Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Wapenda haki hatutompa Kura Diamond Platnum kama tulivyokubaliana

Unajua maana ya Nafasi kubwa ndani ya jamii?

Unajua nafasi ya Public Figure ndani ya jamii??

Nakupa mfano maana naona upeo wako upo chini.

Mama Samia ni Muislam kindaki ndaki, na hauamini Ukristo kabisa.
Na kamwe hatakubali kuingia Kanisani kusali.

Lakini Nafasi yake ya Ukuu WA nchi unamlazimu kuingia mpaka Kanisani ikiwezekana kuimba mpaka Mapambio.

Bado hujaelewa logic ya Nafasi kubwa ndani ya jamii aliyonayo mtu na personal interest zake ni mambo mawili tofauti?

DIamond hatumkatazi kuwa CCM au kuwa CHADEMA au kutokuwa na chama, lakini linapokuja suala la kutetea jamii yake kulingana na nafasi yake Hana budi kujionyesha Kama anatambua wajibu wake Kwa nafasi aliyopo.

Sasa wewe Kama huelewi Jambo dogo Kama hili sijui nikuweke kundi gani
😂😂😂 We jamaa aisee hebu leta mfano unaoendana na uzi wako basi. Diamond na mama Samia kweeliii???

Ndio maana nilikwambia una ego wewe sio bure. Mama Samia ni raisi na huo ni wajibu wake kwasababu nchi haina dini mkuu, jaribu kutafuta mfano mwingine.

Na unaposema kuitetea jamii ni kuitetea katika namna ipi labda?? Diamond sio wewe mbona huelewi ndugu, yeye kuitetea kwake jamii ni kuishawishi iunge mkono kazi za watawala wake ndio maana anaimba mapambio kuwasifu.

Labda tu nikwambie mkuu, kwamfano kwenye mauaji ya yule mwanafunzi wa nit, wengi sana walilaani kitendo kile pamoja na kulaani kule bado kukawa na pande zaidi ya moja kuhusu lile tukio wapo waliosema polisi wana makosa na wapo wanaosema maandamano ya chadema ndio chanzo. Unaona kama hapo, ukiwa upande huu ule utakuchukia na ndivyo ilivyo kwa uyo jamaa kawa upande huu ule unamchukia.

Na ajabu zaidi anaandamwa sana Diamond wakati 98% ya wasanii ni mlengo huo huo alioko Diamond.
 
😂😂😂 We jamaa aisee hebu leta mfano unaoendana na uzi wako basi. Diamond na mama Samia kweeliii???

Ndio maana nilikwambia una ego wewe sio bure. Mama Samia ni raisi na huo ni wajibu wake kwasababu nchi haina dini mkuu, jaribu kutafuta mfano mwingine.

Na unaposema kuitetea jamii ni kuitetea katika namna ipi labda?? Diamond sio wewe mbona huelewi ndugu, yeye kuitetea kwake jamii ni kuishawishi iunge mkono kazi za watawala wake ndio maana anaimba mapambio kuwasifu.

Labda tu nikwambie mkuu, kwamfano kwenye mauaji ya yule mwanafunzi wa nit, wengi sana walilaani kitendo kile pamoja na kulaani kule bado kukawa na pande zaidi ya moja kuhusu lile tukio wapo waliosema polisi wana makosa na wapo wanaosema maandamano ya chadema ndio chanzo. Unaona kama hapo, ukiwa upande huu ule utakuchukia na ndivyo ilivyo kwa uyo jamaa kawa upande huu ule unamchukia.

Na ajabu zaidi anaandamwa sana Diamond wakati 98% ya wasanii ni mlengo huo huo alioko Diamond.

DIamond anaandamwa Kwa nafasi aliyonayo sio yeye Kama yeye Personal

Hata Magufuli na Mama Samia wataandamwa Kwa nafasi walizo nazo.

Kuhusu mfano nilioutoa nimejaribu kukuonyesha Personal interest na Personal Position jinsi zilivyo.

Labda Kama unataka nikuelezee Kama mtoto mdogo
 
DIamond anaandamwa Kwa nafasi aliyonayo sio yeye Kama yeye Personal

Hata Magufuli na Mama Samia wataandamwa Kwa nafasi walizo nazo.

Kuhusu mfano nilioutoa nimejaribu kukuonyesha Personal interest na Personal Position jinsi zilivyo.

Labda Kama unataka nikuelezee Kama mtoto mdogo
Tutakesha tu hapa mkuu si rahisi kuelewana hapa.
Wacha iwe hivyo kwa kila mmoja wetu jinsi aonavyo.
Ila hakukua na ulazima wa hiyo sentensi ya mwisho. Unaonekana unajua kujenga hoja ila vijembe vinakuharibu mkuu .
 
Tutakesha tu hapa mkuu si rahisi kuelewana hapa.
Wacha iwe hivyo kwa kila mmoja wetu jinsi aonavyo.
Ila hakukua na ulazima wa hiyo sentensi ya mwisho. Unaonekana unajua kujenga hoja ila vijembe vinakuharibu mkuu .

😃😃😃😃

Mkuu kazi ya vijembe mojawapo ni kuamsha hisia za uchungu Kwa walengwa.

Na Hilo ndilo lengo langu ukiona nimetupa kijembe sharti ujue na shabaha yangu ni ipi.
 
Back
Top Bottom