mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
mbona huwashauri wakamate vimarioo?😀
au unataka uvibemende vyote peke yako?
sema uwaambie wapunguze vigezo, ili na sisi maskini tuoe
ila pressure lazima iwepo kidogo aisee, haswa kwa wale wanaotaka watoto
mada za namna hii huwa ni ngumu sana
au unataka uvibemende vyote peke yako?
sema uwaambie wapunguze vigezo, ili na sisi maskini tuoe
ila pressure lazima iwepo kidogo aisee, haswa kwa wale wanaotaka watoto
mada za namna hii huwa ni ngumu sana