ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Ni judge yule alishawahi kufanya kazi hiyo japo kwa muda mfupi na mazingira yalikuwa tofauti wenye profession yao(wanasheria) wanajua at what point Warioba alikuwa jaji.......Eti Jaji Warioba. Hebu tafuta Judgment yoyote iliyowahi kuandikwa na Warioba iweke hapa Jamvini ili tulinganishe na hitimisho lako hilo.
Watu mmekuwa makasuku mnandandia vitu hata hamvijui ati
Lugakingira JOngezea na Buxton Chipeta, Msofe J, Waheshimiwa
Hiyo namba tano ndio sahihiNaona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?
Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.
Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!
Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Kesi ya mchongo itawatoka puani.Walifanya propaganda wakitegemea upepo wao ungebadili ukweli. Walimshambulia Magufuli sana wakitegemea huruma ya wazungu lakini hawakujua kuwa Tanzania ni taifa huru. Haya waliomba Magufuli aondoke duniani na Mungu akatenda huku wakidhani kesho yao itakuwa saaafi kwa njia zao za propaganda. Serikali ya Tanzania iko makini lazima msumeno ukate inavyotakiwa. Tii sheria bila shuruti utakuala mema ya nchi .POLENI
Biswalo Mganga alipaswa kupelekwa kuwa Balozi lakini sio Jaji. Ukweli uteuezi wake umedhalilisha sana hadhi ya Majaji wetu wazuri kwa kuonesha kuwa kazi ya Majaji ni hovyo tu!Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?
Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.
Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!
Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Kwa Tanzania hata mbwa anaweza kuwa Jaji!Sio kila MTU anaweza kuwa Jaji.
Kituko Ni wewe na post yakoAkihukumiwa sabaya, jaji anafanya kazi nzuri, mbowe akikutwa na mashtaka ya kujibu majaji wanaonekana wa hovyo. Yaani ni vituko
Hawa wa UPE!Majaji wengi asilimia kubwa wanauwezo mkubwa sema hamfuatilii
Najua ni Jaji, Sasa lete Judgment yoyote aliyewahi kuandika hapa, ili tulinganishe na hitimisho lenu. By the way unajua kwanini sijamzungumzia Rukakingira.Ni judge yule alishawahi kufanya kazi hiyo japo kwa muda mfupi na mazingira yalikuwa tofauti wenye profession yao(wanasheria) wanajua at what point Warioba alikuwa jaji.......
ila kwa layman kama ww huwezi jua
Tunachotakiwa kufahamu, ni kwamba jaji hupatikana kutoka jamii yetu. Rais anapatikana kutoka jamii yetu.
Jamii ikiwa na watu wengi wanafiki, waongo, wala rushwa, waoga, basi uwezekano mkubwa:
1) Rais atakuwa na sifa hizo hizo
2) Mawaziri watakiwa wa namna hiyo hiyo
3) Majaji watakuwa wa namna wa namna hiyo hiyo
4) Polisi watakuwa wa namna hiyo hiyo
Inakuwa ni kwa bahati sana, kumpata mtu tofauti na walio wengi katika jamii. Watu hao waliowahi kuwa tofauti na walio wengi, ndiyo kama Mwalimu Nyerere, Warioba, Jaji Lugakingira, Jaji Samata, Jaji Augutino Ramadhani, Jaji Nyalali. Sasa kwa vile walio tofauti ni wachache, ni lazima kuwe na mfumo unaolazimisha kwenye nafasi kama za Urais, jaji, wapatikane watu kama hao. Bahati mbaya mfumo huo hatuna.
Bahati mbaya zaidi, uchaguzi wa mwaka 2015, ulimwingiza Rais asiye na vigezo kabisa, aliyeamini kuongoza kwa kutumia nguvu, udikteta na hila. Ili atawale kwa namna anayoitaka bila bugudha, aliua Bunge, aliua mahakama. Mahakamani akawajaza maofisa wa TISS. Hawa wote waliohusika na kesi ya Mbowe, siyo majaji, ni maofisa wa TISS ambao marehemu aliwajaza mahakamani ili kuua mhimili wa mahakama.
Siku tukibahatika kumpata kiongozi jasiri, mwenye hekima, upeo mkubwa na weledi, hawa maaifa wa TISS, wote wanatakiwa kuondolewa mahakamani. Lakini cha muhimu zaidi ni katiba mpya ambayo italazimisha upatikanaji wa majaji kwa vigezo vya sifa na uwezo.
Bahati mbaya jamii yetu pia imejengwa na watu waoga, na wanafiki kupindukia. Huu ujinga mwingi unaofanywa na watawala, mahakama na bunge, ni matokeo ya unafiki na uoga wa sisi wananchi.
Angalia hata hapa jukwaani, watazame watu kama Jingalao, Cremia, Chinembe, Stroke, qnd the like, ukitazama michango yao unaweza kudhani ni brainless, lakini yawezekana wana akili timamu lakini akili yote imemezwa na unafiki. Wao hata kitu ambacho ni dhahiri kabisa kuwa ni cha hovyo, alimradi kimefanywa na mtu wa CCM, au kiongozi ndani ya Serikali, hata kiwe takataka kwa kiwango gani, watasifia. Hata huko mitaani, watu wa namna hiyo ni wengi. Kuwategemea watu wa namna hiyo kuleta mabadiliko nchini mwetu, ni ndoto. Wao kila kitu hakuna cha muhimu, kikubwa ni matumbo yao. Wengi wanawaza fedha na vyeo.
Kwa ujumla, kwa sasa, majaji wengi hawa waliochongwa na mwendazake ni wala rushwa wakubwa, weledi ni zero, kujipendekeza 100%. Baadhi ya ninaowafahamu, pamoja na hawa walioendesha kesi ya Mbowe na wenzake, ni hovyo kabisa, hata kama wangeondolewa huko TISS, wakabakizwa mahakamani, uwezo wao ni mdogo kuliko hata mahakimu wa Wilaya, wale wenye uwezo.
Twamkumbuka Judge James Mwalusanya kwenye haki ya mTz kuwa mgombea binafsiTutawakumbuka sana akina jaji lugakingira walikuwa na misimamo mikali awakupenda kazi yao ichafuliwe na mtu yeyote kwa maslai yake binafsi, kwao walikuwa wanasimamia sheria na si vinginevyo, lakini sasa hivi mambo yamebadilika sana ni aibu kubwa sana kwa majaji kujidhalilisha inasikitisha sana
Kwa mtu mwenye upeo mdogo kama ww!unaweza kudhani kukuita layman nimekutukana?Najua ni Jaji, Sasa lete Judgment yoyote aliyewahi kuandika hapa, ili tulinganishe na hitimisho lenu. By the way unajua kwanini sijamzungumzia Rukakingira.
Wewe ndo hujui chochote, hivyo nawe ni kasuku!
Ndugu,Halafu wengine wanataka mpaka washinde wao ndo Jaji yuko fair.
Ha ha ha ha ha we kiazi kweli. We ndo mweledi wa Sheria siyo?.Kwa mtu mwenye upeo mdogo kama ww!unaweza kudhani kukuita layman nimekutukana?
Kumbe ni lugha inayomstahili mtu yyte ambae sio mweledi wa sheria
Mtu anayeongea kwa dhihaka, matusi na kejeli ni dalili ya kwamba huna hoja ungeuliza kistaarabu nikupe ushahidi ni kwa namna gani Warioba alifanya kazi ya ujaji ingetosha.Ha ha ha ha ha we kiazi kweli. We ndo mweledi wa Sheria siyo?.
Nimekueleza kama kweli wewe ni mwanasheria lete hapa Hukumu alizowahi kuandika Warioba tuzione ili tuhitimishe kuwa kweli alikuwa Jaji Nguli.
Ulivyo ndezi haponjuu unasema eti alifanya ujaji kwa mda kidogo.
Sasa Kama alifanya kwa mda kidogo hiyo conclusion kuwa alikuwa Jaji mzuri mmeotoa wapi au kwa vigezo vipi?
Huoni Kama wewe ni ndezi.
Lete Hukumu alizowahi kuandika Warioba hapa tusome ili tuone huo umahiri wake mnaomsifia nao.
Hao kina Lugakingira, kina Mwalusanya, Barinabas, Kiando, Manento na wengine wengi Judgment zao zipo na Kila siku zinasomwa na kupitia Judgment hizo watu ndo wanafikia hitimisho kuwa walikuwa Miamba kweli kweli.
Lete Judgment ya Warioba hapa tusome au kama umeshawahi kuisoma sehemu tupe link tukaitafute.
Otherwise you are just a moron unayejifanya eti unajua Sheria!
Kazi ya Ujaji kwa 99% ni kuamua mashauri. Hoja hapa ni kuwa majaji wa zamani walikuwa vipanga na ukipanga wao unapimwa kwa Judgment walizokuwa wanafanya deliberation. Sasa kwenye hiyo list ya hao Judges Nguli mmemweka Judge Warioba. Wewe si Mwanasheria mzee Baba. Lete Judgment za Warioba hapa tuone huo unguli wake.Mtu anayeongea kwa dhihaka, matusi na kejeli ni dalili ya kwamba huna hoja ungeuliza kistaarabu nikupe ushahidi ni kwa namna gani Warioba alifanya kazi ya ujaji ingetosha.
Kuwa judge ni jambo moja kuwa judge mzuri ni jambo lingine.Hakuna sehemu nimesema Warioba aliwahi kuwa judge mzuri ama mbaya but ushahidi ya kwamba aliwahi kuwa judge nitakupaKazi ya Ujaji kwa 99% ni kuamua mashauri. Hoja hapa ni kuwa majaji wa zamani walikuwa vipanga na ukipanga wao unapimwa kwa Judgment walizokuwa wanafanya deliberation. Sasa kwenye hiyo list ya hao Judges Nguli mmemweka Judge Warioba. Wewe si Mwanasheria mzee Baba. Lete Judgment za Warioba hapa tuone huo unguli wake.
Ukisema Mwalusanya, Lugakingira, Barinabas, Judgment zao zimetapakaa.
Lete ya Warioba acha Maneno, tuisome tuone unguli wake msee!
Unaona sasa kumbe umeingilia hoja usiyoijua. Comment yangu uliyoinukuu na kujifanya unajua, nilikuwa nahoji Judge Warioba anaingiaje kwenye kundi la Majaji nguli kariba ya Mwalusanya au Lugakingila baada ya mtu mmoja humu kumtaja miongoni mwa majaji Bora.Kuwa judge ni jambo moja kuwa judge mzuri ni jambo lingine.Hakuna sehemu nimesema Warioba aliwahi kuwa judge mzuri ama mbaya but ushahidi ya kwamba aliwahi kuwa judge nitakupa
Jullie Manning anaishi Oysterbay na Dada yake Mama Mtawali, mtu na dada yake wanazeeka pamoja.Zama za majaji wenye unquestionable ability and outstanding nadhani inaishia na kina Jaji Rumanyika. Toka alipoingia hayati Jiwe aliburuga kabisa huo mfumo wa majaji. Hata JK naye kwa kiasi aliwapa fadhila watu awajua kuwa majaji.
Hawa wanotupita na ma V8 wamechelewa wanawasha vingora wapishwe barabarani sidhani kama wana uweledi kawa wa akina Samatta, Augustino Ramdhani, Jaji Manning etc.