Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Ujaji wa offer kama hao wa kisutu ni utopolo
 
Akihukumiwa sabaya, jaji anafanya kazi nzuri, mbowe akikutwa na mashtaka ya kujibu majaji wanaonekana wa hovyo. Yaani ni vituko
 
Lakini pamoja na uhovyo wao hawa majaji hutakiwa kuhukumu kwa kucite sheria na kama kuna kesi kama hiyo imewahik kutokea.

Akihukumu kwa interests zake means ataenda kinyume na sheria na aakua ameweka reference mbovu ambayo inaweza kutumiwa baadaye na jaji mwingine.
Upo sawa,lakini palipo na interest binafsi hayo yote hatajali. Ndio maana kesi zinakuja kutupwa kwenye rufaa kwa grounds zilezile za Jaji wa hovyo
 
Akihukumiwa sabaya, jaji anafanya kazi nzuri, mbowe akikutwa na mashtaka ya kujibu majaji wanaonekana wa hovyo. Yaani ni vituko
Mkuu si tunaangalia facts au watu wanaongea tu. Sabaya huu upuuzi kafanya hadharani,kuhusu Mbowe hatuoni ushahidi wa maana zaidi ya brah brah
 
Na 5 ni sahihi, teuzi zote uamuriwa na wanasiasa.
 
Awamu iliyopita wengi sana walipata ujaji kwa hoja no 5.
 
Mashaka labda kwa wa awamu ya tano
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
 
JAJI NI JAJI Ukianza tu KUMJAJI JAJI kwa mirengo ya kisiasa huwezi tambua maana ya JAJI,Nimefatillia sana kesi ya Mheshimiwa MBOWE toka inaanza ila honestly speaking from the beggining watoa taarifa hawakuwa objective
Kwa hiyo wewe fala ushahidi wa kuungaunga wa Jamhuri ndo kuwa objective? Pumbavu kabisa
 
Majaji wengi asilimia kubwa wanauwezo mkubwa sema hamfuatilii
 
Ngoja tuone... Wanapatikana kwa elimu na uwezo wao...
 
Majaji wengi asilimia kubwa wanauwezo mkubwa sema hamfuatilii
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
JAJI NI JAJI Ukianza tu KUMJAJI JAJI kwa mirengo ya kisiasa huwezi tambua maana ya JAJI,Nimefatillia sana kesi ya Mheshimiwa MBOWE toka inaanza ila honestly speaking from the beggining watoa taarifa hawakuwa objective
Duuh kvp mkuu!Mimi binafsi nimefika pale mahakamani mara 3, objective kivip
 
Tutawakumbuka sana akina jaji lugakingira walikuwa na misimamo mikali awakupenda kazi yao ichafuliwe na mtu yeyote kwa maslai yake binafsi, kwao walikuwa wanasimamia sheria na si vinginevyo, lakini sasa hivi mambo yamebadilika sana ni aibu kubwa sana kwa majaji kujidhalilisha inasikitisha sana
Samata J
Mwalusanya J
Kisanga J
Makame J
Etal hiki kizazi kilikuwa balaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Kumbuka hukoZNZ jaji aliwahi toka Nigeria, jiulize why!. Wenzetu kuimarisha na kutofautisha mihimili, wanaopendekezwa majina yanapelekwa bungeni kwenye kamati maalumu, hapo ndipo ajira inapatikana na si vinginevyo vya wewe panda wewe teremka
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Hivi Emoji zikiwa nyingi zina maana gani?
 
Rafiki yangu Beatrice tatizo liko hapa👇
16451849476054.jpg
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
... Bite; wala tusiumize vichwa. Turejee kwenye misingi; Waamuzi (Majaji) katika taifa la Mungu walipatikanaje? That's the best foundation kwa hoja yako hii murua kabisa. Kasome kile kitabu halafu urejee hapa utueleze umeelewa nini kuhusu majaji.
 
Back
Top Bottom