Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Nikwambie mkuu, nje ya jf tuko tofauti sanaa trust me! Hata wewe wa uraiani sio huyu😀😀😀😀 Sipo kwenye ufeminist ila hayo niyamoyoni wanaume sikuhizi mmekua wajuaj
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikwambie mkuu, nje ya jf tuko tofauti sanaa trust me! Hata wewe wa uraiani sio huyu😀😀😀😀 Sipo kwenye ufeminist ila hayo niyamoyoni wanaume sikuhizi mmekua wajuaj
Yani 🤦🏽♀️ acha tuendelee kuwazoom, labda wanatosha kwenye “Ke” pia, dunia ya leo huwezi jua 😎😄Uzi wameitwa wanawake wamejazana wanaume wanachamba
Mweh🙆
Mtu hachafuki bila kucheza kwenye uchafu. Unataka MUNGU akuepushe na wanaume wa hovyo,je wewe ni msafi na hauna mambo ya hovyo ndani yako? Wa hovyo huvutia wa hovyo wenzake.MUNGU niepushe na wakaka wenye tabia kama za wajamii forum🙏
,😂😂
Unathibitisha vipi wamejazana wanaume?Uzi wameitwa wanawake wamejazana wanaume wanachamba
Mweh🙆
Huwaoni?Unathibitisha vipi wamejazana wanaume?
Kwa namna navyojithamini sidhani kama naweza kujiruhusu ata kufikiria mambo ya ovyo au machafuMtu hachafuki bila kucheza kwenye uchafu. Unataka MUNGU akuepushe na wanaume wa hovyo,je wewe ni msafi na hauna mambo ya hovyo ndani yako? Wa hovyo huvutia wa hovyo wenzake.
Ulitaka mtu anayezifuata njia za shetani aitwe jina la ki"MUNGU, tukisema hiki ni kizazi cha nyoka muwe mnatuelewa na ndio maana kila siku tunawaponda vichwa humu ndani maana tunajua ni watoto wa nyoka.Hilo Jina Lilith unaelewa maana yake dada yangu?
Wana machungu mnoYani 🤦🏽♀️ acha tuendelee kuwazoom, labda wanatosha kwenye “Ke” pia, dunia ya leo huwezi jua 😎😄
Kuna wanawake wanaweza act wanaume kwa kutumia hizi id.Huwaoni?
Then why una mashaka eneo la mahusiano sasa? Why uhofie kuvutia watu wa hovyo kama wewe uko poa?Kwa namna navyojithamini sidhani kama naweza kujiruhusu ata kufikiria mambo ya ovyo au machafu
umeyaharibu huko sasa unataka kutuharibia watoto wetu, we huna tofauti na mchawi. pambana na hali yako usitafute wafuasi ktk upuuzi huoLadies habarini za asubuhi, leo utani na masihara ya ushangazi naweka pembeni kidogo.
Nakusihi, tafadhali usikimbilie kuolewa na kuzaa. Chonde chonde, naona kuna nyuzi nyingi humu za kusakama wanawake wa over 30 na kuwaambia namna thamani zao zinavyoshuka kadri umri unavyozidi kwenda.
Hiyo ni perspective ya upande wa wanaume, ila kwetu kama wanawake, hakuna kosa kubwa utakalojutia kama kukimbilia ndoa na kuolewa na mtu ambaye si sahihi. Chukua muda kumfahamu mwenza wako na jitahidi kuolewa na mtu mnayeendana kimaadili, kiutashi na mwenye mapenzi ya kweli ili mkipata watoto wasiteseke. Kisaikolojia, inaathiri sana watoto kukua kwenye dysfunctional homes, nyumba ambazo wazazi hawana maelewano, upendo wala wababa hawashiriki kwenye malezi ya watoto wao. Kuna tafiti za kutosha kwenye hili na wengine waliotoka kwenye hizo nyumba za magomvi tunawaona humu kwenye mitandao wanavyobehave.
Usiogope kumuacha mwanaume kwa hofu ya kutopata mwingine, kama unaona dalili na tabia zisizofaa kabla ya ndoa, jua zitaongezeka mara 10 baada ya kuoana. Tunasikia visa kila siku vya wanawake wenzetu wanavyoteseka, ila tumenormalize sana madhila ya mahusiano mpaka yamekua mambo ya kawaida tu. Baadhi yetu tukiambiwa tutaje wanawake watano kutoka kwenye familia zetu au tunaowafahamu kwa ukaribu wenye furaha kwenye ndoa zao, tunaweza tusiweze.
Maisha yamebadilika, fanya uamuzi ambao ni bora kwako na uzao wako na si kwa sababu utaonekanaje kwenye jamii kama hujaolewa.
Ni hayo tu, nawasilisha!
CC:
Bantu Lady jannelle realMamy Joannah leo dada Qashy Lilith Lamomy
PS:
Yes, nimeishi kwenye ndoa na nina watoto. No, sitajibu maswali zaidi kuhusu maisha yangu binafsi.
📌Chukua nyuzi kama unaona inakufaa kama haikufai, achana nayo 📌.
Single women hawapendi kuona wanawake wengine wanakuwa na mahusiano sababu wanajua kuwa hiyo hali inaweza waua kwa upweke ndio maana wanapambana kutwa kucha kuharibu mitazamo ya wanawake wenzao na kutoa ushauri wa kupotosha wanawake.Hukuona uzi wake kutafuta mtu wa kumkojoza?? Hadi aliandika email yake watu wakaanza kurusha kamba, yeye yuko desperate alaf anashauri wenzie wasiharakie mahusiano!! Atasema matani, matani gan na email alikua anazijibuu?
Tupe maelezo ya hilo jina tafadhali na origin yake then tujue namna ya kukuomba radhi kwa kukutafsiri vibaya🤔Vizuri mno kaka yangu
pole sana dadaWatu wanaoweka presha Kwa wanawake humu ni wale ambao maisha yao ya mapenzi ni vuruguvagara ndoa zao zipo kichwa chini miguu juu either wanamkosi kwenye mapenz Kila wanapogusa wanakula vya kichwa Sasa wanaona sehem yakuja kujifariji ni humu JF Ili wapooze mioyo Yao wanaanza kutoa habar negative kuhusu wanawake yaan mtu unaona kabisa huyu Kuna kichwa Cha chuma kimemkuta ndo maana anakuja kutoa povu
Kamwe Sito pelekeshwa na maneno ya humu ndan yaan hata wakitumia viongozi wa dini au vtabu vya din maneno yaoo sio sumu hayaui mtu
Wameitwa wanawake na wewe umetokea na ID yako inasema jina lako ni Nicholas, halafu unaandika vitu havieleweki. Nani amekuvuruga mapema yote hii?umeharibu huko sasa unataka ku
umeyaharibu huko sasa unataka kutuharibia watoto wetu, we huna tofauti na mchawi. pambana na hali yako usitafute wafuasi ktk upuuzi huo
Adam's ex wifeTupe maelezo ya hilo jina tafadhali na origin yake then tujue namna ya kukuomba radhi kwa kukutafsiri vibaya🤔