Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Tutapimaje kama nyie ni watenda haki?WAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM
Na, Robert Heriel
Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.
Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.
Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.
Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.
Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.
Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.
Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.
Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.
Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.
Kama tulivyokubaliana Kura asipate.
Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.
Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.
Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Vibushuti wa clouds wanaowatuma afu wanawaacha mnalia njaa
Msilipize baya kwa baya,mpeni za kumwaga na atakuwa amejifunza katika hilo unapokuwa msanii nyimbo zako ni za watu wa vyama vyote na mbaya zaidi fans wake ni vijana ambao wengi wapo upinzani.
Tutapimaje kama nyie ni watenda haki?
Nyie nanyi mna chuki zenu za ajabu ajabu khaa!!!
sababu ya kawaida kabisa inayofanya baadhi ya watu wasimpigie kura ni uswahili ,akipata hio tuzo itakua kama fimbo ya kuwachapia wengine.
Lakini hizi chuki zenu za kisiasa aisee inabidi zioungue hazina mantiki yoyote.
Maskini hajawahi kumpenda mwenye uwezoWAPENDA HAKI HATUTAMCHAGUA DIAMOND PLATNUM
Na, Robert Heriel
Katika Tuzo za BET Diamond ni moja ya Wasanii wanaowania Tuzo hizo.
Wapenda haki, wanaharakati na Wana mtandao wote kuanzia Facebook, Instagram, JamiiForums, na Twitter Kama tulivyokubaliana hatutampa Kura Diamond Platnum na hatashinda tuzo hizo Kwa sababu ameshindwa kutumia nafasi yake vizuri kuilinda, kuijenga na kuitetea jamii yake.
Diamond hajawahi kutetea jamii ya Watanzania.
Utekaji na mauaji yalivyopamba Moto Diamond alikuwa wakwanza kutoa kibao chenye ujumbe usemao " Acha Nikae kimya" maudhui ya wimbo ule yalilenga kuhafifisha na kutia uoga jamii isipige kelele kuhusiana na vitendo hivyo vya udhalimu.
Diamond ni tofauti kabisa na Wasanii wa Nigeria Kama kina P Square, Burns boy, Davido n.k ambao mara kadhaa walijitokeza kuungana na jamii kuipinga serikali pale inapokosea mpaka kuandamana kabisa.
Diamond hawezi chaguliwa na watu wote walioenda shule, waliostaarabika, wapenda haki na wanaharakati.
Kwa hapa Nchini waliojaribu na wanaojitahidi kutetea haki na kutetea jamii ni kina Ney wamitego, Roma mkatoliki, Profesa Jay miongoni mwa wengine.
Diamond ni Aina ya wanamuziki wanaoiona jamii Kama jamii ya vibushuti sio ajabu ndio maana nyimbo zake nyingi hasa za siku hizi niza vibushuti, zinalenga watu wenye Low IQ.
Diamond Kama angenoga Kama angeimba nyimbo Kama za kipindi kile mathalani "nimpende Nani" ukimuona" Nitampata wapi" lakini sio hizi za Jeje na mfano wa zile za nyoka pangoni.
Kama tulivyokubaliana Kura asipate.
Ili iwe funzo Kwa Wasanii wa kizazi kinachokuja.
Msanii ambaye ni kioo cha jamii badala aungane na jamii yeye anaungana na serikali. Ajabu hii.
Hii ipo katika nchi yetu pekee.
Hata Marekani wenye muziki wao Wasanii wao huwa upande wa wananchi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwakuwa Diamond anapambanishwa na wasanii wa mataifa mengine, kwa maana hio ni msanii pekee kutoka Tanzania na pekee kutoka ktk ukanda huu wa Afrika Mashariki kupeperusha bendera basi kwa kauli moja TUTAMPA KURA KIJANA WETU DIAMOND PLATNUM
Mambo ya siasa na uanaharakati uwepo wa akina Zitto, Mbowe, Lissu unatosha sana ktk uwakilishi
Go go Diamond Platnum,,, You are the true icon of Tanzania Music
Maskini hajawahi kumpenda mwenye uwezo
CCM aliokua anawapigia campaign wampitishe bila kupingwa BET AWARDS.
Binafsi, Diamond angekua anachuana kwenye hizo tuzo na "FUNGU LA MAVI", basi ningelipigia kura hilo fungu la mavi, ila sio huyo jamaa.
Etii wapenda haki, my foot
Unayofanya we ndo mtenda haki au?
Kila mtu afanye yake, mi nampigia ashinde asishinde fresh tuu kwan Nini!
Acha chuki binafsi
Link ya kumpigia kura Diamond platnumz iko wapi ? Au tunampigiaje kura
Natumaini watakua katika categories tofauti hivyo nawapigia wote.Pigia Rostam nakuja na link
Natumaini watakua katika categories tofauti hivyo nawapigia wote.