uko sahihi nawaelewa wanawake ni ngumu sana kwenu ni ngumu kweli wala sikupingi.Leo hii Mr aniletee mtoto kazaa huko nje nimlee, kiukweli atakua ananitafutia dhambi za bure.
Yaani nitakua kila nikimuona naona ni matokeo ya kuchepuka kwa Mr, hapana sitoweza vumilia kwa kweli siwezi.
Kila mtu apambane na uzao wa tumbo lake.
Mtoto wa ndugu nitalea bila shida yoyote hata wawe wangapi ila sio mtoto wa mume.
Ni kweli nakubaliana na wewe ila kuna kuchukia kimoyo moyo na kuchukia wazi waziHakuna mtu atayempenda mtoto ambae sio wake kwa asilimia 100. Haina jinsia hiyo. Na hata Kama hatamchukia utaona kasoro tu siku zote
Noma sana!ila BABA ukirudi nyumbani mtoto huyo huyo aliekua akifinywa mashavu ukiwa haupo
utamuona mama (mkeo) akimuita na kujifanya anampakata na kujitia anamdekeza (basi hapo mwanaume unaona yeees)
Kumbe zote zuga tu, ukiondoka kazini mambo ni yale yale.
Ni basi tu watoto hawawezi kusema kwa kuogopa vitisho alivyopewa (ole wako baba ako akija nikuone fyoko fyoko fyoko)
It's hard CONTROLA ni ngumu mno, haya mambo tuombe Mungu tu atupe hekima hakikaUsaidizi wenyewe ndio huo sasa alishe watoto,ila asimlishe BABA,watoto ni TUNU jamani hawatakiwi kuteswa kwa namna yeyote,hawatakiwi hata kujua kuwa wewe si mama ake,mpende jitoe,tembea hata peku kwa ajili ya mtoto.
ila usijitese kwa ajili ya mumeo ambae ni mzigo,huyo mwanamume mkimaliza kula osheni vyombo akirud akute hotput nyeupe,yani ukatli wote mfanyie huyo mwanamume ila si watoto wake.
Kutesa watoto kunaonyesha ni jinsi gani hauja qualify kuwa MAMA neno MAMA ni pana sana ukiona MAMA ujue n mzazi aasie tayari hata kuona mtoto waa jirani analia,achilia mbali kula.
MAMA wa kweli akiskia tu hata sauti ya mtoto nyumba ya jirani analia kila siku MAMA ataenda kuuliza whats wrong,ila huyo ni MAMA na s mwanamke.
wanawake wengi wa sasa si kina MAMA ila wamebaki na sifa ya kuwa MWANAMKE,sikubaliani na huyo mama kuumia kisa eti watoto wa mume wake wanakula anachotafuta,Huyo sio mama huyo ni Mwanamke.
Achana na mtoto wa mume wake,huyo mwanamke anaweza toa pesa yake akamnunulia chakula au nguo mtoto wa jirani wa mwanamke mwenzie baki? HAWEZI nakuhakikishia.
Yani hapo itaharibu kila kitu maana nitaona kwaio mimi niliekubali kua na wewe ndo 2nd option hakuna mtu anapenda jambo la hivyoKabisa. Au ndo wewe unakutana na single mom afu anakwambia "my kid comes first"; hivi kuna haja ya kulisema hilo?
Hapo usiumize kichwa hakuna mwanamke bora hapoNakuelewa sana tu; of course its a red flag. But again najitahidi kumuelewa pia; we never know kipi kilimkuta
Pole sana kamanda.Hii ilinitokea mimi kipindi niko mdogo sanaaaa! mwaka 2000. Namkumbuka sana yule mama wa kambo,namkumbuka sana sana yule Mrangi alitaka kunitupa katika kisima cha Maji pale Dodoma.
Bila jitihada za majirani nadhani story yangu ingeishia pale Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake
Khaaaa; ilikuwaje? Pole na hongera kwa kunusurikaHii ilinitokea mimi kipindi niko mdogo sanaaaa! mwaka 2000. Namkumbuka sana yule mama wa kambo,namkumbuka sana sana yule Mrangi alitaka kunitupa katika kisima cha Maji pale Dodoma.
Bila jitihada za majirani nadhani story yangu ingeishia pale Dodoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
pesa siyo kila kitu je wajua ni nini step fathers hufanya kwa watoto?Kasema unamlea akiwa kwa mama yake, kwani nini kinashindikana hapo vitu vingine ukiwa na pesa wala havisumbui
Akili zao zinasikitisha...!pesa siyo kila kitu je wajua ni nini step fathers hufanya kwa watoto?
the best way is to solve your issues swala la kujali mtoto wa mtu mwingine ni moyo wa mtu tu na lipo very natural hata ukitizama kwa wanyama,Akili zao zinasikitisha...!
tafta house girl,mjali,mpe mshahara mzuri atawalea watoto wako vizuri,utafurahiNi kweli mkuu binafsi naishi na wanangu watatu, nimewavuna toka kwa mama zao huko ila sijaoa.... nakiri inanipa changamoto nioe nani atayewalea vema ila naamini ni fedheha zaidi kulelewa na dume mwenzangu.
hao nao tabu tupu unaweza kumjali akaja kufanya tukio ukabaki unashangaaatafta house girl,mjali,mpe mshahara mzuri atawalea watoto wako vizuri,utafurahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mtazamo wangu ni kukaa na mwanagu ili nimuonye pindi akitaka kuharibika.hao nao tabu tupu unaweza kumjali akaja kufanya tukio ukabaki unashangaaa
wapelekwe boarding school
likizo wapokezane kuwalea
the best way is to solve your issues swala la kujali mtoto wa mtu mwingine ni moyo wa mtu tu na lipo very natural hata ukitizama kwa wanyama,
hivyo usijiaminishe men are better kila mmoja anatizama maslahi yake..
Si kweli hakuna kiumbe anayependa mtoto wa mwingine ni wachache sana angalia hata wanyama asogee mtoto sio wake uone atakavyompiga mateke. Kina mama wanaonekana wana roho mbaya kwa sababu muda mwingi wanakaa na watoto ila kina baba wa kambo wenye roho mbaya wapo sana nimeona baba wa kambo akibaka wengine hata kuua watoto wa mke wake ambao si wake. Na nimeona mama wa kambo wakiishi na watoto kama wamezaa sema wengi wa hawa inategemea na tabia ya mme pia.100% mwanaume mwingine ana uwezo wa kumpenda mwanao kama vile ni wake
ila hamna mwanamke wa kumpenda mtoto wa mwanamke mwingine (tena aliezalishwa na mume wake)
kama wake aliyemzaa.
Uwezo huo wanao wanaume TU.