Wapare mara nyingi wakienda kwao husema wanaenda Upareni

Moshi ni makao makuu ya Mkoa Wa Kilimanjaro.

Moshi wanaishi watu Wa MAKABILA Mengi na SIO wachagga peke Yao.

Wachagga wanaishi vijijini kama Rombo, Marangu , Kibosho , Hai, Siha n.k.
Moshi ni Jina la Jumla Kwa wakazi wakazi Wa Mkoa Wa Kilimanjaro mana ndio makao makuu ya Mkoa.

Hakuna sehemu inayoitwa upareni au uchagani. Ndio Maana Hata wachagga hawasemi tunarudi Uchagani Bali wanasema tunaenda Moshi. Kwa HIYO wapare nao hawawezi kusema tunaenda Upareni mana hakuna Eneo linaloitwa upareni Bali kuna Ugweno,Usangi, Same ,Gonja na kadhalika.

Kwa wahaya Nako ni HIVYO HIVYO ,Bukoba ni makao makuu ya Mkoa Wa Kagera . Lakini kuna Ngara ,Muleba,Karagwe,Biharamulo,Kyerwa,Misenye, Kanyigo , Mtukula n.k.
Hatusikii wakisema naenda Mtukula au naenda Muleba Bali naenda Bukoba Hata kama anaishia Biharamulo.

Hata Arusha ,huwezi kusikia MTU akisema ,"Narudi Meru, au narudi Bahati au Loliondo " .Utasikia ," Narudi Arusha" . Anataja makao makuu ya Mkoa Wa Arusha kama center ya Mkoa .

Na pia hii inatokana na shamrashamra za Krismass ambazo zinatiliwa mkazo sana na na Wakristo hasa Wakatoliki.
Maeneo kama Mwanga na Same Katika Mkoa Wa Kilimanjaro hayana Wakristo (Wakatoliki) WENGI . Same wengi ni Wasabato na Waluteri ambao Hawana sana shamrashamra za Krismass. Mwanga wengi ni Waislam. Kwa HIYO zile hamasa za Krismass Kwa wakazi Wa Mkoa huo zinatofautiana SIO kikabila Bali ni kiimani zaidi.
 
Hawa wanatani zangu wanawaza makande tu wanajihisi wakisema upareni wanavuta hisia za makande na samaki kwa ukaribu zaid.
 
Huwa wanaenda kutambika kwa Mungu wao yuko huko mlimani.

Pia wanaenda kuongezea uchawi, wapare wote 🤣 ni wachawi eti wawe kama Msuya japo zamani walitaka wawe kama mengi.

Mpare anayebisha aje na mbuzi nimpe ushahidi.
Aaah hawa jamaa ni kama wote tu wachawi,,,,tena wale wa kushindia makanisani ndo shida zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…