Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Katika changamoto ambayo vijana wengi tunapambana nayo ni hii ya kuacha pombe binafsi napmbana sana niache, na siku hizi nimekua na hasira kila ninapo kunywa nakua mkali kweli kweli jamba linaloniogopesha hata usalama wangu mtu ukiwa na laki unaiteketeza ndani ya masaa kadhaa tu aisee inaumiza hii wakuu
Jitahidi sana mkuu. Juz tumetoka kuzika jamaa yetu na sio kwamba alikua na shida kimaisha alikua na kazi nzuri tu..
Embu kaa chini utafakar mkuu, kwamba wewe unaharibu afya yako kwa kumpa mtu utajiri ..wewe unafaidika kulewa tu ...hio ni sawa kwako
 
Ni



Ni sawa kaka pombe nayo inachangia umasikini, ila nimmpinga mtoa mada ameiterm pombe kama ni sababu kuu, kuna watu hata radha ya pombe hawijui ila wanakufa maskini kisa wanawake (ndugu yake pombe) kunawengine kamali, napia nimempinga mtoa mada kwamba wanunuaji wa pombe tunawatajirisha matajiri wa makampuni, swali ni je vitu vingine tunavyo nunua kwa matumizi hatuwatajirishi matajiri ni pombe tu ndo tunawatajirisha maboss wa hizo kampuni
Mada mezani ni POMBE.
 
Mungu mwenyewe angekua anajua kuwa pombe ni kitu kibaya basi asingewapa wanadamu maarifa ya kutengeneza pombe.
Afu nyie wanywa juice mnapenda K sana tunawajua vizuri.
Usimuhusishe Mungu na mambo ya kipumbavu.
Mungu hajakupa akili utengeneze pombe (sumu) tena inayoua vijana hapa nchini ..Mungu ametupa akili tufanye vitu vyenye kumsaidia mwanadamu na sii kumuua kwa kumtengenezea pombe.
Swala la wanaokunywa juice kuwa wapenda ngono hio ni dhana potofu na ya kipumbavu pia natural juice ni nzur kwa afya ya mtumiaji.
 
Nashkuru Mungu kua sina taste na alcohol. Sijavutiwa na radha yake na idea ya kua Sober.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Ukisoma RICH DAD POOR DAD utayakuta hayaa
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Nkikaa na wanywa tungi hua sijutii siku nkilinganisha na siku nayokaa na wala pepsi

Business idea nyingi zilizonipa spirit ya kupambana zimetokea bar na masela wanaopaki ndinga za maana

Wala pepsi ndo huongoza kwa kupaki IST na vidudu vingine mijini
 
walevi ni wapumbavu wa mwisho pombe ni mahususi kwa wapumbavu,losers kichocheo cha uwasherati ulioambatana na umasikini
Wachungaji wanakula kondoo wao madhabahuni, hasa ktk mikesha na mida ya maombezi ya wiki, vp nani bora me mlevi naekula dagi napita sokoni kufanya shopping ya familia yangu au yule anaetwgemea misaada ya waumin huku akiwatafuna bila huruma

Teja wa imani sometimes anatia huruma kuzid teja wa mitungi
 
Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
Wachungaji hawanunui mandinga huku waumin wakiishi amza kanoon?
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
TBS Mkemia mkuu na TMDA hawaja zipiga marufuku hivyo ni salama.
Jaribu Smart Gin kipande cha limao na Tonic utakuja Kuni shukuru.
 
Jitahidi sana mkuu. Juz tumetoka kuzika jamaa yetu na sio kwamba alikua na shida kimaisha alikua na kazi nzuri tu..
Embu kaa chini utafakar mkuu, kwamba wewe unaharibu afya yako kwa kumpa mtu utajiri ..wewe unafaidika kulewa tu ...hio ni sawa kwako
Yani mkuu majuto ya baada kunywa pombe mtu unatamani ataa uokoke kiukweli pombe inatesa sana asante kwa ushauri ambao umenyooka kaka
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Diamond bwana, anaimba, "Ooooh eti utakufa",
"Kwani we utaishi mileleee"!!
Ahahahahaha! Diamond bwana!!
 
Ukiitumia bila kuzidisha ni afya kwako, angalia Yesu alivyobariki maji yakawa pombe, nae alikunywa. Kama Yesu alikunywa wewe ni nani usinywe.
 
Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
Mungu kakuahidi utaishi Miaka Mingapi Mkuu?
 
Mungu kakuahidi utaishi Miaka Mingapi Mkuu?
Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
 
Back
Top Bottom