Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Akili za Wanawake bhana,
Yaan kijana humpendi ila vyake unakula na bado unawaza aendelee kukupa vingine
 
1. Mjane anatembelewa na kijana mdogo anaedai kutaka mtindi wa ng'ombe-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

2.mjane anabadilishana namba na kijana mdogo -mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

3.mjane na kijana wanatambulishana majina ikiwemo yale ya utotoni-mjane anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

4. Mjane anavutiwa na jina kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

5.mjane anapiga stori na kijana mdogo adi usiku wa manane-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

6.mjane anapokea misaada kutoka kwa kijana mdogo-mjane anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

7.mjane anaendekeza ukaribu na kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu

8.mjane anatumia gari ya kijana mdogo-mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeief

9.kijana anamkaribisha mjane geto kwake akapaone-mjane anachekacheka anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

10.mjane anaendelea kumzungusha kijana huku alijua nia yake-hata hivyo mjane anakunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

11.baada ya kuona huu sasa uboya kijana anaweka wazi nia yake kwa mjane-mjane anajitoa ufaham anaendelea kukunja pesa ya kijana mdogo na haombi ushauri Jeiefu.

12.kijana anamwambia mjane wakacheki afya kabla ya kuzagamuana(kijana anataka kuzaa na mjane)-mjane anachekacheka na kumjibu kijana mdogo "sawa" na haombi ushauri Jeiefu


13.mjane anabaini kumbe yale maziwa mtindi ilikuwa gia tu ya kijana kuingilia-hata ivyo mjane anapuuza hayo yote na kuendelea kukunja pesa ya kijana bila kuomba ushauri wowote kwa mwanasheria wake wala hapa Jeiefu

14.Baada ya kijana kuona rasilimali zake zinateketea na hapati majibu yaliyonyooka anaamua kusitisha huduma-mambo ya msingi ya mjane yanakwama maana alishaanzisha ujenzi madale kwa ela ya kijana.

15.baada ya kusisitiziwa atoe utam, mjane anashtuka na kufungua macho na kugundua kuwa;

(i) kumbe yule kijana mfadhili wa muda mrefu ni mdogo na ivyo sio "my type"

(ii) mjane ni mweupe (sijui kaambiwa na nani) na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(iii) mjane ana shepu na ivyo kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(iv) kajigundua ana 39 na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

(v) ana sauti ya kumtoa nyoka pangoni na ivyo yule kijana mfadhili wa muda mrefu sio "my type"

Hivi tumeishia wapi wajamen?
 
MWANZO 4:7

“Kama ukitenda vyema, hutapata kibali? Usipotenda vyema dhambi iko, inakuotea mlangoni, nayo inakutamani wewe, walakini yapasa uishinde.”

UWE NA SIKU NJEMA
 
Sasa kipenzi na misaada yake basi asipokee naona hana pa kukwepea na hapo anakwambia mambo ya biashara mpya ameambiwa atasaidiwa tena

Na kingine ukisoma vizuri mwanamke mwenzetu ni kwamba na ye ameshampenda jamaa sema anaona aibu ya umri tu
Uyo hajampenda jamaa
umaskini TU unampeleka puta
Angekua na kipato keshamtolea nje MDA Sana uyo kijana
 
Unamshaurije, na vitu alivyotumia atavirudisha vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…