Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ana mdomo mzuri hadi asumani kichwa wazi amesimamaHuyu ni bibi yako mke wa Asprin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mdomo mzuri hadi asumani kichwa wazi amesimamaHuyu ni bibi yako mke wa Asprin
That’s too much information mjukuuAna mdomo mzuri hadi asumani kichwa wazi amesimama
Uwiiiiiiiiii!.....Am sorry!That’s too much information mjukuu
Tukutane hapa tupange mikakati...tusifanye makosa
Hoja au kioja? Sina shaka kauli zake sasa ni dhahiri zimetimiza lengo lake la kumwondoa mmoja wa wagombea Urais, kwenye reli ya kuingia Ikulu.Nasikia hata weupe pia pamoja kuwamwagia sifa kem kem na wao wanataka kumpiga chini nanihii. Siku ya kufa tumbili.......[emoji12]
Anatania?!Kwani alishindwa kufanya utani unaojenga nchi?Kwa nini huwa anafanya utani wenye viashiria vya ukabila,ukanda,ubaguzi,unyanyasaji wa kijinsia,kugawa watu,udini,e.t.c.Kwa nini asifanye utani wenye viashiria vya kujenga amani,uhuru,haki,usawa,maendeleo,etc?Hoja au kioja? Sina shaka kauli zake sasa ni dhahiri zimetimiza lengo lake la kumwondoa mmoja wa wagombea Urais, kwenye reli ya kuingia Ikulu.
Yeye na wafuasi wake kwenye mitandao ya kijamii wanakazana kupekechua vioja tu wakiamini ni mtaji wa kisiasa. Yaani hata misemo na vibwagizo vya utani kwenye kampeni vinachukuliwa na kushupaliwa! Huo ni ulimbukeni na ujuha wa hali ya juu.
Amini msiamini kitachotokea tarehe 28/10/2020 hamtokisahau maishani. Kuna maisha baada ya uchaguzi.
MkuuAnatania?!Kwani alishindwa kufanya utani unaojenga nchi?Kwa nini huwa anafanya utani wenye viashiria vya ukabila,ukanda,ubaguzi,unyanyasaji wa kijinsia,kugawa watu,udini,e.t.c.Kwa nini asifanye utani wenye viashiria vya kujenga amani,uhuru,haki,usawa,maendeleo,etc?
Mkuu sasa inabidi hizi harakati za siri tuzipeleke public,hamna namna tenaNina uhakika hata weupe hawakufurahi kuitwa viburudisho... mwanamme hufai yule.
ila unajua kunikomoa,eti mjukuu![emoji21][emoji21][emoji21]That’s too much information mjukuu
Weusi Hatafikiriwa Lolote Nyakati Hizi 😀😁😂Kwani kuna nini tena Jamani [emoji23]
Weusi tumeambiwa nini???[emoji1787][emoji1787]
😂😂😂😂😂ila unajua kunikomoa,eti mjukuu![emoji21][emoji21][emoji21]
Nani amesema?Weusi Hatafikiriwa Lolote Nyakati Hizi [emoji3][emoji16][emoji23]
Hamuonekani Vizuri Mkiwa Hadharani!!!
Kwa nini huwa unapenda sana kuninyima?Nilikukosea nini yaani?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Behaviourist behave yourself please.Kwa nini huwa unapenda sana kuninyima?Nilikukosea nini yaani?
Kwa kuwa unawaza ndani ya kisanduku huwezi kuona, kusikia na kukubali ukweli.Anatania?!Kwani alishindwa kufanya utani unaojenga nchi?Kwa nini huwa anafanya utani wenye viashiria vya ukabila,ukanda,ubaguzi,unyanyasaji wa kijinsia,kugawa watu,udini,e.t.c.Kwa nini asifanye utani wenye viashiria vya kujenga amani,uhuru,haki,usawa,maendeleo,etc?
Kwa nini huwa unapenda sana kuninyima?Nilikukosea nini yaani?
Mtu mwenye mawazo kama hayo ana uhalali gani wa kulaumu kauli za utani?Behaviourist behave yourself please.
Mgombea Wa Chama DolaNani amesema?
Kwa kuwa unawaza ndani ya kisanduku huwezi kuona, kusikia na kukubali ukweli.
Katika yote anayoyaongea na kuthubutu kuyatenda, wewe umeona hayo ndiyo ya msingi? Je, ya hovyo kabisa yanayotamkwa kutendwa hadharani na viongozi unaoshabikia, kwako ni sawa?
Km kiongozi anayegombea nafasi ya juu sana kitaifa anahasisha watu kuingia barabarani kwa hisia tu kaibiwa kura, ni SAWASAWA? Kiongozi anayedharilisha viongozi wateule wa Serikali kuwa huokotwa jalalani, ana sifa za kuongoza Taifa? Au kiongozi huyo huyo asiyeheshimu mamlaka (vyombo vya Dola atavyofanya navyo kazi akichaguliwa), ataheshimu atakaowateua? Hizo siyo dalili za kiongozi jeuri, mwenye majivuno na katili kuliko kiongozi wa aina hiyo aliyewahi kutokea dunia hii?
Wahenga walinena Panapofuka moshi pana moto au Dalili za mvua ni mawingu.
Mimi ni raia wa kawaida.Magufuli siyo raia wa kawaida.Magufuli ni Rais wa nchi.Kila analofanya na kuongea linafuatiliwa dunia nzima na watu tofauti tofauti pamoja na mashirika tofauti tofauti na kutafsiriwa tofauti tofauti kwa namna yake yenye athari kwa nchi yetu ya Tanzania.Kila analofanya na kuongea linawakilisha watanzania.Mtu mwenye mawazo kama hayo ana uhalali gani wa kulaumu kauli za utani?