very true ubaya ni kwamba wanaume wengi wana muda mchache sana wa kukaa na watoto wao,hivho mtoto hata kama yupo mazingira mabay na mama yake inachukua muda kutambua,Mimi mtazamo wangu ni kukaa na mwanagu ili nimuonye pindi akitaka kuharibika.
Kuhusu mama yake wa kambo ni kujitahidi kuwa karibu wa wanao, kila kitu kitakuwa okey.
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaume hawana cha kufanya?Uko sahihi kimtazamo ila niruhusu nikulishe neno kidogo kwenye hoja yako, point mezani sio kuwa ‘men are better’ bali ni kwamba men hawana cha kumfanya mtoto anayeishi na mama yake mzazi (mkewe).... sana sana itamlazimu kuonesha upendo zaidi ili kumfurahisha mkewe.
Mama ndiye mlezi, mama ndiye mlishi na mvishi na mambo yote... ni rahisi kwa mama kumlinda mwanaye dhidi ya ‘baba mbaya’ kuliko kinyume chake.
Chuki kwa mtoto wa kambo Baba ipo moyoniSi kweli hakuna kiumbe anayependa mtoto wa mwingine ni wachache sana angalia hata wanyama asogee mtoto sio wake uone atakavyompiga mateke. Kina mama wanaonekana wana roho mbaya kwa sababu muda mwingi wanakaa na watoto ila kina baba wa kambo wenye roho mbaya wapo sana nimeona baba wa kambo akibaka wengine hata kuua watoto wa mke wake ambao si wake. Na nimeona mama wa kambo wakiishi na watoto kama wamezaa sema wengi wa hawa inategemea na tabia ya mme pia.
wababa wanaobaka watoto wa kambo VS wamama wanaotesa watoto wa kambowanaume hawana cha kufanya?
unafahamu watoto wa kike wanavyokuwa abused na baba zao wa kambo?
nna mifano mingi ya wababa kubaka amakuwataka kimapenzi watoto wao wa kambo..
Chuki kwa mtoto wa kambo Baba ipo moyoni
Chuki kwa mtoto wa kambo Mama ipo kwenye matendo
Baba atamchukia mtoto wa mwanaume mwingine kmoyo moyo
Mama atamchukia mtoto wa mwamke mwingine kwa matendo..
Heri akuchukiae moyoni kuliko akuchukiae kwa matendo asee huyu wa matendo Acha kbsa
ila wa moyoni anaweza kaa na wewe mkacheka mkafanya kila kitu ila moyoni mwake anakuchukia mno.
Uko sahihi kimtazamo ila niruhusu nikulishe neno kidogo kwenye hoja yako, point mezani sio kuwa ‘men are better’ bali ni kwamba men hawana cha kumfanya mtoto anayeishi na mama yake mzazi (mkewe).... sana sana itamlazimu kuonesha upendo zaidi ili kumfurahisha mkewe.
Mama ndiye mlezi, mama ndiye mlishi na mvishi na mambo yote... ni rahisi kwa mama kumlinda mwanaye dhidi ya ‘baba mbaya’ kuliko kinyume chake.
huu ni ushindan wa jinsia na si kutafuta suluhu ya single parent childrenwababa wanaobaka watoto wa kambo VS wamama wanaotesa watoto wa kambo
ebu Tupe takwimu zako zinasema upande upi una idadi kubwa?
Nakubali hii100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake
ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)
kama wake aliyemzaa.
Uwezo huo wanao wanaume TU.
wanaume hawana cha kufanya?
unafahamu watoto wa kike wanavyokuwa abused na baba zao wa kambo?
nna mifano mingi ya wababa kubaka amakuwataka kimapenzi watoto wao wa kambo..
really?Ni mara chache mno, ukilinganisha na mama wa kambo... kuhusu ubakaji haina uhusiano wa moja kwa moja na ‘ukambo’.
Nimeona wanaume wakiua, na kubaka haya ya moto cha mtoto. Nimeona pia wakibagua kwenye shule za kuwasomesha na matumizi. Matendo ya wanaume yanafanyika sirini ambayo ni mabaya sana kwa wahusika since ina affect them psychologically ila kwa wanawake matendo yao ni physically ndio maana wanalaumiwa sana. Katika maisha huwa nashangaaga sana mwanammke anayekubali kuolewa na mwanaume mwingine na anabeba watoto aliozaa awali heri uwaache kwa ndugu zakoumeshaona wanaume wangapi waliowachoma moto watoto zao wa kambo?
umeshaona wanawake wangapi wamewachoma MOTO na kuwashndsha njaa watoto wa kambo?
sawa ila sishindani,ninapouliza swali haina maana nashndanahuu ni ushindan wa jinsia na si kutafuta suluhu ya single parent children
fika ofisi za ustawi za eneo ulilopo utazipata,
Muulize hajawahi kusikia baba mzazi kabaka mtoto wake wa kumzaa?,achilia mbali huyo anaesingizia wa kambo.Ni mara chache mno, ukilinganisha na mama wa kambo... kuhusu ubakaji haina uhusiano wa moja kwa moja na ‘ukambo’.
really?
aisee kwa heri.
Daah acha tu mkuu kuna binadamu wana roho mbayaa.Khaaaa; ilikuwaje? Pole na hongera kwa kunusurika
it depends,familia ngapi watoto wao wanalelewa na house girls?? hata wewe inawezekana umelelewa na house girlhao nao tabu tupu unaweza kumjali akaja kufanya tukio ukabaki unashangaaa
wapelekwe boarding school
likizo wapokezane kuwalea
it depends,familia ngapi watoto wao wanalelewa na house girls?? hata wewe inawezekana umelelewa na house girl
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina mtoto bado ila huu ni ikwel mtupu. NimekukubalHamna mahali popote pameandikwa mwanamke utakae zaa nae ndio unatakiwa umuoe awe mke waako wa ndoa"hakuna".
Ila pia hakuna mahali pameandikwa kwamba mwanamke utakae mzalisha usimpende wala usimpe huduma zote muhimu "hakuna"
Mwanaume unaweza kuwa ulishawahi kuwa na mtoto kwa mwanamke ambae si mkeo kwa sasa so kutokana na kujitambua kwako ukaona uendelee kutoa huduma zote za muhimu kwa mwanao kwasababu unajua fika ile ni damu yako,na hakuna mwingine wa kufanya hivyo zaidi yako.
Bahati nzuri ni kwamba mama mtoto wako (yule x) Anaolewa na mwanaume mwingine na Maisha yao kiuchumi si mazuri. Hata wewe umeona,unaamua kumwomba mama mtoto wako (yule x) umchukue mtoto ili asiteseke unamleta mwanao. Kuja kulelewa na mkeo nyumbani (makosa makubwa sana haya)
Acha nikwambie kitu,
Mkeo hatakwambia simtaki huyo mtoto (ila moyoni mwake kashakwambia)
Mkeo hatokwambia hapendi hata kumuona huyo mtoto (ila moyoni mwake jua hampendi)
Mwanaume wewe unamleta mwanao ukiamini atapata upendo kama wa kwa mama yake (unajidanganya)
Hata kama mama mtoto wako (yule x) utamuona anapitia maisha magumu kwa asilimia 200 usije thubutu mpokonya mtoto. Uje umlete kwa huyu mkeo ulie nae,Pamoja na shida atakazopitia mama mtoto wako (yule x) hatoruhusu shida zile zimpate
Mwanae na hata kama zikimpata mwanao mama yake atajua jinsi ya kumpa maneno mazuri ya kumbembeleza ajione naye yupo kawaida. Wanaume nataka tu muelewe jambo 1 hao wanawake mliowaoa (anakupenda wewe tu) usije jidanganya atampenda.
Mtu mwingine tofauti na wewe na wanae wa kuwazaa. Jitahidi uwezavyo kama una mtoto nnje na ulikua na mpango mwakani (umchukue uje uishi nae), acha maana unamleta jehanam mtoto wako mwenyewe (usijipe moyo kwa matendo yanayofanywa na mkeo ukiwepo) acha huo ujinga.
Muache mtoto wako huko huko kwa mama ake kama ni matumizi mtunze akiwa huko huko kwa mama ake. Kama unahisi unampenda sana huyo mwanao hutaki ateseke (mrudie mama yake muoe). Sasa jitie kichwa ngumu (mletee mkeo mtoto wa mwanamke mwenzie) utaona what next.
Wanawake ndivyoo hivyo walivyo, waelewe then ishi nao kwa akili mingi mingi.
View attachment 1249705