econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mbowe ametoa 'pesa ndefu' sana kwenye hy foundation Ila ndo hvy Mwenyekiti wetu ana tabia za kusahau kuhesabu pesa anazotoa
CC mwanamama Erythrocyte
Watu wanaongelea mambo ya Umma wewe unaleta issue za watu binafsi. Si ndio hii serikali iliyotoa Dola milioni moja uturuki ila Hanang wametoa buku moja. Aiseeh.