Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Wanawake wote ndivyo mlivyo hata mkikataa. Wanaume kuweni makini katika maamuzi yenu

Mimi mtazamo wangu ni kukaa na mwanagu ili nimuonye pindi akitaka kuharibika.

Kuhusu mama yake wa kambo ni kujitahidi kuwa karibu wa wanao, kila kitu kitakuwa okey.

Sent using Jamii Forums mobile app
very true ubaya ni kwamba wanaume wengi wana muda mchache sana wa kukaa na watoto wao,hivho mtoto hata kama yupo mazingira mabay na mama yake inachukua muda kutambua,
pia ukaribu wa baba na mwana unaweza kupunguza matatizo baina ya mama na mtoto.
 
Uko sahihi kimtazamo ila niruhusu nikulishe neno kidogo kwenye hoja yako, point mezani sio kuwa ‘men are better’ bali ni kwamba men hawana cha kumfanya mtoto anayeishi na mama yake mzazi (mkewe).... sana sana itamlazimu kuonesha upendo zaidi ili kumfurahisha mkewe.

Mama ndiye mlezi, mama ndiye mlishi na mvishi na mambo yote... ni rahisi kwa mama kumlinda mwanaye dhidi ya ‘baba mbaya’ kuliko kinyume chake.
wanaume hawana cha kufanya?
unafahamu watoto wa kike wanavyokuwa abused na baba zao wa kambo?
nna mifano mingi ya wababa kubaka amakuwataka kimapenzi watoto wao wa kambo..
 
Si kweli hakuna kiumbe anayependa mtoto wa mwingine ni wachache sana angalia hata wanyama asogee mtoto sio wake uone atakavyompiga mateke. Kina mama wanaonekana wana roho mbaya kwa sababu muda mwingi wanakaa na watoto ila kina baba wa kambo wenye roho mbaya wapo sana nimeona baba wa kambo akibaka wengine hata kuua watoto wa mke wake ambao si wake. Na nimeona mama wa kambo wakiishi na watoto kama wamezaa sema wengi wa hawa inategemea na tabia ya mme pia.
Chuki kwa mtoto wa kambo Baba ipo moyoni

Chuki kwa mtoto wa kambo Mama ipo kwenye matendo

Baba atamchukia mtoto wa mwanaume mwingine kmoyo moyo

Mama atamchukia mtoto wa mwamke mwingine kwa matendo..

Heri akuchukiae moyoni kuliko akuchukiae kwa matendo asee huyu wa matendo Acha kbsa

ila wa moyoni anaweza kaa na wewe mkacheka mkafanya kila kitu ila moyoni mwake anakuchukia mno.
 
wanaume hawana cha kufanya?
unafahamu watoto wa kike wanavyokuwa abused na baba zao wa kambo?
nna mifano mingi ya wababa kubaka amakuwataka kimapenzi watoto wao wa kambo..
wababa wanaobaka watoto wa kambo VS wamama wanaotesa watoto wa kambo

ebu Tupe takwimu zako zinasema upande upi una idadi kubwa?
 
Chuki kwa mtoto wa kambo Baba ipo moyoni

Chuki kwa mtoto wa kambo Mama ipo kwenye matendo

Baba atamchukia mtoto wa mwanaume mwingine kmoyo moyo

Mama atamchukia mtoto wa mwamke mwingine kwa matendo..

Heri akuchukiae moyoni kuliko akuchukiae kwa matendo asee huyu wa matendo Acha kbsa

ila wa moyoni anaweza kaa na wewe mkacheka mkafanya kila kitu ila moyoni mwake anakuchukia mno.
Uko sahihi kimtazamo ila niruhusu nikulishe neno kidogo kwenye hoja yako, point mezani sio kuwa ‘men are better’ bali ni kwamba men hawana cha kumfanya mtoto anayeishi na mama yake mzazi (mkewe).... sana sana itamlazimu kuonesha upendo zaidi ili kumfurahisha mkewe.

Mama ndiye mlezi, mama ndiye mlishi na mvishi na mambo yote... ni rahisi kwa mama kumlinda mwanaye dhidi ya ‘baba mbaya’ kuliko kinyume chake.

Wengine wanaonyesha kwa matendo ndugu
 
Naanzaje kumtesa mtoto wa mke wangu mbele ya mke wangu,Hivi najipenda au sijipendi?Usiku ntakaponyimwa tamu tamu atanisaidia nani kunipa hyo Tamu? mke aninunie kisa nmemdunda mwanae

nani wakunipa tamu yangu? au ndio nijitafutie kurudi kwenye PULI bila mimi kupenda?Ki ufupi na kiurefu hamna mwanaume wakuweza mtesa mtoto wa mkewe kirahisi,hivi mnajua ugumu wa kulala na mwanamke halafu hakupi tamu? yani unaiangalia kama unaangalia TV kumgusa huwezi wala nini?

Tena akilala usifkir atalala kava overrol atavaa night dress kama kawaida shuka mtajifunika moja,halafu mguse sasa uone what next! nasema hiviiii wanaume hatuwezi wala hatuna ubavu mtesa mtoto wa mke kbsaaaa,labda huyo mwanaume awe hampendi mke wake so anaamua mtesa mama + mtoto.

ila kama mama anapendwa na baba asee mimi kumtesa huyo mtoto ngumu,kwanza ntasemaje nakupenda kama simpendi mwanao,hapo kwa mwanao ndio wanaume tunajitafutia point za ushindi maana tuzo zetu tunapewagwa USIKU bed.
 
Wengine wanaonyesha kwa matendo ndugu
umeshaona wanaume wangapi waliowachoma moto watoto zao wa kambo?

umeshaona wanawake wangapi wamewachoma MOTO na kuwashndsha njaa watoto wa kambo?
 
wababa wanaobaka watoto wa kambo VS wamama wanaotesa watoto wa kambo

ebu Tupe takwimu zako zinasema upande upi una idadi kubwa?
huu ni ushindan wa jinsia na si kutafuta suluhu ya single parent children
fika ofisi za ustawi za eneo ulilopo utazipata,
 
wanaume hawana cha kufanya?
unafahamu watoto wa kike wanavyokuwa abused na baba zao wa kambo?
nna mifano mingi ya wababa kubaka amakuwataka kimapenzi watoto wao wa kambo..

Ni mara chache mno, ukilinganisha na mama wa kambo... kuhusu ubakaji haina uhusiano wa moja kwa moja na ‘ukambo’.
 
umeshaona wanaume wangapi waliowachoma moto watoto zao wa kambo?

umeshaona wanawake wangapi wamewachoma MOTO na kuwashndsha njaa watoto wa kambo?
Nimeona wanaume wakiua, na kubaka haya ya moto cha mtoto. Nimeona pia wakibagua kwenye shule za kuwasomesha na matumizi. Matendo ya wanaume yanafanyika sirini ambayo ni mabaya sana kwa wahusika since ina affect them psychologically ila kwa wanawake matendo yao ni physically ndio maana wanalaumiwa sana. Katika maisha huwa nashangaaga sana mwanammke anayekubali kuolewa na mwanaume mwingine na anabeba watoto aliozaa awali heri uwaache kwa ndugu zako
 
huu ni ushindan wa jinsia na si kutafuta suluhu ya single parent children
fika ofisi za ustawi za eneo ulilopo utazipata,
sawa ila sishindani,ninapouliza swali haina maana nashndana

huko ustawi napafahamu ila siwezi kwenda uliza swali la namna hii.
 
Ni mara chache mno, ukilinganisha na mama wa kambo... kuhusu ubakaji haina uhusiano wa moja kwa moja na ‘ukambo’.
Muulize hajawahi kusikia baba mzazi kabaka mtoto wake wa kumzaa?,achilia mbali huyo anaesingizia wa kambo.

kubaka haina uhusiano na u kambo hiyo ni mihemko tu ya mtu binafsi,yani eti unabaka kisa sio mtoto wako? haipo

ila inawezekana mwanamke akajiskia tu kukutemea mate kisa tu wewe sio mtoto wake,yani kajiskia tu.
 
really?
aisee kwa heri.

Point yangu ni kwamba kubakwa watoto wengi tu wanabakwa na hata ndugu zao au hata na wasiojulikana, baba wa kambo kumtamani mtoto wa mkewe ipo na hata kwa kumshawishi ikiwa ni mkubwa.... ila mke makini ni rahisi kudhibiti hali hizo mbele ya mumewe hasa kwa mwanae mdogo.
 
Hamna mahali popote pameandikwa mwanamke utakae zaa nae ndio unatakiwa umuoe awe mke waako wa ndoa"hakuna".

Ila pia hakuna mahali pameandikwa kwamba mwanamke utakae mzalisha usimpende wala usimpe huduma zote muhimu "hakuna"

Mwanaume unaweza kuwa ulishawahi kuwa na mtoto kwa mwanamke ambae si mkeo kwa sasa so kutokana na kujitambua kwako ukaona uendelee kutoa huduma zote za muhimu kwa mwanao kwasababu unajua fika ile ni damu yako,na hakuna mwingine wa kufanya hivyo zaidi yako.

Bahati nzuri ni kwamba mama mtoto wako (yule x) Anaolewa na mwanaume mwingine na Maisha yao kiuchumi si mazuri. Hata wewe umeona,unaamua kumwomba mama mtoto wako (yule x) umchukue mtoto ili asiteseke unamleta mwanao. Kuja kulelewa na mkeo nyumbani (makosa makubwa sana haya)

Acha nikwambie kitu,

Mkeo hatakwambia simtaki huyo mtoto (ila moyoni mwake kashakwambia)

Mkeo hatokwambia hapendi hata kumuona huyo mtoto (ila moyoni mwake jua hampendi)

Mwanaume wewe unamleta mwanao ukiamini atapata upendo kama wa kwa mama yake (unajidanganya)

Hata kama mama mtoto wako (yule x) utamuona anapitia maisha magumu kwa asilimia 200 usije thubutu mpokonya mtoto. Uje umlete kwa huyu mkeo ulie nae,Pamoja na shida atakazopitia mama mtoto wako (yule x) hatoruhusu shida zile zimpate

Mwanae na hata kama zikimpata mwanao mama yake atajua jinsi ya kumpa maneno mazuri ya kumbembeleza ajione naye yupo kawaida. Wanaume nataka tu muelewe jambo 1 hao wanawake mliowaoa (anakupenda wewe tu) usije jidanganya atampenda.

Mtu mwingine tofauti na wewe na wanae wa kuwazaa. Jitahidi uwezavyo kama una mtoto nnje na ulikua na mpango mwakani (umchukue uje uishi nae), acha maana unamleta jehanam mtoto wako mwenyewe (usijipe moyo kwa matendo yanayofanywa na mkeo ukiwepo) acha huo ujinga.

Muache mtoto wako huko huko kwa mama ake kama ni matumizi mtunze akiwa huko huko kwa mama ake. Kama unahisi unampenda sana huyo mwanao hutaki ateseke (mrudie mama yake muoe). Sasa jitie kichwa ngumu (mletee mkeo mtoto wa mwanamke mwenzie) utaona what next.

Wanawake ndivyoo hivyo walivyo, waelewe then ishi nao kwa akili mingi mingi.



View attachment 1249705
Sina mtoto bado ila huu ni ikwel mtupu. Nimekukubal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom