Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wanywa pombe kali huwa mnajiuliza swali hili mkiwa mnakunywa?

Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Majibu ya wanywa pombe watakayokujibu hapa sijui kama utarudi tena,wewe hujiulizi mtu mpaka anafilisika kwa pombe kwanini anashindwa kuachana na kampani za pombe,kila akijaribu kujitoa wanampa maneno ya kumtia moyo, na ukitoka utakandiwa kuonesha wewe ni mmoja wa watu wa hovyo kuliko yoyote yule ambaye alishawahi kutokea,waache,dalili za kuumwa zikishaanza huwa wanajitoa wenyewe kimyakimya...
 
NILICHOJIFUNZA KWENYE MADA HII YA BWANA felakuti NI KWAMBA WATU WENGI SANA;
1. Wamekariri vitu vingi sana kwamba vipo kwa namna hii au ile, lakini hawana hoja za kutetea walichokaririshwa
2. Maisha yetu kwa sehemu kubwa yanaendeshwa na mapokeo. Tumepokea imani nyingi sana toka kwa waliotutangulia, lakini hatukuwahi kuhoji why mapokeo hayo yapo hivyo yalivyo
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Dorpe
 
Majibu ya wanywa pombe watakayokujibu hapa sijui kama utarudi tena,wewe hujiulizi mtu mpaka anafilisika kwa pombe kwanini anashindwa kuachana na kampani za pombe,kila akijaribu kujitoa wanampa maneno ya kumtia moyo, na ukitoka utakandiwa kuonesha wewe ni mmoja wa watu wa hovyo kuliko yoyote yule ambaye alishawahi kutokea,waache,dalili za kuumwa zikishaanza huwa wanajitoa wenyewe kimyakimya...
Usitake kutuaminisha kuwa waliofilisika wote walikuwa wanakunywa pombe..!! Kuna masikini wanywa juisi ujuwe..!!
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Sasa unataka ufe ukiwa mbichi kama embe bolibo ili iweje?Kwani unaenda kushindana umaridadi/urembo/utanashati kaburini?Kula pombe wewe acha upompompo!Kwanza Yesu akija kututwaa atatupatia miili mipya.Nini shida wewe?
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Situmii pombe kali,ila unaweza usinywe pombe kali ukafa kwa corona,ajari kama kunagukiwa ghorofa,kaswende, malaria,kisukari n.k,so tusijaji sana hayabmaisha anayajua Mungu tu.
 
Mungu tu atusaidie maana kila kitu siku hizi ni Sumu na Kifo kiko palepale.
 
Wasaalam!!!!

Nakaa na kutafakari kwa kina, kwa mnywa pombe haswa vijana na wengineo hata watu wazima, chukulia hizi pombe kali...

Hivi umeshawahi kutafakari kua wewe unaingia kwa bashasha sehem ya burudani ama wapi unaagiza kwa bashasha na umwamba mwingi pombe kali na unachaganya na soda sjui, matokeo ya unywaji huo unaenda kuunguza maini yako na kukusababishia matatizo ya figo, ila kwa tajiri mwenye kiwanda ama hio kampuni anaendelea kua tajiri mkubwa, anajenga majengo ya hatari na magari ya kifahari, pesa ya kutosha iko benki..

Ila wewe huku unaangamia, mbaya zaid unakuta hata hakujui maskin ya Mungu wakat unaanza kwenda hospitali kufanya dialysis , tumbo limevimba, yeye huku anakula maisha, mbaya zaid yeye hatumii, yeye anakunya maji tu na kufanya mazoezi, mwisho wa siku unapata magonjwa kama kansa ya utumbo n.k, wewe ukiwa unakata roho yeye wala anakula.maisha bado. Ukiwaona huko.mitandaoni mixer kutoa shauri nasaha za maisha na jinsi ya kufanikiwa.

Kaa tafakari.

ACHA POMBE..
Halafu pombe kali nyingi Tanzania ni feki na ni sumu halafu TBS wanapata chochote kitu na wenye Mamlaka hupata kijibahasha cha kaki.
 
Kwenye kujaribu vitu ujanani, nimejaribu vingi ila pombe kali ni kitu ambacho sijawahi kukielewa kwa kwel. Yani unakunywa kitu kinakuchoma kooni, bado ukilewa hujielewi. Asee bora mpepe kuliko haya mapombe.
 
Kwenye ujumbe hapo juu kuna mahala.pameandikwa juice?
Hizi juice zenu za makopo mnazowekewa kemikali
Na hata kama ni juice , juice inatakiwa ktengenezwa ikiwa fresh without added sugar wala makemikali mnazowekewwa kwenye hizo za maboksi na mnawapa watoto wenu.
Bro nakuhakikishia one unknown day you will be sick on your death bed pamoja na kwamba hunywi pombe wala juisi za viwandani.........
 
Walevi wanajifariji



Acha afya zao zizorote tupite na wake zao

Watanyooka tu
 
Umaskin mkubwa sana mkuu..
Ila wenye kampun hizo za pombe wanaendelea kua matajiri, juzi kuna mmoja kanunua gari ya milioni 700 na wako huko.kwenye mitandao.wanayaonesha mafanikio yao makubwa
Hili jambo hua linanikasirisha sana
Kuna slogan kwenye biashara inasema......ukitaka kupiga pesa mingi, tatua shida za maskini. Wenye akili ameona maskini hawez kununua wine ya laki na kitu, wakaja na visungura vya buku ili maskini nae apate starehe, kumbe ndo kuangamiza vijana, wenyewe wanapiga pesa za maana. Sema pombe kali ni ufala. Kitaa kuna wana wawili wamekata moto ndani ya wiki moja, kwa kunywa haya maspirit ya mchongo
 
Siyo kwamba hatunywi pombe ili tusife,kwasababu hata wasiokunywa pia hufa!

Siyo kwamba hatunywi maji na juisi ili tuendelee kuishi,maana hata wasiokunywa juisi na maji pia huishi vilevile !

Siyo kwamba hatufanyi ZINAA ili tusipate UKIMWI kwasababu hata wasiofanya ZINAA wanao huo UKIMWI !

Siyo kwamba hatuli wanga na mavitu yaliyosindikwa ili tusipate kansa,maana hata wasiokula hayo bado wanapata kansa!



Hatufanyi hayo yote kwasababu Mungu wetu hafanyi hayo!,Mungu wetu ni mwema na sisi tunapaswa Kuwa wema !

Mungu wetu si mwenye dhambi hivyo nasi twapaswa kuikimbia dhambi!
Umughaka kwa mala ya Kwanza Leo umenena kwa hekima sana
 
Back
Top Bottom