Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,101
- 11,381
Ni makampuni ama serikali yako imeweka makodi lukuki?23,0000 unaona ni kawaida? Halafu haya makampuni ya sementi kucheza na soko kwa kuamua kuumiza watu wa miji fulani haijakaa sawa. Bahati mbaya watu wako busy kusubiri viapo. Hawa inapaswa wawe wanapewa adhabu retrospective.