Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana!
Sijui.Tufanye elfu 23 bado si ndogo aisee
Mkoa wa ufipa.Mkoa gani cement 30,000?
Kwahiyo kuingia uchumi wa kati vitu vinapanda bei ?Hujui maana ya uchumi wa kati? Mbona zamani cement tulinunua sh 20 kwa mfuko, wakati unabadilika acha kulialia
Na bado...Mfumuko wa bei unaendelea kuongezeka katika bidhaa za ujenzi mfano cementi ilikuwa sh 15000 sasa hivi tunanunua sh 30000. Bati ilikuwa bandari sh 260000 sasa hivi 300000.mamlaka zinazohusika zifanyie kazi hili
Kwahiyo kuingia uchumi wa kati vitu vinapanda bei ?
Kama hukujenga enzi za JK hutajenga tena..Mfumuko wa bei unaendelea kuongezeka katika bidhaa za ujenzi mfano cementi ilikuwa sh 15000 sasa hivi tunanunua sh 30000. Bati ilikuwa bandari sh 260000 sasa hivi 300000.mamlaka zinazohusika zifanyie kazi hili
KarifonyiaHio ndio California tuliyoahidiwa
Duh miezi minne imepita nilituma hela home kwa sh 19,000)= kwa mfukomkoa gani maana niko mwisho wa tz ila ni 230000
Si umesema sina sasa zitakaaje sawa wakati hazipo ?undelee kulalamika ivo ivo mpaka akili zikukae vizuri
Cement sh laki tatu na thelathini elfu mfuko mmoja, duh. Kweli tuko karefoniyamkoa gani maana niko mwisho wa tz ila ni 230000
Si uende kwenye hardware ukaulize bei?Watu mnakuza mambo ili ionekane vibaya nchi yetu!!! Acheni!!!
uende kufnya kazi sasa or else hutakulaSi umesema sina sasa zitakaaje sawa wakati hazipo ?
Nisipokula wewe unapungukiwa nini?uende kufnya kazi sasa or else hutakula