Wanyakyusa: Mbadilike na nyie muwe mnaenda kwenu wakati wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Kwenu mbona kuzuri kama Moshi tu au mlifukuzwa?

Unataka kwenda kijijini mwezi wa 12? Kule watu wanapiga kazi za shamba miezi hii, nenda at your own risk, asubuhi utaamkia 'kulusoko' kuvuruga matuta ya viazi ili watu wapande mpunga.
 
zile pombe ulinitoa povu πŸ˜‚ pale ungenirkea Heineken za barrrriiidiii 🍺🍺....

Kujipongeza hakuishi ikitokea nafas basi vyombo muhimu kaka
Zilikiwepo, Tulizitafuna sana!! πŸ˜‚
 
Hapana wanaenda kutap from the source, baraka halis hutoka arth uliyozaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…