Tarakilishi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 2,181
- 2,448
".......Maria mtakatifu mama wa MUNGU! ....."wakatoliki wanamwabudu bikira maria, ndio mama huyo kama ulikua hujui.
..Nafsi ya Mungu(the father) ndo Ilikua dhahiri nyakati hizo Jesus and the spirit wameweka wazi baadae ndo maana ametumia umoja hapoulisoma zaburi 11:5 aliyoweka jamaa hapo juu inayosema Mungu ana nafsi moja?
5 Bwana humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.
usikurupuke kasome Kanuni ya lmani ya Wakatoliki [emoji4] fichaga ujinga wako [emoji4]wakatoliki wanamwabudu bikira maria, ndio mama huyo kama ulikua hujui.
..atleast the Bible is the Only book ambayo haijicontradict Unlike vingi,alafu the Bible was not written by Jews ni manabii wengine wakavikusanya pamojaHahaha. Thats from your book. Ambayo imerekebishwa ili iendane na unachofundishwa.
Let me ask you, Biblia imetoka wapi? Hasa kitabu cha mwanzo? Utasema katika Torah ya Wayahudi. Lakini mpaka leo Jews hawana usemi unaosema Mungu ana nafsi tatu. Je nikikuambia ukweli kuwa waandishi wa biblia walirekebisha ili kuendana na mafundishi yao na kuondoa contradictions utakataa? Mbona original scripts na Torah katika Talmud ya wahayudi ambayo ipo kabla ya Christianity na kabla ya New Testament haisemi ivyo?
Kuna gap ipo hapo.
Mwingine anae jiita M'Mungu nani [emoji4]Kama cheo Mungu ana vyeo vingi sio vitatu tu.kwamba ni mwana ni baba na roho hapana. Mungu ana cheo cha kulea , Kulinda , kutoa rizk , na kadhalika
Kwahiyo hana nafsi tatu.Mungu ni Mungu na hakuna mwingine mwenye haki ya kujiita Mungu
JOHN 1:1Ally, Josef na Maryamu ni mtu mmoja mwenye sura tofauti au siyo??? We jamaa bwana. Wote watatu kuwa wanadamu haiwafanyi kuwa ni mmoja. Mkuu Mwenyezi MUNGU ni mmoja tu. Kama unasema ana nafsi tatu basi leta andiko linalokusapoti maneno yako. Nionavyo mm ni kuwa concept ya utatu ilibuniwa ili kuifanya dini ikubaliwe na wapagani wa kirumi. Kama unabisha leta aya inayoeleza kuwa Mungu ana nafsi tatu.
JOHN 5;18 John 5:18Ally, Josef na Maryamu ni mtu mmoja mwenye sura tofauti au siyo??? We jamaa bwana. Wote watatu kuwa wanadamu haiwafanyi kuwa ni mmoja. Mkuu Mwenyezi MUNGU ni mmoja tu. Kama unasema ana nafsi tatu basi leta andiko linalokusapoti maneno yako. Nionavyo mm ni kuwa concept ya utatu ilibuniwa ili kuifanya dini ikubaliwe na wapagani wa kirumi. Kama unabisha leta aya inayoeleza kuwa Mungu ana nafsi tatu.
But an hour is coming, and now is, when the true worshipers shall worship the Father in spirit and truth; for such people the Father seeks to be His worshipers” (John 4:21-23). Bila kumuabudu in spirit huwez kumfikia because he is spiritualI don't know Sir. And no one knows God 100%.
Do you know? Can you prove that to me? Nitakishukuru ukija na facts kuwa God is a spirit.
And what if God is the UNIVERSE ITSELF? Connected to everything and every living thing? In Every Being?
Na spirit haiwezi kuwa everyone it means its centered somewhere not everywhere. Na ndio maana naona nikisema its a spirit nita jipa limitations maelezo ya kumfahamu Mungu. Kwa sababu all forms za spirit zina location na space limitation lakini something universal ni beyond spirit.
..tatizo Unamchukulia MUNGU kama mtu,a spirit can duplicate itself mara hata 1000 japo source ni moja
..the Father na alipokua anasali kwa Mungu he was 100% Human pale maana Yesu alikuaja 100% human na 100% Godinamaana Yesu alipokuwa duniani alikuwa akisali kwa Mungu gani ni hali huko mbinguni alikuwa hajakamilika? na sauti "huyu ni mwanangu mpendwa'' ilikuwa ya nani?
Hizo ni akili za kibinadamu ambazo ni dhaifu kwa sanaa kwa Hekima na maajabu ya M'Mungu asiye na Mshauri...[emoji15] Yale ambayo Ametufunulia Ndiyo tunayo wafundisha wanetu na kuyahubiri kwa Nguvu [emoji109] na Yale ambayo yako sirini kwake yataendelea kuwepo sirini pake..Mungu hayupo likizo [emoji4]Sometimes, kuna dini zinaogopa kusema ni Miungu watatu na kusema ni nafsi tatu mungu mmoja kwa sababu wanaogopa wataonekana wapo kinyume na wazo la kuwepo kwa mungu mmoja.
Ifahamike kuwa nafsi ni sehemu kuu ya upekee wa existence. Unaposema nafsi zaidi ya mbili tayari sio nafsi moja tena, umeshagawanya kutoka moja kuwa mbili. Unaposema baba, mwana na roho mtakatifu na ukasema kila mmoja ana nafasi yake tayari umeshatenganisha (labda usingizie kuwa Mungu hayupo sawa na mwanadamu halafu anaweza kuwa vyovyote kwa upekee, nafsi ni innermost part of uniqueness of existence).
Unaposema alisema "tuumbe mtu kwa mfano wetu" kwa kutumia nafsi mbili tayari sio mmoja.
Unaposema Yesu alikuwa anasali na unasema ni Mungu it does not make any real sense.
Kiuhalisia wanamiungu watatu lakini wanajia mungu mmoja ndio concept yenye mashiko hivyo wanalazima kuwa nao wapo na mungu mmoja. Sawa na kukusanya kuni kuwa fungu moja huwezi kusema ni kuni moja. Nafsi ni cores, ndio utofauti wa moja na kuendelea. Hakuna nafsi zaidi ya moja katika nafsi moja.
It doesn't make sense. For real. Tunalazimishana tu kuelewa hapo.
Pia Ni kweli logic ya utatu mtakatifu ni paganic origin. Early Christianity kabla ya kuunganishwa kwa mfalme Constantine kuchanganya ukristu na urumi kuwa imani moja hakukuwa na utatu.
Na hakuna ushahidi wa kihistoria, katika gospels za kale, katika michoro wala katika maelezo ya documents za kale kuwa kuna kitu kinaitwa utatu.
Hizo ni baada ya kukusanya imani za Kirumi, Misrata na Roman beliefs. Hata XMass, Siku ya Pasaka, kalenda, siku ya ibada vyote viko kukopy na kupaste kutoka upagani ili kueneza imani kwa sababu wapagani wa Europe wakawa wakristu kwa kuwa waliona ni new form of paganism. Ina sacrifice kama paganic idea zilivyo na mythologies too. Cha kushangaza Emperor Constantine aliyebadili ukristu Tomb yake haina evidence ya alama za ukristu he was a pagan mpaka alipokufa. He lied to christians ili apate followers na aweke historia ya kuubadili Upagani kuwa na ukristu na kupata followers wengi lakini yeye ndiye aliwaua wakristu hapo kale. Ni kama aliona njia ni kiwadanganya na sio kuwaua. Na alifanikiwa na akakuza dola.
But thanks angalau nao wame appreciate African beliefs na kuweka kwenye dini. African beliefs ziliigwa na wagirikia na wagiriki walipotolewa na kuingia urumi nao wakaendeleza ideas za wagiriki.
Hahahahhaaaa mkuu hiyo inaitwa ngumu kumezahuwezi jumlisha vitu visivyofanana. ni sawa kusema meli+andazi+shati
..ana Original Body sawa na ndo tutamwona nayo tukifika Mbinguni but He is a spirit na anaweza fanya tusioweza that was ma PointGod has a body, kusema he doesnt have a body kisa ana uwezo wa kuchenj form unakua unakosea. mchawi mwili anao na ana uwezo wa kuchenj form pia na kuwa paka, mjusi, ndege au mbwa. To say that god is spirit is to say that god is invisible. but god has a spirit which dwells in his body.
ushahidi kwamba mungu ana umbile:
MWANZO 6:3
BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama;
mungu anaposema mwanadamu naye ni nyama, anamaanisha na yeye mungu anazo nyama / mwili / umbile.
MWANZO. 1:26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu.
ni kwa maneno yake mungu sio maneno yangu, anatamka kwamba anayo sura.
MWANZO 1:27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
kusema mungu ni roho haimaanishi hana kiwiliwili, watu huwa wanasema hivyo kutokana na ile sifa yake ya kutoonekana.
kama nimekosea nirekebishe tafadhali, karibu.
Utatu upo wapi wapi hapo sasa?JOHN 5;18 John 5:18
For this cause therefore the Jews were seeking all the more to kill Him, because He not only was breaking the Sabbath, but also was calling God His own Father, making Himself equal with God.
JOHN 10;33
"I and the Father are one." The Jews took up stones again to stone Him. ... Has it not been written in your Law, 'I said, you are gods'?"
nashukuru kwa kukiri kuwa mungu ana mwili. everything else is irrelevant...ana Original Body sawa na ndo tutamwona nayo tukifika Mbinguni but He is a spirit na anaweza fanya tusioweza that was ma Point
..unataka nini,uone wote in the same sentence au??!Utatu upo wapi wapi hapo sasa?
kwa hiyo unamaanisha barafu=mwana, mvuke=roho na Maji=Mungu, mkuu bado mfano wako hauendani na mada..Ni kama maji,ukigandisha utaita barafu,ukichemsha Yakayeyuka utaita mvuke(vapour),Yakiwa kawaida ni Maji but ni kitu Kile Kile