Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Dochi😂😂😂 dah! hii ya wanawake wazee umepgaje hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dochi😂😂😂 dah! hii ya wanawake wazee umepgaje hapo
Kila kitu kina utaratibu wake . nakunywa pombe tena kali over 30 years nowBado haileti maana wala kujifariji kua sababu wengine wana dhambi kubwa nyingi kwamba wewe uharibu afya yako iwembovu sana sababu kuna wengine wanafanya dhambi kubwa kama hizo ulizosema hapo...yeye atakua na msalaba wake wa kufanya anal sex (ufuska), na wewe unayekunywa sumu( vilevi) pia utakua na msalaba wako
Hata wale wa kariakoo kuna ambao hawajawahi kunywa hata juice za kopo achilia mbali pombe na yawezekana wengine ni mabikra hawajawahi kutiana ila wamekufa, ndungu maisha ni fumbo na hayana kanuni, unaweza dhani unalinda ini lako kwa kuto kunywa pombe ukaja kufa kwa homa ya ini.Sio swala la.kuishi milele.mkuu. sumu hizo.zinaua
Sasa unywe sumu sababu unajua kua kuna kufa. Hio ni akili ama matope. Mungu amekubariki.kukupa miaka 80 ya kuishi, wewe unaipunguza kwa kusema sababu kuna kufa ngoja ninywe sumu(pombe kali).
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hivi walevi kwa nini wakitaka kwenda mbele huwa wanarudi reverse kwanza? 😅😅😅
Liver cirrhosis inasababishwa na pombe tu?Pombe kali inasababisha liver cirrhosis
Lakini wote mmekufa. Tena wewe mwenye maini mazima umekufa kishujaa..!!Unakosea sana.Kufa kwa uzembe ni tofauti na kufa kwa bahati mbaya.
Sio kweli.Kuna anayejiwahisha kufa kizembe hapoLakini wote mmekufa. Tena wewe mwenye maini mazima umekufa kishujaa..!!
Unajua, tunatakiwa twende kwa data..!! Watu wanashupaa kutangaza madhara ya pombe, wakati madhara hayo hayo wasiokunywa pombe yanawapata pia..!!Muda Fulani msongo na kukata tamaa ya kufanikiwa zaidi hupelekea Hali hizo, but Mimi binafsi kuacha pombe kazi ipo, nahofia kopoteza kundi kubwa la marafiki
Mhhh we jamaa noma
Mungu mwenyewe angekua anajua kuwa pombe ni kitu kibaya basi asingewapa wanadamu maarifa ya kutengeneza pombe.Sio kweli.Kuna anayejiwahisha kufa kizembe hapo
Matajiri unaowazungumzia no hawa wakina Lugumi tunaokesha nao kwenye tungi au matajiri gan hao?asilima kubwa matajiri huzaliwa hawana pesa wachache huzirithi na hata hao pia hutumia akili kubwa kuzikuza, sasa point ya utafutaji pesa huanzia chini ukianza tuh visungura kwa kigezo hiki ndio kiwango changu wacha nilewe nakuhakikishia hutafika wine,na ukifika kiwango cha mvinyo wa bei ghali hutopata muda wakunywa au pengine ukapata huo muda mara moja kwa mwaka tena kwa kiwango kidogo hivyo hakuna tajiri mlevi kwani huo muda hana wakulewa
Wasiolewa ni wapumbavu wa kwanza.walevi ni wapumbavu wa mwisho pombe ni mahususi kwa wapumbavu,losers kichocheo cha uwasherati ulioambatana na umasikini
Kufa ni kufa tu..!!Sikia nikuambie mzee, nature inasema kuna kuzaliwa kuishi na kufa..sasa usi justify kunywa sumu sababu unajua kuna kufa, hizo zinazotokea ni uncertainities za kimaisha, you are at wrong place at wrong time, na kuna kufa kwa uzembe wako, kufa kwa kua muda umefika(Gods plan) na kuna kufa kwa uzembe wa watu wengine ..
Hoja ni kwamba, hayo magonjwa yanayotajwa kuwa yanasababishwa na pombe, wasiokunywa pombe wanayapata pia.Hoja sio kutunza maini, hoja ni kujikinga na magojwa ya kutesa, ambayo ni madhara ya moja kwa moja ya pombe.
Ingekuwa maini yakiharibika huumwi, ingekuwa poa
Unasema kuna anayejiwahisha kufa, hebu niambie, ukifa leo, unatumia kigezo gani kujua kwamba kufa kwako leo umechelewa, umewahi au umekufa wakati muafaka?Sio kweli.Kuna anayejiwahisha kufa kizembe hapo