Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Wanawake wenzangu naombeni ushauri: Umewahi kukutana na kulifanya jambo hili?

Kama kweli ulitaka ushauri kuchukua huu hapa. Labda uliwe tu kutuliza nyege ila hapao hakuna mapenzi
Unapotosha midabwada bhana!
Wewe tafsiri ya mapenzi kwako ni nini?
Labda tuanzie hapo kwanza, maana hajazungumzia kuolewa ujue!
 
Usijumuishe mambo. Mahusiano kudumu au kutodumu haihusiani na umri. Wapo ambao mahusiano yamedumu na wamepishana umri na wengine wako umri sawa na wanaume au ni wadogo zaidi lakini hawakufika mbali. Je mahusiano yote yanayovunjika sababu ni umri? hapana.

Financier decide, kama mwanaume anakaa mwanamke anatoa hela zote ni sawa, kuna wanaume goi goi, ila Mwanaume Mtafuta hela, asione vijana wenzie warembo wenye 23 years, sio duniani, labda Mars
 
Ukiachilia mbali tofauti uliopo kwenye umri je

1. Moyo wako unasemaje juu yake?

2. Upeo wake juu ya kuchanganua mambo/changamoto ukoje?

3. Kiwango chake cha busara/hekima kwa muono wako kinaridhisha?

Age is just a number.....

Wapo wazee watu wazima ila tabia zao hazijitoshekezi
Na wapo vijana wadogo ila akili na ustaarabu wao ni vya kiutu uzima


Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
clara kidoti

Kwa maelezo yako tu unaonyesha ushampenda na umevutiwa na vimisaada vyake unavyovipata kwake..maamuzi yako kwako (kuamua kutembea na mtoto wa Dada ako au kuamua Kuulinda Utu wako)🧕🏻

Nakushauri:-

Dont dare..Jithamini..Jijali..Jilinde na Jiheshimu mbali na hapo utadhalilika na kujiingiza kwenye msongo wa mawazo unaoweza kuuepuka..weka nguvu yako na mapenz yako kwa Wanao toa mawazo ya mahusiano

Mahusiano yako na mapenz yako ni Watoto wako💚
 
Wanawake wajinga sana 39yrs halafu unasaidiwa Maisha na kijana wa 28yrs na huna akili ya kulipa fadhila, umewapa wangapi hio pusina na wamekupa nini, wanawake wa kinyakyusq akili ndogo sana ndiomana mnaliwa sana mbususu na kuachwa hovyo ukiwa unapokea misaada toa na hio pusina acheni ujinga, Dude lile halina umri tena huyo ndio umri wake mzuri akusigue hio pusina vizuri
Mjinga tu, wakati anapewa alikua anapokea tu. Amnyime atwangwe risasi
 
Atakusumbua huyo utakuja tena kutuomba ushauri japo wajomba zake pia wasumbufu ila hutu tutoto ni shiida
 
Atakusumbua huyo utakuja tena kutuomba ushauri japo wajomba zake pia wasumbufu ila hutu tutoto ni shiida
 
Mpe tu mama kijana mwezetu huyo iyo mbususu yako upweke nao ni tatizo mda mwingine swala la kutangaza kama hakakua ilo ni tatizo lake kikkubwa akupe raha tu na ahakikishe unakojoa hayo mengine ni shauri yake.Maendeleo hayana chama ili nalo ukalitizame uone ni namna gani unampa kijana mwenzetu tunasubiria mrejesho ukishampa uteleze

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
We mzee baba umeingiaje hapa harafu unazidi kumpoteza dada wa watu ishu ya utelezi sio ndogo mkuu!!?
 
We unaonaona kuna mpotezeaji hapa?
hakiii wakati anaandika hii post mapajani hakukua salama!
Hahahaha anajifanya the boss lady sio😂😂 asisahau mrejesho tu tujue lipi ni lipi,, na matokeo yake

Halafu itabidi waombe ushauri wote wawe wanaleta mirejesho ya shauri zetu au unaonaje snow?
 
Hahahaha anajifanya the boss lady sio😂😂 asisahau mrejesho tu tujue lipi ni lipi,, na matokeo yake

Halafu itabidi waombe ushauri wote wawe wanaleta mirejesho ya shauri zetu au unaonaje snow?
ila kweli.

Ujue tunatumia akili nying sana na hawatulipi mbwa hawa(in Warumi's voice, rest in peace mbea mwenzetu, mbwa alitukomesha ka kufa yule! dah!)
 
Back
Top Bottom