DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

DOKEZO Wanywaji wa pombe kali tuwe makini, kuna pombe kali feki nyingi nchini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na bado serkali imekaa kimya kabisa as if hakuna kinachoendelea!
Kila kitu ni fake nchini wakati Mamlaka za udhibiti zipo lakini ziko kimya huku mauaji ya watu yakiendelea !
Hayo majitu yananikera mimi. Na yanakula mishahara kila mwisho wa mwezi.

Kama umegundua inawezekana wanaona kabisa hizi changamoto ila wanashindwa kuziapproach sababu kuna viongozi na viongozi wakubwa wa serikali tena ambao wapo karibu hata na raisi hizi ni biashara ambazo wanaumiliki nazo.

Haya yote tunaweza yashughulikia kama tutaandika katiba mpya ambayo itaelekeza na kutoa ruhusa ya mamlaka moja kuwajibisha mamlaka nyingine bila muingiliano wa kimasilahi.

Yaani mfano kwasasa mkuu wa Takukuru, mkuu wa jeshi la polisi na hata mahakimu na watendaji wa vyombo vya sheria wakiwa sio zao la teuzi za raisi wangekuwa na nguvu ya kumtia nguvuni na mkutoa mtendaji au kiongozi yoyote ambaye itadhihirika kuwa anashiriki shughuli za uhalifu kama hizi na kuhakikisha anahukumiwa haraka sana.
 
Kama ni mnywaji wa hard liquor inabidi uwe makini sana.

Mimi nilishanunua jagger shopperz, nafika home nafungua tu, ikatoka kaharufu fulani not amazing.
Second chupa haina filter, nikarudi shoppers nikawaambia, huu mzigo feki, wahindi wakagoma goma. Nikawaambia filter ni lazima iwepo, wakabisha, kuwaambia nanunua mohans zina filter wakasema na wao wamenunua mohans.

Nikawaambia isiwe kesi, warudi mohans wawaambie. Nikaiacha nikaondoka.

Wiki baadae napita mitaa, si nikawa mohans, nikawasimulia, mohans wakasema jamaa wa shoppers yeye ndo alijifanya mjanja, kakataa kununua kwao kaagiza container lake mwenyewe sauzi, kumbe kapigwa.

Nikarudi shoppers nikawaambia mohans kasema nyinyi hamkununua kwake huu mzigo, yeye zake zote zina filter,

Hapo shoppers ndo akakubali kunirefund, nikaenda kwenye shelf nikakuta zile chupa feki zote wametoa 🤣🤣🤣🤣🤣
Wavuta bange wanaonewa sana bange nisalama kuliko hizo kitoko na smart gin
 
Back
Top Bottom