Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Tumugoje tumuleshe?

Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"

Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke anaweza kukuacha ndani u taabani, kwa kuumwa, akaenda kanisani akarudi usiku kisha akapitilizia kulala
Wanatoka sehemu gani hapa Tanzania au ni watu tu wa motoni?
 
Tumugoje tumuleshe?

Huo ndio msimbo wao, au password yao, ikiwa na maana "Tumuuwe au tumuache?"

Hawa watu ni wagumu sana kwenye mahusiano, ni makatili sana na Wana roho ya ajabu kabisa. Mwanamke anaweza kukuacha ndani u taabani, kwa kuumwa, akaenda kanisani akarudi usiku kisha akapitilizia kulala
Mzee Wangu umemuoa mnyia nn
 
Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Senjele walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu na pia huko Mbozi palikua na Mzee alikua anakodisha Bunduki na kutengeneza siraha ambazo Majambazi wengi wamezitumia kwenye utekaji Mkoa wa Mbeya...
Wapuuz sana
 
Mna roho mbaya mno,nilioa huko na ndoa ilitushinda Kama asemavyo mleta uzi, ni watu makatili,hamna utu na ukioa huko ndugu kujazana kwako akiwa amekuja Kama alivyo ,na Mambo yako yakienda vibaya ndio utawajua wasivyo na utu.Wazee walinionya khs ilo kabila, nikawaambia ninaemuoa kasoma hawezi kuwa vibaya,wakaniambia mtu aachi asili yake...nilijuta aisee
Hkn ndoa ya mnyakyusa na mnyia au mndali
 
Watu mnatukandia sana Wanyiha Eti tuna Roho mbaya Acheni hizo Njooni Huku Vwawa au Mlowo Mje mfanye utafiti wa Mnachokisema
Mna roho mbayaaa nimesoma nao mbozi mission secondary school kote mlowo, vwawa, idiwili, itaka , igamba, mahenge, isansa mmejaa nyie tu mnaroho mbayaaa ya maviii hamfaiii na ndiyo maana mnajitenga mnaishi wenyewe Kwa wenyewe hata mbeya mjini hampo mmejificha maporini yaani nyie hamna tofauti na wasafwa wa uyole sijuii mliumbwa Kwa lengo gani hapa duniani? hamtaki kuchangamana na watu ni wabinafsi hampendi mtu asiye wa kabila lenu afanikiwe kazi tu kusema shonii, mwakata.... Mwakata uli .. haansiii wapuuzi wakubwa mlimteka kaka yangu mkamkata miguu Kisa alikatisha kwenye shamba la alizeti kule matula nawalaani miaka ALFU LELA ULELA.

Ndomana nilifirahi sana mkoa wa mbeya ulivyotenganishwa na liwilaya la mbozi lililojaa mahayawani watupu wasiojielewa.

Hebu nitajie ni myiha gani kashawahi kushika ngazi za juu za uongozi katika nchi hii!!!?? Mnaishia kuwa mamonita tu kwenye madarasa mliyojaa nyie watu wa hovyo miso na mfano..

Kwa kifupi nyie ni wapumbavu tu.
 
Mna roho mbayaaa nimesoma nao mbozi mission secondary school kote mlowo, vwawa, idiwili, itaka , igamba, mahenge, isansa mmejaa nyie tu mnaroho mbayaaa ya maviii hamfaiii na ndiyo maana mnajitenga mnaishi wenyewe Kwa wenyewe hata mbeya mjini hampo mmejificha maporini yaani nyie hamna tofauti na wasafwa wa uyole sijuii mliumbwa Kwa lengo gani hapa duniani? hamtaki kuchangamana na watu ni wabinafsi hampendi mtu asiye wa kabila lenu afanikiwe kazi tu kusema shonii, mwakata.... Mwakata uli .. haansiii wapuuzi wakubwa mlimteka kaka yangu mkamkata miguu Kisa alikatisha kwenye shamba la alizeti kule matula nawalaani miaka ALFU LELA ULELA.

Ndomana nilifirahi sana mkoa wa mbeya ulivyotenganishwa na liwilaya la mbozi lililojaa mahayawani watupu wasiojielewa.

Hebu nitajie ni myiha gani kashawahi kushika ngazi za juu za uongozi katika nchi hii!!!?? Mnaishia kuwa mamonita tu kwenye madarasa mliyojaa nyie watu wa hovyo miso na mfano..

Kwa kifupi nyie ni wapumbavu tu.
Punguza hasira mkuu. Kaka yako atakuwa alikuwa mwizi. Huwa hatuvumilii wezi.
 
Sio Wagumu tu ni kabila lenye watu wenye roho ya kikatili nadhani kuliko makabila mengi Tanzania wao kuua ni kitu cha kawaida tu.

Wakikaba kwenye Mlima Senjele walikua wanatumia huo msemo wao wa Tumghoghe au Tumleshe wakimaanisha tumuue au tumuache mmoja kati yao akiongea uuawe au uachwe utaachwa kweli au kuuawa sio watu kabisa hao ndio hao hao walipelekewa deal na Waganga kuhusu ngozi ya binadamu mpaka wakaanza kuchuna ngozi watu na pia huko Mbozi palikua na Mzee alikua anakodisha Bunduki na kutengeneza siraha ambazo Majambazi wengi wamezitumia kwenye utekaji Mkoa wa Mbeya...
Kule Chunya kulikuwa sehemu salama kabisa ila tangu washkaji watie kambi ndio ikawa mara yangu ya kwanza kuweka historia kuwa miongoni mwa watu walioshuhudia vipaji vya kipekee katika swala zima la wizi.

Majamaa walikuwa wanaiba sana na kupora vipimo na sometimes walikuwa hadi wana wadhuru watu.

Ila moja ya tukio ambalo sikuwahi kufikiria kuwa inawezekana ni kitendo cha mtu kuiba nguruwe bila nguruwe kupiga kelele.
 
Kuna gari ya magodoro ilipata ajali, dereva akawa anaomba msaada wamfungulie mlango na gari ilishaanza kushika moto.!! Aiseee!! Wale raia waligoma wakawa wanaendelea kusomba magodoro, ikabidi dereva alivyoona kakosa msaada atupe vitambulisho vyake ili iwe rahisi ndugu zake kujua km alikufa 😭😭😭😭😭

Mpaka leo lile eneo nalichukia pamoja na hao watu (wanyiha) wa eneo hilo.
Hilo kabila ni makatili kweli, kuua ni jambo rahisi kwao na ni wachawi walioshindikana..!! Hao kumiliki joka ili awe tajiri sio shida zao. Ni mijitu ya hovyo sana.

Sema wanawake zao majeuri ila vicheche balaa, hata ukioa lazima uchapiwe. Pamoja na yote ni watu wachapa kazi haijalishi halali au haramu wao wanapiga.
 
Back
Top Bottom