Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Wanyiha, ni watu wagumu sana mapenzini. Acha waoane wao kwa wao

Wanyiha roho zao mbaya ni zile zile toka tupo mbeya tumesafiri tunarudi bado wapo hivyo hivyo pana sister mmoja tulimuonyesha duka moja la vitu SA wanalouza bei ndogo baadae akachukua namba ya mwenye duka baadhi ya bidhaa anamwambia yule owner asituuzie sasa wazungu hawana hizo mambo wanashangaa na kukuambia yule ndugu yako anasema hivi jamaa angu akasema Mnyiha huyo ndio walivyo hao tumemleta SA harafu yeye ndio anataka tena tusipate bidhaa wakati watu kibao tumewapeleka lakini hawajai kusema hivyo popote..
Hizo tabia zipo kwa makabila yote, mimi niliwahi kufanyiwa km ulivyofanyiwa na mnyakyusa.!!
 
Hizo tabia zipo kwa makabila yote, mimi niliwahi kufanyiwa km ulivyofanyiwa na mnyakyusa.!!
Hapana wanyiha wana roho mbaya mwenye Truck na Bus la Shalom ni Mzambia asili yake ni Mnyiha basi na abiria nao wakawa wanajifanya wana haki kwenye kupakiliwa mizigo kuliko watu wengine mpaka wakawa wanachukiwa na Wazambia, Mimi Watanzania nawajua vizuri nikisema hao watu sio namaanisha wana vitu vingi vya ajabu ajabu tu..
 
Kule wanaita "Kunyika" halafu kuna "Ikuti" hao Manyamanyafu ni wale Wandali wachawi sugu waliotoka Undali-Ileje wakahamia Unyakyusani so wanakuwa termed kama Wanyakyusa sababu ya generation zao kuhamia Unyakyusani.
Kunyika na Ikuti upo sahihi nimefika huko pana watu wenyewe wanawaita "Wasisya"wakimaanisha wazito ni wazito kweli...
 
Kuna gari ya magodoro ilipata ajali, dereva akawa anaomba msaada wamfungulie mlango na gari ilishaanza kushika moto.!! Aiseee!! Wale raia waligoma wakawa wanaendelea kusomba magodoro, ikabidi dereva alivyoona kakosa msaada atupe vitambulisho vyake ili iwe rahisi ndugu zake kujua km alikufa 😭😭😭😭😭

Mpaka leo lile eneo nalichukia pamoja na hao watu (wanyiha) wa eneo hilo.
Hilo kabila ni makatili kweli, kuua ni jambo rahisi kwao na ni wachawi walioshindikana..!! Hao kumiliki joka ili awe tajiri sio shida zao. Ni mijitu ya hovyo sana.

Sema wanawake zao majeuri ila vicheche balaa, hata ukioa lazima uchapiwe. Pamoja na yote ni watu wachapa kazi haijalishi halali au haramu wao wanapiga.
Mh kwa namna hiyo mbona hata wanyama wana afadhali sasa.
 
Kule Chunya kulikuwa sehemu salama kabisa ila tangu washkaji watie kambi ndio ikawa mara yangu ya kwanza kuweka historia kuwa miongoni mwa watu walioshuhudia vipaji vya kipekee katika swala zima la wizi.

Majamaa walikuwa wanaiba sana na kupora vipimo na sometimes walikuwa hadi wana wadhuru watu.

Ila moja ya tukio ambalo sikuwahi kufikiria kuwa inawezekana ni kitendo cha mtu kuiba nguruwe bila nguruwe kupiga kelele.
Niliambiwa mnyiha aliwahi mfukia/kumzika machina akiwa hai kwa greda akiwa anajenga barabara huko Chunya; machina alikuwa anakwamisha dili la mnyiha kuuza mafuta, mnyiha akamwambia machina amwelekeze namna nzuri ya kung'oa mti, ile machina anamwelekeza jamaa akachota ugongo akamzika, akafyonza mafuta na kutokomea.
Kama kuna mnyiha amekudhulumu mjini, usimfuatilie kwao Mbozi kudai, ukifika tu wanakupokea kwa ungwana kabisa, wanakunyesha sumu ya mamba wanazoua mto Songwe.
 
Ila jamaa ni pretenders sana hujifanya ni innocent kumbe ni hatari tupu .Uchunaji wa ngozi uliuchafua sana mkoa wa mbeya ukikutana nao ni wanyenyekevu sana kwenye salamu.
 
Back
Top Bottom