Kwa akili yako hiyo fedha aliyoitoa Rais ni ya CCM? Wajinga mpo wengi. Goli moja la Simba au Yanga lina thamani kuliko uhai wako!!? Vitu vingine tuondoe ushabiki na tumshauri vizuri mheshimiwa. Kwenye maafa haya kuna familia zimebaki na uitaji mkubwa sana.