Jitahidi sana mkuu. Juz tumetoka kuzika jamaa yetu na sio kwamba alikua na shida kimaisha alikua na kazi nzuri tu..Katika changamoto ambayo vijana wengi tunapambana nayo ni hii ya kuacha pombe binafsi napmbana sana niache, na siku hizi nimekua na hasira kila ninapo kunywa nakua mkali kweli kweli jamba linaloniogopesha hata usalama wangu mtu ukiwa na laki unaiteketeza ndani ya masaa kadhaa tu aisee inaumiza hii wakuu
Mada mezani ni POMBE.Ni
Ni sawa kaka pombe nayo inachangia umasikini, ila nimmpinga mtoa mada ameiterm pombe kama ni sababu kuu, kuna watu hata radha ya pombe hawijui ila wanakufa maskini kisa wanawake (ndugu yake pombe) kunawengine kamali, napia nimempinga mtoa mada kwamba wanunuaji wa pombe tunawatajirisha matajiri wa makampuni, swali ni je vitu vingine tunavyo nunua kwa matumizi hatuwatajirishi matajiri ni pombe tu ndo tunawatajirisha maboss wa hizo kampuni
Usimuhusishe Mungu na mambo ya kipumbavu.Mungu mwenyewe angekua anajua kuwa pombe ni kitu kibaya basi asingewapa wanadamu maarifa ya kutengeneza pombe.
Afu nyie wanywa juice mnapenda K sana tunawajua vizuri.
Ukisoma RICH DAD POOR DAD utayakuta hayaaWasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Nkikaa na wanywa tungi hua sijutii siku nkilinganisha na siku nayokaa na wala pepsiWasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Wachungaji wanakula kondoo wao madhabahuni, hasa ktk mikesha na mida ya maombezi ya wiki, vp nani bora me mlevi naekula dagi napita sokoni kufanya shopping ya familia yangu au yule anaetwgemea misaada ya waumin huku akiwatafuna bila hurumawalevi ni wapumbavu wa mwisho pombe ni mahususi kwa wapumbavu,losers kichocheo cha uwasherati ulioambatana na umasikini
Wachungaji hawanunui mandinga huku waumin wakiishi amza kanoon?Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
Au fungua kanisa huko wapumbavu ni mara 100 ya walevi, wanajaza hadi uwanja wa mkapanakubaliana na wewe ukitaka kuwa tajiri wekeza kwenye pombe huko kuna kundi kubwa la wapumbavu
TBS Mkemia mkuu na TMDA hawaja zipiga marufuku hivyo ni salama.Wasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Yani mkuu majuto ya baada kunywa pombe mtu unatamani ataa uokoke kiukweli pombe inatesa sana asante kwa ushauri ambao umenyooka kakaJitahidi sana mkuu. Juz tumetoka kuzika jamaa yetu na sio kwamba alikua na shida kimaisha alikua na kazi nzuri tu..
Embu kaa chini utafakar mkuu, kwamba wewe unaharibu afya yako kwa kumpa mtu utajiri ..wewe unafaidika kulewa tu ...hio ni sawa kwako
Diamond bwana, anaimba, "Ooooh eti utakufa",Wasaalam!!!!
Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...
Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..
Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.
Kaa tafakari.
ACHA POMBE..
Umenena vzrHalafu unakuta hanywi pombe, lakini hatumii kondomu..!!
Mungu kakuahidi utaishi Miaka Mingapi Mkuu?Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinauaMungu kakuahidi utaishi Miaka Mingapi Mkuu?