Nakubali.Hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania [emoji1241]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubali.Hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania [emoji1241]
Moto upi? Hangaya ni Rais cheo cha juu kabisa hapa Duniani tayari history ya Tanzania imeshamuweka kwenye ramani hiyo.Endelea kumsokomeza Hangaya kwenye tanuru la moto.
Nchi hii imekuwa ngumu sana.Simwelewi kabisa huyu waziri kuweka tozo kwenye pesa yangu kisa tu serikali hunilipa kupitia bank!
Huu sasa ni Wizi, Sina tafasiri nyingine zaidi ya kutumia neno hilo Kwa serikali inavyowafanyia RAIA wake
Nchi hii wanasheria walinda haki za wananchi, wanaharakati walinda haki za binadamu, linapotokea jambo kama hili, huwa mnajificha wapi.?
Sielewi ujue!
Mwanazuoni gani?Nakubali.
Kivipi mkuu sijakuelewa.Hv hata ukilipa kwa counter bank bado kuna tozo