Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMbozi sasa ni Songwe mkuu.
HapanaMbozi ipo Mbeya?
Sema pia ni washamba kinoma Ila wanajitia ujuaji balaa. Kingine watu wasichokijua ni kuwa wapo wengine wanaokula mbwa km Wahehe. Hawa hasa wanapatikana Kijiji flani kinaitwa ICHESA kipo jirani na kijiji cha MAHENJE. kiongozi hayo mazingira yote mimi nimekanyaga kwa hiyo naonngea facts tipu.Watu mnatukandia sana Wanyiha Eti tuna Roho mbaya Acheni hizo Njooni Huku Vwawa au Mlowo Mje mfanye utafiti wa Mnachokisema
Nilikuwa na demu anaitwa Neema, Mnyiha, nikipata ajali nikaumia vibaya sana, usiku huo hakirudi nyumbani akaenda kukesha bar na dada yakeTumugoje tumuleshe?
Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"
Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano
Hata Kijiji cha Ukukwa wanakula mbwa na panyaSema pia ni washamba kinoma Ila wanajitia ujuaji balaa. Kingine watu wasichokijua ni kuwa wapo wengine wanaokula mbwa km Wahehe. Hawa hasa wanapatikana Kijiji flani kinaitwa ICHESA kipo jirani na kijiji cha MAHENJE. kiongozi hayo mazingira yote mimi nimekanyaga kwa hiyo naonngea facts tipu.
Ni watu wa wilaya ya Mbozi, Songwe mkoani .Ndio nawasikia leo hao, ni Watanzania?
Sio watu hata kidogoHao jamaa washawahi kumzika mtu mzima mzima Mbozi kisa alkuwa mwizi
Hivi Kati ya nyie na wanyamwanga NANI KATILI?Mkoa wa Songwe huku Mbozi Tumejazana kibaoo
Kati yenu na wanyamwanga nani katili?Wanatusingizia tu. Mbona si Wanyiha wa Igamba tuko peace tu. Hao labda mlikutana na waliozamia Tunduma.
Huwa mnakula panya,siyo?Watu mnatukandia sana Wanyiha Eti tuna Roho mbaya Acheni hizo Njooni Huku Vwawa au Mlowo Mje mfanye utafiti wa Mnachokisema
Alifurahia ajali.Nilikuwa na demu anaitwa Neema Mziho, Mnyiha, nikipata ajali nikaumia vibaya sana, usiku huo hakirudi nyumbani akaenda kukesha bar na dada yake
Lakini,ni ndugu zako.🤣🤣🤣🤣Sio watu hata kidogo
Ndio maana dish lake limeyumba.Ni watu wa wilaya ya Mbozi, Songwe mkoani .
Ndio kabila la kina Lucas Mwashambwa
Akisoma ulichoandika atalia sana halafu ataandika page nzima kujibu pointi moja tu.Ndio maana dish lake limeyumba.
Mara imepoa itoe weka GEITAMbona hatuwasikii kwenye taarifa ya habari kama Njombe,Manyara,na Mara?
Kweli, Geita nayo inang'ara Kwa matukioMara imepoa itoe weka GEITA