Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu

Asilimia kubwa tukichambuliwa mkoa Huu wengi ni wahamiaji tokea Rwanda ndo maana Nyerere alituzinga tusijepata rais pande Hii coz hima empire itakuwa rasmi imefufuliwa
Unajua watu wana kale kaentitlement ...wanadhani kuwa rais ndio lengo... Ile sio sifa ... Heshima ni kulitunza taifa na misingi yake kwa miaka mingi... Kule kwetu kutokana na muingiliano.. Ni kazi sana kuprove authenticity ya watu wake na mbaya zaidi hakipo kifaa cha kupima loyalty ya MTU... Na tabia ya kuwa sleepers imedumu Kule kwa karne nyingi mno..

Kama tunapenda ustawi Wa taifa letu basi inabidi tuwekeze kwenye kuwaandaa watoto kizalendo na kuilinda mipaka..na hili lifanywe na general population.. Wawe wa kwanza kuibua wahamiaji haramu kwa upendo.. Na kimfumo tuwatambue wapo wapi na wanafanya nini... Labda generation mbili mbele hii threat tunaweza kuizima. Ila kwa sasa bado ni tatizo.
 
Africa is One!
Africa must unite!

Kama siyo mipaka ya Kikoloni hii mada isingekuwepo.


Mkoloni ndiye aliyemfanya Mmachame na Mkibosho waishi mkoa mmoja na nchi moja.
Mkoloni na mfumo wake ndio aliyefanya Mnyamwezi na Myao wawe chini ya kiongozi mmoja na nchi moja.
Kabla ya huu mfumo wa kikoloni kuja Afrika hata kuoana kati ya Mnyakyusa na Mrangi haingewezekana.

Kabla ya Mkoloni Kibosho na Machame ilikua ni dunia mbili tofauti kabisa.

Sio kila kilicholetwa na mkoloni ni kibaya.
Ubaya wa mtawala yeyote awe mkoloni mweusi au mweupe ni kukiuka haki,uhuru,utu na mawazo ya watu anaowatawala.

Ukifuatalia kwa ukaribu utagundua kuwa machifu kabla ya kuja wakoloni walikua ni watu katili sana kuliko hata hao wakoloni na hakuna maendeleo yoyote waliyokuwa wanafanya zaidi ya kupigana vita na kuibiana mifugo na wanawake.


Mkoloni ndiye leo anayetaka kuifanya dunia kuwa kijiji kimoja na watu waishi wanapotaka kidemokrasia japo bado kuna wajima wanaoipuuza demokrasia na kuendekeza ukabila huku wao wakitaka kutawala makabila mengine lakini wao hawapo tayari kutawaliwa na hayo makabila mengine.
Wanyarwanda sio watu salama sana kwa Taifa letu kwa sababu ya tabia zao za kibaguzi.
 
Ukienda rwanda jimbo la Gitarama kuna watanzania wengi ukiangalia kwa kina siyo watanzania, ila ni wale wakimbizi wa zamani waliokimbilia hapa Tanzania mwaka 1970, 1977,1994 na miaka ya karibuni,

Hapa utakutana na mzee mnonezi, mzee micheli, Ndailos, na Mzee Aganyila, hawa ni watu maarufu wanaoratibu shughuli mbali mbali pamoja na

1.Kuhakikisha wanapata uwakilishi katika ngazi mbali mbali katika nchi ya Tanzania, sekta mbali mbali,

2. Uhakika wa kupata pa kuhifadhi wakimbizi wapya wanaokuja kinyemela ndani ya misitu ya kimisi, Runzewe na biharamulo kasindaga,

3. Kuhakikisha wanaratibu wanyarwanda wote wanaoishi Tanzania kunyonya iwezekanavyo na kutuma hela nyumbani,

4.Kuyatatua matatizo yaliyowapata wenzao sehem mbali mbali Tanzania,

Majimbo ambayo wamefanikiwa kuyakamata mpaka sasa hivi
1.Wilaya nzima ya Muleba, lile ni koloni rasmi la wanyarwanda, kuanzia Mubunda, Bihija, Ngote, Kanyeranyere mpaka ziwa Burigi,

2. Wilaya ya karagwe , mabila, nkwenda, kishao na kaisho,

3.Biharamulo yote

4. Geita hapa wapo wengi mpaka wanazungumza kisukuma na wameshakuwa na ngazi serikalini

5.kigoma baadhi ya maeneo


Sekta ambazo mpaka sasa wamekalia
1.askari polisi na magereza wamepata mpaka ukuu wa magereza yaan bwana jera

2. TRA
3.uhamiaji
4. TCRA
5. Bungeni pia


Lakini kaa mkijua mpango wenu wa kuhakikisha jamaa fulani anakuwa rais hatutakubali sisi kama.watanzania wema , hatutakubali kupangiwa rais na Rwanda kisa kulinda maslahi yenu ya ukanda huu hapa tumekataa sana

Wale vijana watatu wanaotaka kusajiliwa sekta nyeti tumeshapata taarifa na kuwanyima.vibali vya kuwa nchini

BIG UP MZEE MAGUFULI

Ila punguza urafiki na Kagame
TUONE UKABILA WENU NA UJINGA WENU HUKU! MMELAANIWA NINI! TANZANIA HATUNA UJINGA HUO
 
resources can easily be shared under a united paradigm.
if you have your food and i have my own food, if we share and eat together then everyone is guaranteed to eat more than one type of food
You lack suffice resources, but you need my resources to get equally shared amongst you ?

- Bring your own creyfish, then we mix it together.
- Mine can never be equally divided amongst you while yours remains in your pocket

CASE: LAND
 
Naona kanda ya ziwa imekuwa ikichukiwa bila sababu kwa mda mrefu sasa hasa makabila yake. Hivi kuwa Mhaya, Mzinza au Mnyambo ni kosa?.
Kuna Wayao, wachaga na Wanyakyusa wote wapo mipakani lakini hakuna chuki dhidi yao kama kwa makabila ya Kanda ya ziwa na Kigoma.
Inabidi mbadilike na mitazamo hasi iliyoota mizizi.
Hivi unafkiri ni rahisi Mkikuyu kuingia Arusha au klmanjro kama ilvyo huko Kagera?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bratinicca, inaelekea unawajua sana hawa imposters wa banyamulege wanaojifanya Wasukuma!, kiukweli watu hawa ni hatari sana kwa ustawi wa taifa letu, haswa wanavyojua kujipenyeza na kuganda kama luba, vipi kuhusu yule Katto, uliotueleza kwenye uzi ule, alizaliwa wapi, jee wazazi wake halisi ni kina nani na walitokea wapi kabla hawajalowea hapo walipolewea, huyu Katto siku hizi yuko wapi, na kama alibadili jina, kwa nini alibadili jina na sasa anaitwa nani na ana wadhifa gani hapo alipo?.

Paskali
Apa hatojibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom