myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
š¤£š¤£Hapo ulipofikia hata tuseme nini utaliwa tu, We nenda ila kuwa makini usirudi na mimba tu. hata akitangaza hakuna ushahidi [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£š¤£Hapo ulipofikia hata tuseme nini utaliwa tu, We nenda ila kuwa makini usirudi na mimba tu. hata akitangaza hakuna ushahidi [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh watukuyu gani mweupe [emoji23][emoji23][emoji23]Ukoo tofauti kabisa hata majina ya mwisho dear. Yeye wa Kyera mimi wa tukuyu.
Watoto wangu hawamjui .
Ila yeye anawaona tuu.
Ndo hapo sasa jiulize.[emoji23][emoji28][emoji23][emoji2][emoji2] mbona kwenye kutumia pesa zake hukujiuliza kama ni mdogo au kama atakutangaza?
š¤£š¤£š¤£š¤£šI love you too my haloo leo ww ni wa moto twende chumban PM mara moja tukabebike
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Uzi umefungwa!
alafu hivi vidogo vya 2000 vinapenda mishangazi *****Kama ni katoto ka 2000 hapana jamani
[emoji1787][emoji1787]umesanua me kibao humu , una akili kubwa mkuuIvi kumbe nimechangia uzi wa wanawake
Mama yangu alikuwa mtu wa singida.Mh watukuyu gani mweupe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sio tapeta hii.
Haya banaa ngoja nikae kimyaa
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kapeace
Kama inakanganya hivi eeee?Ni mimi tuu au hata wengine hicho kipande cha mapacha wa kiume wanafanana baba yao hamjakielewa? Back to the topic. Sitochangia chochote maana swali limeelekezwa kwa wanawake. Lakini mleta mada ungeusikiliza moyo wako.
Sio fair wapi hebu acheni hizo banaaa,39 years you are too grown to be dating a 28 years younger to you.
39 is a retreat phase kwa mwanamke huo sio muda wa kuanza kukimbizana na mapenzi bali familia na ndoa.
So usiingie hapo. Just kaa nae chini umwambie exactly that kuwa sio fair wewe na yeye kuwa partners.
Tena wewe una na huna hasila na hasira hujui kuzitofautisha hata kupiga mashine hujui itakuwa, siwezi jisumbua hata kuja pmKapeace
Kashaamua ndo anaenda kupeleka maana huna hasila balaa.
Mbona mimi nipo rwanda huku nipo na mama mmoja wa kitusi ni pm nikuonyeshe chatting zetu na ninji aliavyo mrembo.
Kanizidi miaka kama 9 hivi.
Ni mrembo balaaa.
Poa kabisa. Vipi wewe, upo salama?Mambo?
Alimaanisha kuwaKama inakanganya hivi eeee?
Nimeparudia sijapaelewa vzr...
Na stories za mapacha sjaelewa zimekujaje
Mara mtoto wa kwanza kaka yao[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Alimaanisha kuwaNi mimi tuu au hata wengine hicho kipande cha mapacha wa kiume wanafanana baba yao hamjakielewa? Back to the topic. Sitochangia chochote maana swali limeelekezwa kwa wanawake. Lakini mleta mada ungeusikiliza moyo wako.