

Pia ni kweli humu MMU naingia mara chache ila mimi pia I'm only human hivyo nami.. huwezi jua!, nitakutumia salamu zangu in box!

Pasco
 
Back
Top Bottom