Wapagani wa kale waliabudu Utatu Mtakatifu

Wapagani wa kale waliabudu Utatu Mtakatifu

Kitu ilikuwa klabu ya makahaba!; Leo pale pamejengwa Kanisa watu wanamtukuza MMungu [emoji4] kinacho kukera nini [emoji47] [emoji4]
makahaba kuhamia kanisani na matendo yao baada ya kukosa klabu.
 
Nafsi tatu iliwekwa wapagani waje kwenye ukristo ila sio eti wapagani wameiga kwao, before christ ancient religion mda huo ilikuwa hiyo ya Egyptian trinity. Watu wa research haya mambo christianity did not destroy paganism, it adopted it(caesar 595)
..Tatizo unaamini utatu mtakatifu umeanza kuwepo after ujio wa kristo ILA ni kabla hata ya creation
 
Sometimes, kuna dini zinaogopa kusema ni Miungu watatu na kusema ni nafsi tatu mungu mmoja kwa sababu wanaogopa wataonekana wapo kinyume na wazo la kuwepo kwa mungu mmoja.

Ifahamike kuwa nafsi ni sehemu kuu ya upekee wa existence. Unaposema nafsi zaidi ya mbili tayari sio nafsi moja tena, umeshagawanya kutoka moja kuwa mbili. Unaposema baba, mwana na roho mtakatifu na ukasema kila mmoja ana nafasi yake tayari umeshatenganisha (labda usingizie kuwa Mungu hayupo sawa na mwanadamu halafu anaweza kuwa vyovyote kwa upekee, nafsi ni innermost part of uniqueness of existence).

Unaposema alisema "tuumbe mtu kwa mfano wetu" kwa kutumia nafsi mbili tayari sio mmoja.

Unaposema Yesu alikuwa anasali na unasema ni Mungu it does not make any real sense.

Kiuhalisia wanamiungu watatu lakini wanajia mungu mmoja ndio concept yenye mashiko hivyo wanalazima kuwa nao wapo na mungu mmoja. Sawa na kukusanya kuni kuwa fungu moja huwezi kusema ni kuni moja. Nafsi ni cores, ndio utofauti wa moja na kuendelea. Hakuna nafsi zaidi ya moja katika nafsi moja.
It doesn't make sense. For real. Tunalazimishana tu kuelewa hapo.


Pia Ni kweli logic ya utatu mtakatifu ni paganic origin. Early Christianity kabla ya kuunganishwa kwa mfalme Constantine kuchanganya ukristu na urumi kuwa imani moja hakukuwa na utatu.

Na hakuna ushahidi wa kihistoria, katika gospels za kale, katika michoro wala katika maelezo ya documents za kale kuwa kuna kitu kinaitwa utatu.

Hizo ni baada ya kukusanya imani za Kirumi, Misrata na Roman beliefs. Hata XMass, Siku ya Pasaka, kalenda, siku ya ibada vyote viko kukopy na kupaste kutoka upagani ili kueneza imani kwa sababu wapagani wa Europe wakawa wakristu kwa kuwa waliona ni new form of paganism. Ina sacrifice kama paganic idea zilivyo na mythologies too. Cha kushangaza Emperor Constantine aliyebadili ukristu Tomb yake haina evidence ya alama za ukristu he was a pagan mpaka alipokufa. He lied to christians ili apate followers na aweke historia ya kuubadili Upagani kuwa na ukristu na kupata followers wengi lakini yeye ndiye aliwaua wakristu hapo kale. Ni kama aliona njia ni kiwadanganya na sio kuwaua. Na alifanikiwa na akakuza dola.

But thanks angalau nao wame appreciate African beliefs na kuweka kwenye dini. African beliefs ziliigwa na wagirikia na wagiriki walipotolewa na kuingia urumi nao wakaendeleza ideas za wagiriki.
..tatizo Unamchukulia MUNGU kama mtu,a spirit can duplicate itself mara hata 1000 japo source ni moja
 
Sometimes, kuna dini zinaogopa kusema ni Miungu watatu na kusema ni nafsi tatu mungu mmoja kwa sababu wanaogopa wataonekana wapo kinyume na wazo la kuwepo kwa mungu mmoja.

Ifahamike kuwa nafsi ni sehemu kuu ya upekee wa existence. Unaposema nafsi zaidi ya mbili tayari sio nafsi moja tena, umeshagawanya kutoka moja kuwa mbili. Unaposema baba, mwana na roho mtakatifu na ukasema kila mmoja ana nafasi yake tayari umeshatenganisha (labda usingizie kuwa Mungu hayupo sawa na mwanadamu halafu anaweza kuwa vyovyote kwa upekee, nafsi ni innermost part of uniqueness of existence).

Unaposema alisema "tuumbe mtu kwa mfano wetu" kwa kutumia nafsi mbili tayari sio mmoja.

Unaposema Yesu alikuwa anasali na unasema ni Mungu it does not make any real sense.

Kiuhalisia wanamiungu watatu lakini wanajia mungu mmoja ndio concept yenye mashiko hivyo wanalazima kuwa nao wapo na mungu mmoja. Sawa na kukusanya kuni kuwa fungu moja huwezi kusema ni kuni moja. Nafsi ni cores, ndio utofauti wa moja na kuendelea. Hakuna nafsi zaidi ya moja katika nafsi moja.
It doesn't make sense. For real. Tunalazimishana tu kuelewa hapo.


Pia Ni kweli logic ya utatu mtakatifu ni paganic origin. Early Christianity kabla ya kuunganishwa kwa mfalme Constantine kuchanganya ukristu na urumi kuwa imani moja hakukuwa na utatu.

Na hakuna ushahidi wa kihistoria, katika gospels za kale, katika michoro wala katika maelezo ya documents za kale kuwa kuna kitu kinaitwa utatu.

Hizo ni baada ya kukusanya imani za Kirumi, Misrata na Roman beliefs. Hata XMass, Siku ya Pasaka, kalenda, siku ya ibada vyote viko kukopy na kupaste kutoka upagani ili kueneza imani kwa sababu wapagani wa Europe wakawa wakristu kwa kuwa waliona ni new form of paganism. Ina sacrifice kama paganic idea zilivyo na mythologies too. Cha kushangaza Emperor Constantine aliyebadili ukristu Tomb yake haina evidence ya alama za ukristu he was a pagan mpaka alipokufa. He lied to christians ili apate followers na aweke historia ya kuubadili Upagani kuwa na ukristu na kupata followers wengi lakini yeye ndiye aliwaua wakristu hapo kale. Ni kama aliona njia ni kiwadanganya na sio kuwaua. Na alifanikiwa na akakuza dola.

But thanks angalau nao wame appreciate African beliefs na kuweka kwenye dini. African beliefs ziliigwa na wagirikia na wagiriki walipotolewa na kuingia urumi nao wakaendeleza ideas za wagiriki.
..wee constatine wa Juzi tuu,Jaman the Holy trinity has existed kabla hata Ya uumbaji wa dunia
 
mbinguni kuna viumbe wengi. ndiyo maana maandiko yale yanatumia wingi. biblia yote hakuna neno utatu.
..upo sawa kuhusu utatu,Ila mbinguni kila kitu kimeelezewa kilichopo sio vingi ivo na when God(the father) created holyspirit alishiriki na Neno(Jesus)
 
Umemezeshwa na wewe umemeza mazima mazima hivyo hivyo,pole sana ndugu yangu maana utafanyaje na nyie ni MAHABA NIUE.
NB;mungu ni mmoja tu na ile sala yenu ya MARIA ndio inaonyesha kwamba nyinyi ni ABNORNAL
..concept Ya Maria ni uwongo,she is Just a mere woman
 
ukicheki hapo juu utaona Wamisri waliamini utatu miaka 2,000 kabla ya Yesu. kwahiyo wakristo ndiyo walichukua hili fundisho toka kwa wapagani.
Hebu ufiche ujinga wako [emoji15] wewe lugha Imani ya Wafuasi wa Yesu kwako usiku wa giza [emoji12] Mimi naamini Yesu in Alfa na Omega[emoji109] [emoji4]
 
..tatizo Unamchukulia MUNGU kama mtu,a spirit can duplicate itself mara hata 1000 japo source ni moja

Hahaha.

Na tatizo na wewe una imagination ya Mungu alivyo hivyo ukiambiwa ana kitu au hali fulani unatengeneza picha kuamini hata kama it doesn't make sense. Sawa na wanaoamini ana mikono minne na vichwa vinne. Its just Human imaginations but no one know God. Its beyond our ability as humans. Hatumjui Mungu 100% na tusiweke nadhiri na kujiaminisha ambacho hatuna uhakika nacho.

No one knows him. Ana nafsi moja au mbili au tatu its a matter of a personal beliefs. Lakini ukiambiwa belief yako ina root kutoka wapi its not a problem.

Asante mkuu
 
HUWEZI kuelewa utatu mtakatifu mpaka ROHO WA BWANA akushukie.....Usiulize masanamu tunayoyasujudia, ni njia tu ya kufikisha maombi kupitia kwa BIKIRA, Then Mtoto, Then BABA.

YESU ANGEKUWEPO, KAZI YA KWANZA INGEKUA KUVUNJA MASANAMU YOTE YALIYOPO MAKANISANI KAMA ALIVYOFANYAGA ZAMANI HEKALUNI.
😉😉😉
 
Mungu yupo fanyeni ujnlinga wenu wote lkn yupo IPO siku
 
Hahaha.

Na tatizo na wewe una imagination ya Mungu alivyo hivyo ukiambiwa ana kitu au hali fulani unatengeneza picha kuamini hata kama it doesn't make sense. Sawa na wanaoamini ana mikono minne na vichwa vinne. Its just Human imaginations but no one know God. Its beyond our ability as humans. Hatumjui Mungu 100% na tusiweke nadhiri na kujiaminisha ambacho hatuna uhakika nacho.

No one knows him. Ana nafsi moja au mbili au tatu its a matter of a personal beliefs. Lakini ukiambiwa belief yako ina root kutoka wapi its not a problem.

Asante mkuu
..God is a spirit Right?!
 
Ni Mmoja tu na hana nafsi tatu
Mungu kakuajiri lini uwe msemaji wake [emoji351] Yeye atakalo huwa na hana mshirika!; unamlinganisha MMungu kama babu yako asiye na uwezo [emoji15] [emoji4] msiba huo dogo [emoji30]
 
..wee constatine wa Juzi tuu,Jaman the Holy trinity has existed kabla hata Ya uumbaji wa dunia

Hahaha. Thats from your book. Ambayo imerekebishwa ili iendane na unachofundishwa.

Let me ask you, Biblia imetoka wapi? Hasa kitabu cha mwanzo? Utasema katika Torah ya Wayahudi. Lakini mpaka leo Jews hawana usemi unaosema Mungu ana nafsi tatu. Je nikikuambia ukweli kuwa waandishi wa biblia walirekebisha ili kuendana na mafundishi yao na kuondoa contradictions utakataa? Mbona original scripts na Torah katika Talmud ya wahayudi ambayo ipo kabla ya Christianity na kabla ya New Testament haisemi ivyo?

Kuna gap ipo hapo.
 
Unajua hata Shetani anajua siri za Mungu...Alikuwa anajua kuna Utatu Mtakatifu ndio maana akajianzishia na yeye..
 
..tatizo Unamchukulia MUNGU kama mtu,a spirit can duplicate itself mara hata 1000 japo source ni moja
ulisoma zaburi 11:5 aliyoweka jamaa hapo juu inayosema Mungu ana nafsi moja?
5 Bwana humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.
 
..God is a spirit Right?!

I don't know Sir. And no one knows God 100%.

Do you know? Can you prove that to me? Nitakishukuru ukija na facts kuwa God is a spirit.

And what if God is the UNIVERSE ITSELF? Connected to everything and every living thing? In Every Being?

Na spirit haiwezi kuwa everyone it means its centered somewhere not everywhere. Na ndio maana naona nikisema its a spirit nita jipa limitations maelezo ya kumfahamu Mungu. Kwa sababu all forms za spirit zina location na space limitation lakini something universal ni beyond spirit.
 
Ally, Josef na Maryamu ni mtu mmoja mwenye sura tofauti au siyo??? We jamaa bwana. Wote watatu kuwa wanadamu haiwafanyi kuwa ni mmoja. Mkuu Mwenyezi MUNGU ni mmoja tu. Kama unasema ana nafsi tatu basi leta andiko linalokusapoti maneno yako. Nionavyo mm ni kuwa concept ya utatu ilibuniwa ili kuifanya dini ikubaliwe na wapagani wa kirumi. Kama unabisha leta aya inayoeleza kuwa Mungu ana nafsi tatu.
daah [emoji15] akili nyingine bana [emoji4] ujue kwamba kwa mwanadamu waAllahi haiwezekani, sasa jiulize Mungu naye Hawezi [emoji351] sema hawezi unune unakufuru [emoji15]
 
Back
Top Bottom