Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Wangapi zamani waliamini Majaji ni watu wenye uwezo mkubwa lakini Sasa wanaanza kuamini kila mtu anaweza kuwa Jaji?

Sabaya wala haiukuhutajika kujua kuwa alikuwa ni muovu aliyekuwa anatumikia siasa za kidhalimu za Magu. Na kwa taarifa yako kama hiyo mahakama ingekuwa huru, Sabaya alitakiwa kunyongwa na sio kufungwa. Watu hawaisifii mahakama kwa kumfunga Sabaya, bali wanasema kuna mahali Sabaya alileta dharau kwa chief Hangaya kipindi cha yule kiongozi muovu wa chattle. Hivyo hilo suala la watu kuisifia mahakama kutokana na hukumu wa Sabaya ni ww unasema, Lakini hakuna mtu mwenye akili timamu anaisifia hiyo mahakama ccm.
Ndio hayo mimi nashangaa, kwanini tusiache mahakama ifanye kazi? Ikiwa mbowe hana hatia, itajulikana wakati wa utetezi. Kwanini wanaomba rais aifute kesi? Je rais anayo hayo mamlaka?
Sabaya na makonda wakishtakiwa tucheke na kufurahi, akishtakiwa mbowe na lissu wanaonewa? Ina maana hawa ni malaika hawakosei?
 
HV huyu hakimu huruma shaid mbona huwa naona kes nyingi za upizani zinafika kwake Kwanza
 
Mkuu katika andiko lako umeoneka uko biased na Pia mwenye maamuzi mbele. So your whole argument iko biased and so upuuzi. Na kama unafiki Wewe ndo umeongoza. Umeandika kutumia hearsay kuliko unachojua kwa uhalisia.

Kila binadamu an unafiki fulani and that’s , Duniani kote. Sasa sijui unamaanisha nini kusema Tz tu. JPM alikupa kile kilicho moyoni mwake, hakupepesa. Iwe kwa ubaya au kwa wema. Je ni unafiki?

Wewe Leo kesi ya Mbowe Unajifanya kuropoka mpaka kujitukana. You are hopeless and mnafiki namba one. Je wewe Ni mwanasheria? I hope not! Mana itakuwa Katastroph. WHO are you. Judge? Umesoma hukumu? Je wewe unamjua Kibatala kwa Undani? Mbowe je? Mkeo unamjua kabisa [emoji817]? Mwanao? Baba yako? Nk.


Nakushauri Acha mahaba katika mambo ya msingi. Subira yavuta heri‘,

Acha kupanick dogo, huu ujinga wa kusema eti nyie mnambishia jaji kwani nyie ni wanasheria, naona unashika kasi ya ajabu. Ni sawa na kumuona kocha anayeboronga kisha usiseme kwakuwa sio mcheza mpira. Sisi sio wanasheria, lakini tuna akili timamu, na tunaweza kuona haki ikitendeka.
 
Ndio hayo mimi nashangaa, kwanini tusiache mahakama ifanye kazi? Ikiwa mbowe hana hatia, itajulikana wakati wa utetezi. Kwanini wanaomba rais aifute kesi? Je rais anayo hayo mamlaka?
Sabaya na makonda wakishtakiwa tucheke na kufurahi, akishtakiwa mbowe na lissu wanaonewa? Ina maana hawa ni malaika hawakosei?

Kwanza kimsingi hatuko hapa kubalance maamuzi ya mahakama, bali tunaangalia utendaji wa haki. Kesi ya Sabaya na Mbowe ni kesi mbili tofauti, na sio za kufanyia ulinganifu. Labda kama upo kama bendera fuata upepo.

Tunaona wazi kinachoendelea huko mahakamani kwenye kesi ya Mbowe kisha tukae kimya. Ni sawa na kutaka watu wakae kimya wamuache dereva aendeshe gari atakavyo eti kwakuwa sisi ni abiria tu.
 
Kwanza kimsingi hatuko hapa kubalance maamuzi ya mahakama, bali tunaangalia utendaji wa haki. Kesi ya Sabaya na Mbowe ni kesi mbili tofauti, na sio za kufanyia ulinganifu. Labda kama upo kama bendera fuata upepo.

Tunaona wazi kinachoendelea huko mahakamani kwenye kesi ya Mbowe kisha tukae kimya. Ni sawa na kutaka watu wakae kimya wamuache dereva aendeshe gari atakavyo eti kwakuwa sisi ni abiria tu.
Lakini kelele zako zina impact yoyote kwenye maamuzi ya mahakama? Au unapiga kelele tu!
 
Lakini kelele zako zina impact yoyote kwenye maamuzi ya mahakama? Au unapiga kelele tu!

Huku ni kwenye mitandao ya kijamii na sio mahakamani, sioni shida yoyote sisi kuweka hisia zetu hadharani.
 
Majaji wengi Tanzania wala rushwa ndio maana wasio na hatia wamejaa Jera
 
Jullie Manning anaishi Oysterbay na Dada yake Mama Mtawali, mtu na dada yake wanazeeka pamoja.
Kuna mtoto wa mdogo wake au mjukuu wake mmoja alikuwa Afisa tawala lakini chapombe huwa anapenda kutulia.pale kontena nyuma ya Obay primary alikunywa siku moja akawa anawaza kuuza kile.kiwanja anachokaa jaji manning akihisi wanaweza kupata Usd mil 3. Akili za vijana zinawatosha wenyewe.
 
Kuna mtoto wa mdogo wake au mjukuu wake mmoja alikuwa Afisa tawala lakini chapombe huwa anapenda kutulia.pale kontena nyuma ya Obay primary alikunywa siku moja akawa anawaza kuuza kile.kiwanja anachokaa jaji manning akihisi wanaweza kupata Usd mil 3. Akili za vijana zinawatosha wenyewe.
Machotara wa kijerumani vichwani zimo sana. Huyo dogo akili kisoda, ndio hawa wanafanya kitu halafu anafikiria akishakuwa kafungwa pingu amekaa nyuma ya landrover ya polisi.
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Majaji walikuwa kina Barnabas SAMATTA walikuwa na HOFU ya MUNGU walisimamia HAKI sio VIMEMO
 
Shida ni jaji anapo kosa morals. Jaji kwangu Mimi na tafsiri kua ni mtu mwenye umahiri na kipawa katika tasnia ya sheria Ila so lazima awe na morals.

Majaji ambao hawana morals ndo wanaosumbua wanyonge.

We angalia jinsi waafrika weusi wanavyo dhulumiwa na wazung huko marekani na majaji wa kizungu walio poteza morals.

Yaani Askari anafyatua risasi kwenye bunduki na kuua mtu hapo hapo halafu anasema eti alikua anadhani ni shot ya umeme, halafu jaji anahukum kifungo miaka miwili!!!
Kwelii, majaji Mungu anawaona.

Hasa huyo tingatinga
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?
Majaji wa Tanzania wanajua kusoma na kuandika tu kama wanasiasa TU.

Hawana jipya kabisaaaa hovyooo
 
Naona watu wengi mitandaoni wanajadili namna majaji wanavyopatikana. Watu wanahoji
1. Jaji anapatikana Kwa kupanda vyeo serikalini?
2. Wanapatikana Kwa UMAHIRI?
3. Wanatokana na perminmance nzuri kwenye private sector?
4. Wanatoakana na ukubwa wa GPA?
5. Wanatokana na mahusiano Yao na wanasiasa au wanapatikana Kwa vigezo vipi?

Wengine wanasema walivyoona akina Samata na Wariaoba waliamini Majaji wote wanazaliwa kuwa majajaji lakini lakini wakiangalia majaji wa tume ya uchaguzi na wengine wa kariba hiyo wanaamini Jaji siyo upeo ni cheo kama vyeo vingine.

Thought ya tatu inajikita kwenye siasa, je majaji wanapatikana Kwa fadhili kutoka kwa anayetawala au mbinu Gani utumika. Thought hii inawaangalia akini Biswalo Mganga na kubaini kumbe Ukiaaribu somewhere unaweza kupelekwa Judicial akasugue bench!

Wewe unaamini Jaji kwa Tanzania ni mwenye qualities zipi na anapatikanaje?

C&P
good judge possesses several key attributes that contribute to their effectiveness and integrity in the judicial system. Here are some important qualities:


  1. Impartiality: A good judge must remain neutral and objective, ensuring that all parties receive a fair hearing without bias or favoritism.
  2. Integrity: Upholding ethical standards is crucial. A good judge should be honest, trustworthy, and maintain the highest moral principles.
  3. Legal Knowledge: A thorough understanding of the law, including statutes, regulations, and case law, is essential for making informed decisions.
  4. Judicial Temperament: A good judge should exhibit patience, compassion, and respect for all individuals in the courtroom, while maintaining control of proceedings.
  5. Strong Communication Skills: Clear and effective communication is vital for explaining legal concepts, decisions, and court procedures to parties involved.
  6. Analytical Skills: The ability to analyze complex legal issues, evaluate evidence, and apply the law to specific cases is crucial for sound decision-making.
  7. Decisiveness: A good judge must be able to make clear and timely decisions, often under pressure, while considering all relevant factors.
  8. Attention to Detail: Careful consideration of case details, evidence, and legal arguments is important for fairness and accuracy in judgments.
  9. Open-Mindedness: A willingness to listen to different perspectives and consider new evidence or arguments is essential for a fair trial.
  10. Commitment to Justice: A genuine dedication to upholding the law and ensuring justice for all parties involved is fundamental to a judge's role.
These attributes help ensure that judges can effectively perform their duties and maintain public trust in the judicial system.
 
Back
Top Bottom