Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Alafu umebadilisha picha.
Am familiar with that upaja.
Wewe ni wa Kagera?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu umebadilisha picha.
[emoji1] [emoji1] upaja tu umekufanya kujua kuhusu yeye mkuu?Alafu umebadilisha picha.
Am familiar with that upaja.
Wewe ni wa Kagera?
Sio paja ni muguuAlafu umebadilisha picha.
Am familiar with that upaja.
Wewe ni wa Kagera?
Hakuna mtu yoyote anayemkatalia mtoto wa mhamiaji yoyote aliyezaliwa nchini, kuwa kiongozi, hata Obama ni mtoto wa mhamiaji wa Kenya, hata mimi wife anaishi US na nina watoto huko, wamezaliwa huko na ni rais wa US. Tunachopinga, ni wahamiaji haramu, waliozaliwa huko walikozaliwa, kisha wakajipenyeza Tanzania na kujichanganya wenyeji hivyo kujifanya ni Watanzania kabisa!.Utamkataliaje mtoto wa muhamiaji ambaye ni mtanzania kwa kuzaliwa asiwe kiongozi?
Hebu tupishe......to unite my foot.Africa is One!
Africa must unite!
Kama siyo mipaka ya Kikoloni hii mada isingekuwepo.
Oh yes,Sio paja ni muguu
Mguu si wangu huo live natisha lkn nitongoze tu coz nayo ni fahari kwetu sisi wanawakeOh yes,
Ni muguu wa binti za Kagera. Sasa inakuaje, upo pande gani wewe, nikutembelee.
Wapo wengiii tu ctaki kutaja. .......mkuu .usiniulizeeHakuna Watanzania waloshika sekta nyeti Rwanda?
Mkuu Pascal Mayalla vema sana tuletee kaobama hapa TanzaniaHakuna mtu yoyote anayemkatalia mtoto wa mhamiaji yoyote aliyezaliwa nchini, kuwa kiongozi, hata Obama ni mtoto wa mhamiaji wa Kenya, hata mimi wife anaishi US na nina watoto huko, wamezaliwa huko na ni rais wa US. Tunachopinga, ni wahamiaji haramu, waliozaliwa huko walikozaliwa, kisha wakajipenyeza Tanzania na kujichanganya wenyeji hivyo kujifanya ni Watanzania kabisa!.
Tuna viongozi wengi wageni, wamejikubali ni wageni, wameomba uraia tukawapa na sasa ni viongozi wetu wazuri tuu. Haijalishi umezaliwa wapi, tunachotaka ni ukweli tuu.
Paskali
hata akitaka kua mkuu wa majeshi???? au kuwa raisi????Utamkataliaje mtoto wa muhamiaji ambaye ni mtanzania kwa kuzaliwa asiwe kiongozi?
Sheria zinasemaje? Maana pasipo shaka wanaotuuza sio hao tunawadhania.hata akitaka kua mkuu wa majeshi???? au kuwa raisi????
"compromised"........... well there we are!Sheria zinasemaje? Maana pasipo shaka wanaotuuza sio hao tunawadhania.
We have been compromised
Na sio wanyamulenge...tunahanisha magoli"compromised"........... well there we are!
nadhan kwa hali za nchi zetu,hatuna namna tumenaswa na siamini km waliotuuza walikua hawamjui.............. no way!
Wapo wengiii tu ctaki kutaja. .......mkuu .usiniulizee
Ni kweli hata mimi nalijua hiloWapo wengiii tu ctaki kutaja. .......mkuu .usiniulizee
Kama taifa tishio letu kubwa ni CCMBy the way, where is our realky threat as a nation? Mbona dunia nzima inawahamiaji?
Paskali, na wewe unamgwaya jamaa?Uzalendo wa kweli wa nchi yako ni pamoja na kututajia huyo Katto aliyekuja unamuona, akitokea wapi?, taarifa zipo Mzee Machalila ni babu mzaa mama, jee baba yake halisi ni nani, ni mtu wa wapi, na Katto mwenyewe alizaliwa wapi?. Huu ndio Uzalendo wenyewe wa kweli.
Paskali
Siku hiyo ni lini?. Hivi haijui kuna makabila hawaruhusiwi kuwa?, mtafute Britanicca, akueleze kwanini jamaa fulani aitwae Katto, amebadili kabila!.
Paskali