Hizo tabia zipo kwa makabila yote, mimi niliwahi kufanyiwa km ulivyofanyiwa na mnyakyusa.!!Wanyiha roho zao mbaya ni zile zile toka tupo mbeya tumesafiri tunarudi bado wapo hivyo hivyo pana sister mmoja tulimuonyesha duka moja la vitu SA wanalouza bei ndogo baadae akachukua namba ya mwenye duka baadhi ya bidhaa anamwambia yule owner asituuzie sasa wazungu hawana hizo mambo wanashangaa na kukuambia yule ndugu yako anasema hivi jamaa angu akasema Mnyiha huyo ndio walivyo hao tumemleta SA harafu yeye ndio anataka tena tusipate bidhaa wakati watu kibao tumewapeleka lakini hawajai kusema hivyo popote..
88 nimemaamisha street (mtaa) na sio Mwaka MkuuDuuh advance 88 nipo darasa la Tano Sinde hapo...
Hapana wanyiha wana roho mbaya mwenye Truck na Bus la Shalom ni Mzambia asili yake ni Mnyiha basi na abiria nao wakawa wanajifanya wana haki kwenye kupakiliwa mizigo kuliko watu wengine mpaka wakawa wanachukiwa na Wazambia, Mimi Watanzania nawajua vizuri nikisema hao watu sio namaanisha wana vitu vingi vya ajabu ajabu tu..Hizo tabia zipo kwa makabila yote, mimi niliwahi kufanyiwa km ulivyofanyiwa na mnyakyusa.!!
Daah hapo sawa kama ni mwaka nilitaka kusema ni kitambo sana aisee88 nimemaamisha street (mtaa) na sio Mwaka Mkuu
i.e nane nane street
Kunyika na Ikuti upo sahihi nimefika huko pana watu wenyewe wanawaita "Wasisya"wakimaanisha wazito ni wazito kweli...Kule wanaita "Kunyika" halafu kuna "Ikuti" hao Manyamanyafu ni wale Wandali wachawi sugu waliotoka Undali-Ileje wakahamia Unyakyusani so wanakuwa termed kama Wanyakyusa sababu ya generation zao kuhamia Unyakyusani.
DuhKwa wachawi walioshindikana tz nzima huko ni zaidi ya wanyiha tabia zao. Wanakula mpk binadamu wenzao
Mh kwa namna hiyo mbona hata wanyama wana afadhali sasa.Kuna gari ya magodoro ilipata ajali, dereva akawa anaomba msaada wamfungulie mlango na gari ilishaanza kushika moto.!! Aiseee!! Wale raia waligoma wakawa wanaendelea kusomba magodoro, ikabidi dereva alivyoona kakosa msaada atupe vitambulisho vyake ili iwe rahisi ndugu zake kujua km alikufa 😭😭😭😭😭
Mpaka leo lile eneo nalichukia pamoja na hao watu (wanyiha) wa eneo hilo.
Hilo kabila ni makatili kweli, kuua ni jambo rahisi kwao na ni wachawi walioshindikana..!! Hao kumiliki joka ili awe tajiri sio shida zao. Ni mijitu ya hovyo sana.
Sema wanawake zao majeuri ila vicheche balaa, hata ukioa lazima uchapiwe. Pamoja na yote ni watu wachapa kazi haijalishi halali au haramu wao wanapiga.
Niliambiwa mnyiha aliwahi mfukia/kumzika machina akiwa hai kwa greda akiwa anajenga barabara huko Chunya; machina alikuwa anakwamisha dili la mnyiha kuuza mafuta, mnyiha akamwambia machina amwelekeze namna nzuri ya kung'oa mti, ile machina anamwelekeza jamaa akachota ugongo akamzika, akafyonza mafuta na kutokomea.Kule Chunya kulikuwa sehemu salama kabisa ila tangu washkaji watie kambi ndio ikawa mara yangu ya kwanza kuweka historia kuwa miongoni mwa watu walioshuhudia vipaji vya kipekee katika swala zima la wizi.
Majamaa walikuwa wanaiba sana na kupora vipimo na sometimes walikuwa hadi wana wadhuru watu.
Ila moja ya tukio ambalo sikuwahi kufikiria kuwa inawezekana ni kitendo cha mtu kuiba nguruwe bila nguruwe kupiga kelele.
Akina Kibona najua ni Wandali.Akina kibona najua najua mpo hapa mnakubali mnakataa
Wanyamwanga ni wachawi sio makatiliHivi Kati ya nyie na wanyamwanga NANI KATILI?
#YNWA
SanaIla wanaongea kiupole hao…..
Ni dada Yako?Sasa ulitaka arudi nyumbani akufanyaje labda? kwani yeye daktari au nurse? Acha kudeka wewe
Demu tu unamvalia njuga hivyo angekuwa mkeo si ndio ungeua kabisa
Asee watu mna wagner group zenu Tz hiihiiNi kweli mna roho ngumu sana za kikatili, mpaka leo huku kwetu umalila mtu akitaka kumfanyia mwenzio jambo baya lazima aende kutafuta majeshi unyihani.
Hujaangalia taarifa ya habari hivi karibuni? Matukio yote ya kijinga toka Mbeya wamilki ni wanyihaMbona hatuwasikii kwenye taarifa ya habari kama Njombe,Manyara,na Mara?
Duuuh....mi lidhani wabenaHujaangalia taarifa ya habari hivi karibuni? Matukio yote ya kijinga toka Mbeya wamilki ni wanyiha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]jamaa mzinguaji sana yule.Akisoma ulichoandika atalia sana halafu ataandika page nzima kujibu pointi moja tu.